victor moshi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 829
- 1,064
Wenyewe wanakwambia unakunywa brand siyo quality![]()
mkuu hata mimi naona hiloo...waendele na brand yao mimi nishaamia kwenye pepsi max washaniteka tayariWenyewe wanakwambia unakunywa brand siyo quality![]()
mkuu hata mimi naona hiloo...waendele na brand yao mimi nishaamia kwenye pepsi max washaniteka tayariNakazia. Huu ni Ushauri maridhawa kabisa!ACHENI KUNYWA SODA
Mimi sio mnywaji wa soda ili nikitupia naweza kujua tatizo haraka sana...hao Fanta ni kama zile juice za kuchanganya na unga unaongeza maji tuu...jamaangu alisema hizi hazijapita kwenye mashine mbona hakuna radha kabisa..Nilijua mdomo wangu umepoteza radha kila Fanta nayokunywa siielewi adi nikaamua kuachana nazo
Atleast uwe unakunywa juice tena ya kutengeneza mwenyewe(juice ya matunda) ni nzuri sanaa na ni inakupa afya njema .. Mimi nimeacha kunywa soda siku nyingi sana, Hata nikiwa njiani nitakunywa apple punch.
Ile ni ladha tofauti KidogoHahahha sasa apple punch na soda kuna tofaut Hahahah
NowadaysCoca nowdays wana 500Ml najua ni Pepsi tu, Anyway Coca ya sikuhizi hapana kwakweli wanazingua
Maji ya Kilimanjaro yanapatikana kwa Wingi Arusha, Manyara na Singida yapo kama takataka sijajua kwanini.Toka afe Mengi Coca-Bonite zimekuwa adimu baadhi ya sehemu, na maji ya kilimanjaro yamekuwa hayapatikani, siku hizi karibu kila duka au bar ukienda wanasema hawana maji ya kilimanjaro