Naomba msishabikie hii kama ni ukweli. Labda ni joke.
Vyombo hivi ni muhimu kwetu vikawa na heshima busara na uzalendo kwa hio kusikia
- mwanajeshi amevunja sheria hadi amekamatwa na polisi ni jambo la kufanyia kazi.
-au kusikia polisi wamekamata mwanajeshi bila hatia ni jambo baya pia
- kuwa jeshi JWTZ wanachukua hatua za kupiga individual police men Ni jambo la kutisha
Tuwaombee viongozi wote wenye dhamana ya maamuzi kwa level yoyote wapate busara uimara na ujasiri wa kutekeleza majukumu yao kizalendo
Vyombo hivi ni muhimu kwetu vikawa na heshima busara na uzalendo kwa hio kusikia
- mwanajeshi amevunja sheria hadi amekamatwa na polisi ni jambo la kufanyia kazi.
-au kusikia polisi wamekamata mwanajeshi bila hatia ni jambo baya pia
- kuwa jeshi JWTZ wanachukua hatua za kupiga individual police men Ni jambo la kutisha
Tuwaombee viongozi wote wenye dhamana ya maamuzi kwa level yoyote wapate busara uimara na ujasiri wa kutekeleza majukumu yao kizalendo