Siungi mkono mkuu,ukiwa na rasilimali chache ni busara kuwekeza katika strategic areas let alone priorities!! Chato is not a strategic area by all means!!
Mimi natumia Raum New Model kwa mwaka mmoja sasa na sijawahi kujutia maamuzi yangu ya kununua gari hiyo!! Ni gari nzuri kwa maana ya Space,Comfortability na Ulaji wa mafuta ni wa kawaida sana!!!
Issue kwamba Mlango wake wa abiria ni kama wa daladala ni sala la mtazamo tu,kimsingi mimi hiyo ndiyo...
Daaaah nimekuelewa mkuu na shukrani za Dhati kwa Mleta Mada!
Inatia Moyo na kuhamasisha Sana unapoona kumbe kuna mtu sehemu fulani anathamini kazi ambazo mababa tunafanya!!
This thread has had my heart dance with Joy!!
Daaaaaaah booooonge LA uzi,nimebaki mdomo wazi!!!
Umenigusa Sana, nimekosea maeneo mengi sana na kupoteza pesa nyingi kwa sababu ya Mchecheto tu Wa Mafanikio
Asante Sana Mkuu,Pamoja Sana!!! Ubarikiwe!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.