Sawa mkuu
hivi pre entry ndo pia imefutwa kwa walio chini ya 3.5 GPA au kuna njia mmbadala mi nlimaliza 2014 gpa 2.9 msaada naweza kuendelea maana lengonilikua mwaka ujao
wakuu msiwe na presha tuliza mteru cubirini had tar moja lazma kieleweke kama n aziwea itapigwa hapo kwa nchi nzma so tuwe wavumilivu na tusiweke Maneno ya kuvunjana moyo wengine ndio tunategemea hapa yani ndio tumemaliza kabisa sasa Maneno ya kuvunjana moyo yanaweza kumtia MTU wazmu waziii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.