Xhaks
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 247
- 233
Ndo hapo sasa nashindwaga kuelewa maana yake nn..afu mtu kama Frola...,ndoa yake haina ushuhuda wa ki kristo kabxa af eti ana hubiri.,wkt huo kaachana na mumeo tena kwa kumdharilisha...aaaagh!!!!Huwaga natatizika sana kusikia Masanja mkandamizaji naye eti Muubiri...
Kuna njia nyingi sana za kujipatia kipato lakin sio kwa kumdhihaki Mola