Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
Wanashambulia kwa mstari.Kazi ilikuwa hivi:
Wanashambulia kwa mstari.Kazi ilikuwa hivi:
Nashindwa kuamini eti ametoroka akiwa mikononi mwa polisi. Serious!!!!!! Halafu kamanda mzima anasimama na kuuambia umma hivyo. Aibu.Jeshi la polisi mkoani Mwanza limesema mtuhumiwa wa ujambazi waliyemkamata kwa matukio ya uhalifu yakiwamo ya uporaji maduka ya miamala ya kifedha na mauaji ya watu watatu msikitini, Hamis Juma, ametoroka chini ya ulinzi wa polisi wakati akiwapeleka mlimani kuwaonyesha wahalifu wenzake. Kamanda wa polisi wa mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi amesema mtuhumiwa huyo alikuwa mikononi mwa polisi akiwapeleka mahali walipojificha wenzake katika mlima Kiloleli, baada ya polisi na mtuhumiwa huyo kufika eneo la tukio saa 8:00 usiku, ghafla majambazi waliokuwa wamejificha katika mlima huo walianza kurusha risasi kwa askari ambao walitaharuki na kujibu mashambulizi huku wakimsahau mtuhumiwa aliyewapeleka. #Akasepa!
MY TAKE;
1. Hii milima si tuliambiwa sasa imesafishwa na majeshi yetu?
2. Polisi waliendaje na mhalifu sugu milimani usiku wa manane?
3. Mhalifu alikuwa anakwenda kuwaonesha polisi wahalifu wenzake, sasa ilikuwaje Polisi hawakutegemea kuwa lazima mapambano yatatokea, unawezaje kwenda kukamata genge la wahalifu kama vile unakamata mbuzi zizini?
4. Kwa hiyo polisi wamempoteza jambazi mkuu na majambazi wasaidizi wote usiku huo!
Enzi za mazingaombwe zimerudi, sasa naanza kumkumbuka pawa Mabula, Pawa Gronda na mapawa wengine waliokuwa wanaambatana na wanamazingaombwe mashuhuri kufanya miujiza mijini na vijijini. Kwamba huyu jambazi ni sawa na yule muuza madawa ya kulevya wa kimataifa, #Tuwe_Kizazi_Cha_Kuhoji_Daima.
Mtatiro J
Kama kweli wewe huoni mapungufu katika operation hiyo ya Msangi, basi ulikuwa mshirika! Mhalifu wala hajafungwa leg chains na pingu za mikono pamoja na askari! Bila mbwa! Usiku wa manane bila miwani ya night vision! Ha ha ha ha Msangi asitudanganye!!Lolote baya linapotokea mbio mtandaoni,jema hutalisikia...tutafika kweli endapo kila mtu akikazania kuangalia na kukosoa udhaifu wa mwingine bila kutoa suluhisho mbadala!
Kama kweli kafariki itakuwa saaaafi sanaHuyo mtuhumiwa atakua ameshafariki kwa mateso ya kuvunjwa miguu akiwa lockup, so hapo wanatafuta pakutokea
Vyema umetaja matukio ya mwanza, Tanga. Lazima ujue hayo sio mapambano dhidi ya jambazi mmoja bali ni mtandao mzima. Mambo ya kusema sinema yanatoka wap?. Liache jeshi la polisi lifanye kaz yake, usianze siasaHivi hawa majambazi walioua Mwanza wapo wangapi Dar walimua aliye waua watu msikitini mwanza na Tanga hizii sinema zitaisha lini.
Hiyo inatwa kampa kampa tena, kwenye mikutano ukawa wanakuja kama manyumbu so ni easy kuwadhibiti tofauti na kaka jambaziNimeanza kumkumbuka Chagonja na wale magaidi kule kwenye mapango ya Amboni huko Tanga. Hivi kweli polisi wanaweza kudhibiti mikutano ya Upinzani lakini wanashindwa kumdhibiti mtu mmoja acheni kujishushia heshima
Kijeshehi hiyo ni negligence!you can not let your captive unwatched before you get your targeted culprits, kijeshi hapo kuna shidaJeshi la polisi mkoani Mwanza limesema mtuhumiwa wa ujambazi waliyemkamata kwa matukio ya uhalifu yakiwamo ya uporaji maduka ya miamala ya kifedha na mauaji ya watu watatu msikitini, Hamis Juma, ametoroka chini ya ulinzi wa polisi wakati akiwapeleka mlimani kuwaonyesha wahalifu wenzake. Kamanda wa polisi wa mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi amesema mtuhumiwa huyo alikuwa mikononi mwa polisi akiwapeleka mahali walipojificha wenzake katika mlima Kiloleli, baada ya polisi na mtuhumiwa huyo kufika eneo la tukio saa 8:00 usiku, ghafla majambazi waliokuwa wamejificha katika mlima huo walianza kurusha risasi kwa askari ambao walitaharuki na kujibu mashambulizi huku wakimsahau mtuhumiwa aliyewapeleka. #Akasepa!
MY TAKE;
1. Hii milima si tuliambiwa sasa imesafishwa na majeshi yetu?
2. Polisi waliendaje na mhalifu sugu milimani usiku wa manane?
3. Mhalifu alikuwa anakwenda kuwaonesha polisi wahalifu wenzake, sasa ilikuwaje Polisi hawakutegemea kuwa lazima mapambano yatatokea, unawezaje kwenda kukamata genge la wahalifu kama vile unakamata mbuzi zizini?
4. Kwa hiyo polisi wamempoteza jambazi mkuu na majambazi wasaidizi wote usiku huo!
Enzi za mazingaombwe zimerudi, sasa naanza kumkumbuka pawa Mabula, Pawa Gronda na mapawa wengine waliokuwa wanaambatana na wanamazingaombwe mashuhuri kufanya miujiza mijini na vijijini. Kwamba huyu jambazi ni sawa na yule muuza madawa ya kulevya wa kimataifa, #Tuwe_Kizazi_Cha_Kuhoji_Daima.
Mtatiro J
Yaani nchini ina full comedy. Vitumbi kuanzia juu hadi chini. Eti kubwa la majambazi na wasaidizi wake limetoroka.Jeshi la polisi mkoani Mwanza limesema mtuhumiwa wa ujambazi waliyemkamata kwa matukio ya uhalifu yakiwamo ya uporaji maduka ya miamala ya kifedha na mauaji ya watu watatu msikitini, Hamis Juma, ametoroka chini ya ulinzi wa polisi wakati akiwapeleka mlimani kuwaonyesha wahalifu wenzake. Kamanda wa polisi wa mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi amesema mtuhumiwa huyo alikuwa mikononi mwa polisi akiwapeleka mahali walipojificha wenzake katika mlima Kiloleli, baada ya polisi na mtuhumiwa huyo kufika eneo la tukio saa 8:00 usiku, ghafla majambazi waliokuwa wamejificha katika mlima huo walianza kurusha risasi kwa askari ambao walitaharuki na kujibu mashambulizi huku wakimsahau mtuhumiwa aliyewapeleka. #Akasepa!
MY TAKE;
1. Hii milima si tuliambiwa sasa imesafishwa na majeshi yetu?
2. Polisi waliendaje na mhalifu sugu milimani usiku wa manane?
3. Mhalifu alikuwa anakwenda kuwaonesha polisi wahalifu wenzake, sasa ilikuwaje Polisi hawakutegemea kuwa lazima mapambano yatatokea, unawezaje kwenda kukamata genge la wahalifu kama vile unakamata mbuzi zizini?
4. Kwa hiyo polisi wamempoteza jambazi mkuu na majambazi wasaidizi wote usiku huo!
Enzi za mazingaombwe zimerudi, sasa naanza kumkumbuka pawa Mabula, Pawa Gronda na mapawa wengine waliokuwa wanaambatana na wanamazingaombwe mashuhuri kufanya miujiza mijini na vijijini. Kwamba huyu jambazi ni sawa na yule muuza madawa ya kulevya wa kimataifa, #Tuwe_Kizazi_Cha_Kuhoji_Daima.
Mtatiro J