Ni kweli maana madhabahu nyingi zinazotumiwa na chama kubwa ni za shwetwani wakisaidiana na lile likoroboi,ambalo ukiuliza maana yake unaambiwa ni utamaduni wetu.Watu wanapiga Yeriko nchi nzima na kuingiza watu maagano mazito.Hapa tunatakiwa watu tutakaomuomba Mungu haswa tena toba ya...
Hivi wabunge mkoa wa Dodoma wana shida gani!!?Badala ya kupambana na maendeleo ya wananchi wao wanapambana na wapinzani wakati wananchi wao wanakula viwavi.Huu ulevi wa vyeo umevuruga sana huu mkoa.Hivi vyeo ni vya muda tu hata mzee Malechela anajua.
Ndo maana wale wengine wamefanya rambirambi mradi.Sijui kwa nini hawaoni hili wamkamate mwenyekiti wamkamate mwenyekiti wa kamati ya harusi halafu hela ziende kwenye miradi
Kutokana na wananchi wenye hasira kali kuna mtu atapigwa barn hapa!!Maana kuna saa yatatumika mtusi kutokana na hasira juu ya chama na juu ya wasanii!!.Mungu nishike mkono nisitoe tusi kwa huyu kijana aliyejichibua
Maskini Tanganyika unaelekea wapi,naona kama unapotea Tanganyika,rudi rudi!!Ulifunga ndoa na amani leo unafunga amani na vitu vyenye ncha kali!!Na watu wasio na huruma
Kwenye maisha yangu nilifundishwa na wazee ukitumia sadaka ya kanisani au msikiti isivyo unaweza kuwa kichaa au kizazi chako kitakuja kuwa na matatizo.Rambirambi ndo kabisa waliniambia yatakupata mabaya zaidi utakuwa kichaa au mtu asiyeeeleka katika jamii,na utakuwa na roho ya kukataliwa na...
Hilo jina lako ndo litafanya hata huu ujumbe tuukatae(Askari muoga)Na sasa subiri askari jasiri wakushukie hapa sasa hivi.Sala ya toba lazima utubu kwa kinywa chako la sivyo hukumu inakupasa!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.