Recent content by Verossa

  1. Verossa

    Wiki mbili zitanitosha kujua gari?

    Usipokuwa muoga siku 3 zinatosha kabisa.
  2. Verossa

    Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

    Nilikuwa na tatizo kama hilo ila nilipoanza kutumia Bump control kila baada ya kunyoa ndevu likaisha.
  3. Verossa

    Mazingaombwe ya kutoroka kwa mshukiwa wa mauaji ya msikitini Mwanza

    Huyo amekwisha tokomea kusikojulikana hutamsikia tena.
  4. Verossa

    Wanaume hili sio la kuvumilia, kimbia mbio

    Yaani ni ukweli mtupu. Kuna siku wife ile anaingia ndani hata hajakaa wala hatujamaliza kusalimiana, akaanza kuniuliza mbona hujaniambia kama nimependeza kisa katoka kusuka nywele.
  5. Verossa

    Download free JF application for Android

    Msaada wa kudownload Jf application kwenye Nokia lumia 1320 windows phone 8.1
  6. Verossa

    Polisi acheni sinema kwenye mambo yanayohusu maisha ya watu.

    Hivi hii habari ya hao watu nitaarifa rasmi iliyotolewa na kamanda wa mkoa husika kwa vyombo vya habari? Au ndio uzushi unaoenezwa kwenye mitandao ya kijamii?
  7. Verossa

    Serikali sikivu, Mgao wa umeme Dodoma

    Leo umekatika Kisasa toka saa tatu asubuhi, labda ndio mpaka jioni tena. Enyi serikali sikivu msitufanyie hivi sisi wananchi wenu.
  8. Verossa

    Mtuhumiwa wa ulipuaji mabomu Arusha auawa na Polisi akijaribu kutoroka

    Mkuu yawezekana haufahamu, mtuhumiwa anaposafirishwa kwenye chombo chochote cha usafiri haruhusiwi kufungwa pingu, ukiona kafungwa atakuwa hajui haki zake.
  9. Verossa

    Wanajeshi, polisi watwangana risasi

    Taarifa nilizo pata toka huko ni kwamba, wanajeshi wanane wamekamatwa na wawili kati yao wamejeruhiwa baada ya FFU kuitwa kuongeza nguvu.
  10. Verossa

    Msichana wangu hajui kupika, kufua wala kazi yoyote ya nyumbani

    Tatizo siku hizi vijana wengi wanaoa wake kwa kuangalia uzuri wa sura, sasa jiandae kuwa dada wa kazi ukioa huyo.
  11. Verossa

    Kisirani kwa wa dada wenye 30 and above

    Kuna mdada aliwahi kuwa boss wangu, alikuwa mtu wa makelele mno. Niliamua kuwa nakaa kimya si zaidi ya salamu na maelekezo ya kazi, nikiingia kazini ni serious na kazi zangu na sina story nae na akijiongelesha namwangalia tu simjibu chochote, baada ya muda kupita akaanza kunipa deal za hela na...
  12. Verossa

    Msaada jinsi ya ku unlock AVG ant theft

    Nashukuru mkuu nimefanikiwa
  13. Verossa

    Msaada jinsi ya ku unlock AVG ant theft

    Poleni na majukumu ya kila siku, naomba msaada wa ku unlock avg ant theft kwenye simu yangu. Niliweka hii program muda mrefu kidogo, Leo nimejisahau nikabadili line ya simu ikajilock, Nimejaribu kutumia website yao ku unlock lakini unakataa.
  14. Verossa

    Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

    Ukaidi sio mzuri wakati mwingine
  15. Verossa

    Waliosoma Jitegemee Secondary School hebu ingieni hapa Tusalimiane

    Daah ndyamkama aliwahi kunichapa kinoma, pia jite ilinifunza uvumilivu
Back
Top Bottom