Tatua tatizo la uume mdogo

Tatua tatizo la uume mdogo

Kuna mvuje hii sana wanatumiwa kuwafunga watoto wadogi mkononi kama saa utaona kafungwa kitambaa cheusi na ndani mna kama kijiwe ile ni mvuje
Pia kwa ushauri wale wanaoibiwa pesa kwa mazingira ya ajabu ndani ya droo umeuza hela haionekani kanunue mvuje sio ya unga chukua ya vijiwe weka ndani ya droo hela haitatoka
 
Shukrani kwa darsa AL ustadh.. Nilitaka kujua baada ya kutumia hiyo kitu uume utaongezeka kwa ukubwa gani?
 
Kama una uume unaosimama na unapiga kazi vizuri unataka mkubwa Wa mini wakati sehemu ile kichwa cha mtoto chapita.

Kingine hakikisha tu hufungi injini ya Carina kwenye Scania na viceversa
 
Na pia uwakumbushe mungu alimuumba mwanamke na bikra na maana ya bikra kila mtu afungue kwa kiasi chake mwenye ndogo atafungua kwa udogo wake na itambana na mwenye kubwa atafungua kwa kiasi chake na wote watasikia raha na bila kujali ni kubwa au ndogo
Lakini hivi sasa watu wanajua kuna kubwa na ndogo kwa kuwa uzinzi umekuwa mkubwa kiasi ukimpata aliyepitiwa na inch 12 urefubna upana wa mzunguko inch 10 wewe mwenye inch 6 na mzunguko ni inch 4 utasikia raha gani ? Ni lazma uonekane ni ndogo lakini hiyo hiyo ukimpata mwenye bikra utaonekana kubwa kwa kua funguo imechonga njia yake mpya
Nasisitiza acheni uzinzi huu uzinzi ndio unatupeleka kujua hii ni kubwa na hii ni ndogo wakati tumeekewa bikra ili kila mtu afungue njia kwa saizi yake
Hakuna cha hatiti wala haltoto acha kuzini tafuta jiko jipya fungua njia kwa saizi yako raha ni ile ile anayopata wavinch 12

Nimekuelewa Sana Kiongozi,Sana tu!!!!
 
Tatizo hamna dozi kamili utumie kiasi gani hivyo madhara ya dawa yanaweza kuwa makubwa kuliko matibabu... na kama dawa ikileta madhara nini kitumike kwa ajili ya kuondoa madhara ya dawa? Je dawa imesajiliwa na tfda na kuthibitiika haina madhara kwa mtumiaj.. ndugu zangu tuwe makini na hizi dawa unaweza ukapata uume mkubwa na kuambulia madhara mengine kama kansa..
 
Inategemea na ufupi wa dhakari yako mkuu. Ila kadri utakavyoendelea na matumizi ndivyo utakavyozidi kuuliza na kuwa zaid na zaid.
Kuchua ni kwa aina gani na kwa dk ngapi?na je haitegemei na umri wa mtu hata kama mzee inawezekana kuongezeka?na je wapi ambako au waliofanikiwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom