Serikali Yamwaga ajira kwa walimu, Yatangaza nafasi 92 kwa ngazi ya shahada nchi nzima

Yaani naomba shule ya msingi ... Watajijua na mshahara wao ... Naona shahada wa sanaa tumesahaulika
 
Serikali ya viwanda iko kazini.
Vijna wataajiriwa awamu hii haijawahi tokea

Haya sasa wahitimu Wa shahada wapatao 150000 mlioko mtaani changamkieni Fursa

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI

1.0 Serikali inatarajia kuajiri Walimu 92 wa Shahada na 174 wa Stashahada wa masomo ya Fizikia, Hisabati, Kilimo na Biashara kwa Shule za Sekondari na Walimu 2,767 wa Cheti kwa Shule za Msingi.

2.0 Waombaji kwa shule za Sekondari wawe waliohitimu mafunzo ya Ualimu mwaka 2016 au kabla, na wale wa Shule za Msingi wawe waliohitimu mafunzo yao mwaka 2014 au kabla.

3.0 Sifa za Waombaji:

3.1 Walimu wa Sekondari:
(i) Shahada ya Elimu (Bachelor with Education) au Shahada ya Ualimu (Bachelor of Education) yenye somo moja la kufundishia au zaidi au Shahada isiyo ya Ualimu/Elimu yenye somo moja la kufundishia au zaidi pamoja na Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) kutoka Vyuo vya Elimu ya Juu vinavyotambulika na Serikali. Masomo ya kufundishia ni kati ya Fizikia, Hisabati, Kilimo au Biashara.
(ii) Stashahada ya Ualimu katika masomo yaliyoainishwa kwenye kipengele Na. 2.1 (i) hapo juu.
(iii) Cheti cha Kidato cha Sita
(iv) Cheti cha Kidato cha Nne

3.2 Walimu wa Shule za Msingi:
(i) Astashahada ya Ualimu iliyotolewa na Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
(ii) Cheti cha Kidato cha Nne (wenye cheti Kidato cha Sita watapewa kipaumbele).

4.0 Utaratibu wa Kutuma Maombi:
(a) Maombi yatumwe kupitia Posta kwa njia ya Rejesta (EMS). Juu ya bahasha iandikwe kwa mkono "Maombi ya Kazi ya Ualimu - Sekondari au Maombi ya Kazi ya Ualimu - Msingi".

(b) Mwombaji aambatishe nakala za Vyeti vilivyothibitishwa (Certified) na Mwanasheria pamoja na "Transcript".

NB: Barua za maombi zisiwasilishwe kwa mkono. Barua zitakazowasilishwa kwa mkono hazitapokelewa.

5.0 Masuala Mengine ya Kuzingatia:
(a) Mwombaji aandike majina yake yote matatu. Kama Vyeti vina majina mawili, utaratibu wa kisheria wa kuongeza jina uzingatiwe.
(b) Mwombaji aambatishe nakala ya Cheti cha Kuzaliwa.

Mwisho wa kupokelewa maombi ni tarehe 31/08/2017.

Maombi yatumwe kwa:
Katibu Mkuu,
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,
S. L. P. 10,
40479 DODOMA.

Imetolewa na:

KATIBU MKUU
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA
 
Serikali ya viwanda iko kazini.
Vijna wataajiriwa awamu hii haijawahi tokea

Haya sasa wahitimu Wa shahada wapatao 150000 mlioko mtaani changamkieni Fursa

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI

1.0 Serikali inatarajia kuajiri Walimu 92 wa Shahada na 174 wa Stashahada wa masomo ya Fizikia, Hisabati, Kilimo na Biashara kwa Shule za Sekondari na Walimu 2,767 wa Cheti kwa Shule za Msingi.

2.0 Waombaji kwa shule za Sekondari wawe waliohitimu mafunzo ya Ualimu mwaka 2016 au kabla, na wale wa Shule za Msingi wawe waliohitimu mafunzo yao mwaka 2014 au kabla.

3.0 Sifa za Waombaji:

3.1 Walimu wa Sekondari:
(i) Shahada ya Elimu (Bachelor with Education) au Shahada ya Ualimu (Bachelor of Education) yenye somo moja la kufundishia au zaidi au Shahada isiyo ya Ualimu/Elimu yenye somo moja la kufundishia au zaidi pamoja na Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) kutoka Vyuo vya Elimu ya Juu vinavyotambulika na Serikali. Masomo ya kufundishia ni kati ya Fizikia, Hisabati, Kilimo au Biashara.
(ii) Stashahada ya Ualimu katika masomo yaliyoainishwa kwenye kipengele Na. 2.1 (i) hapo juu.
(iii) Cheti cha Kidato cha Sita
(iv) Cheti cha Kidato cha Nne

3.2 Walimu wa Shule za Msingi:
(i) Astashahada ya Ualimu iliyotolewa na Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
(ii) Cheti cha Kidato cha Nne (wenye cheti Kidato cha Sita watapewa kipaumbele).

4.0 Utaratibu wa Kutuma Maombi:
(a) Maombi yatumwe kupitia Posta kwa njia ya Rejesta (EMS). Juu ya bahasha iandikwe kwa mkono "Maombi ya Kazi ya Ualimu - Sekondari au Maombi ya Kazi ya Ualimu - Msingi".

(b) Mwombaji aambatishe nakala za Vyeti vilivyothibitishwa (Certified) na Mwanasheria pamoja na "Transcript".

NB: Barua za maombi zisiwasilishwe kwa mkono. Barua zitakazowasilishwa kwa mkono hazitapokelewa.

5.0 Masuala Mengine ya Kuzingatia:
(a) Mwombaji aandike majina yake yote matatu. Kama Vyeti vina majina mawili, utaratibu wa kisheria wa kuongeza jina uzingatiwe.
(b) Mwombaji aambatishe nakala ya Cheti cha Kuzaliwa.

Mwisho wa kupokelewa maombi ni tarehe 31/08/2017.

Maombi yatumwe kwa:
Katibu Mkuu,
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,
S. L. P. 10,
40479 DODOMA.

Imetolewa na:

KATIBU MKUU
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA
Serikali ya viwanda iko kazini.
Vijna wataajiriwa awamu hii haijawahi tokea

Haya sasa wahitimu Wa shahada wapatao 150000 mlioko mtaani changamkieni Fursa

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI

1.0 Serikali inatarajia kuajiri Walimu 92 wa Shahada na 174 wa Stashahada wa masomo ya Fizikia, Hisabati, Kilimo na Biashara kwa Shule za Sekondari na Walimu 2,767 wa Cheti kwa Shule za Msingi.

2.0 Waombaji kwa shule za Sekondari wawe waliohitimu mafunzo ya Ualimu mwaka 2016 au kabla, na wale wa Shule za Msingi wawe waliohitimu mafunzo yao mwaka 2014 au kabla.

3.0 Sifa za Waombaji:

3.1 Walimu wa Sekondari:
(i) Shahada ya Elimu (Bachelor with Education) au Shahada ya Ualimu (Bachelor of Education) yenye somo moja la kufundishia au zaidi au Shahada isiyo ya Ualimu/Elimu yenye somo moja la kufundishia au zaidi pamoja na Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) kutoka Vyuo vya Elimu ya Juu vinavyotambulika na Serikali. Masomo ya kufundishia ni kati ya Fizikia, Hisabati, Kilimo au Biashara.
(ii) Stashahada ya Ualimu katika masomo yaliyoainishwa kwenye kipengele Na. 2.1 (i) hapo juu.
(iii) Cheti cha Kidato cha Sita
(iv) Cheti cha Kidato cha Nne

3.2 Walimu wa Shule za Msingi:
(i) Astashahada ya Ualimu iliyotolewa na Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
(ii) Cheti cha Kidato cha Nne (wenye cheti Kidato cha Sita watapewa kipaumbele).

4.0 Utaratibu wa Kutuma Maombi:
(a) Maombi yatumwe kupitia Posta kwa njia ya Rejesta (EMS). Juu ya bahasha iandikwe kwa mkono "Maombi ya Kazi ya Ualimu - Sekondari au Maombi ya Kazi ya Ualimu - Msingi".

(b) Mwombaji aambatishe nakala za Vyeti vilivyothibitishwa (Certified) na Mwanasheria pamoja na "Transcript".

NB: Barua za maombi zisiwasilishwe kwa mkono. Barua zitakazowasilishwa kwa mkono hazitapokelewa.

5.0 Masuala Mengine ya Kuzingatia:
(a) Mwombaji aandike majina yake yote matatu. Kama Vyeti vina majina mawili, utaratibu wa kisheria wa kuongeza jina uzingatiwe.
(b) Mwombaji aambatishe nakala ya Cheti cha Kuzaliwa.

Mwisho wa kupokelewa maombi ni tarehe 31/08/2017.

Maombi yatumwe kwa:
Katibu Mkuu,
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,
S. L. P. 10,
40479 DODOMA.

Imetolewa na:

KATIBU MKUU
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA



c wamesema au sahahada isyo ya uwalin ila pawe na somo LA kufundishia nami ntaonba ingawa sio mwslim ooooh njaaa inatunyoosha
 
Walimu mlizoea kudekezwa, mnamaliza mnapangiwa jobs moja kwa moja . Utaratibu huo umekwisha. Msilalamike, zoeeni hali, kama kada nyingine walishazoea hali na wanapambana.
 
Mwanangu amesomea ualimu wa primary nchini Canada ambako kule alipata degree ya primary education anaweza kuaply kufundisha primary?
ada aliyoitumia kusoma hiyo degree itamchukua miaka zaidi ya 15 kuirudisha kutokana na mshahara wa ualimu wa primary serikalini...............kwa nini musengetumia hiyo ada kufanya mtaji tosha wa life?, au alisoma bure?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ada aliyoitumia kusoma hiyo degree itamchukua miaka zaidi ya 15 kuirudisha kutokana na mshahara wa ualimu wa primary serikalini...............kwa nini musengetumia hiyo ada kufanya mtaji tosha wa life?, au alisoma bure?

Sent using Jamii Forums mobile app
Alikwenda Canada akiwa mdogo elimu ya chini ilikuwa bure chuo kwasababu hakuwa na uraia alipata mfadhili sasa anataka kurudi nyumbani
 
Alikwenda Canada akiwa mdogo elimu ya chini ilikuwa bure chuo kwasababu hakuwa na uraia alipata mfadhili sasa anataka kurudi nyumbani
Duh kwa degree simshauri, aombe ualimu wa shule ya msingi tena serikalini, atakuwa desperate sana kiuhalisia, ni sawa na daktari speciality afanye kazi zahanati, atakuwa tu psychological torture............ labda kama ni private naweza toa go ahead?........ je degree aliyesoma ni unidiscipline kwamba hawezi apply carrier nyingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh kwa degree simshauri, aombe ualimu wa shule ya msingi tena serikalini, atakuwa desperate sana kiuhalisia, ni sawa na daktari speciality afanye kazi zahanati, atakuwa tu psychological torture............ labda kama ni private naweza toa go ahead?........ je degree aliyesoma ni unidiscipline kwamba hawezi apply carrier nyingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
Another option ni kupata sponsor afanye masters ya kitu kingine kama sociology awe social researcher
 
Chief, naomba uniulizie huko kwa WAKUBWA, wale ma afisa utumishi katika Halmashauri mbalimbali nchini waliokuwa wakighushi mikopo ya Walimu hadi waliokwisha fariki, wamechukuliwa hatua gani sasa?

Mimi nina USHAHIDI lakini bado sijapewa fursa ya kusikilizwa..

Nisaidie wewe uliyeko jikoni Chief
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom