Nchi hii itakombolewa na wanaomlilia "MUNGU TU"

uttoh2002

JF-Expert Member
Feb 3, 2012
14,653
26,387
Ndugu zangu, mimi pamoja na kupinga mambo mengi ya CCM, lakini napenda kusema kwamba Rais hana kosa wala na nia mbaya na ACT, hata kidogo ..... Na pia, Mwenyekiti wa ACT alikuwa na uhuru wa kukataa, hakulazimishwa, ameipenda nafasi na anakwenda kutumikia wa Tanzania!

Hii maana yake nini? Wapinzani wote (Including chadema), kujidai wanajali maslahi ya Watanzania ni unafiki mkubwa, hakuna mtu anajali hayo, wanajali matumbo yao tu, then kuongelea maslahi yetu ni basi tu kuboresha yao kwanza!

HII NCHI HII NCHI, haitakombolewa na upinzani, itakombolewa na watu wanaomlilia Mungu tu... tusiweke imani yetu kwa binadamu.

Hivi umewahi kujiuliza kwamba viongozi wa chadema na washirikia wao wanatokea wapo?

- Kwenye jamii hii hii ambamo wa CCM wanatoka.
- Kwenye makanisa haya haya ya wana CCM.
- Kwenye vyuo hivi hivi ambapo pia wanatoka wa CCM ...
- So mwanachadema ni Mtanzania na Mwana CCM ni Mtanzania!!!!

Kwa nini tuamini kwamba akishakuwa mwana CHADEMA anabadilika anakuwa mtakatifu, hii ni fikra ya kijinga kabisa, hawa ni kwamba wanatafuta mbinu rahisi za kuuza ambazo ni kujidai kutetea wanyonge, ndio maana ACT wakaja na business strategy ya azimio bla bla bla na socialist, ALL THESE ARE BUSINESS PEOPLE;

SWALI ;

- Wako wapi wale watu watakaomlilia Mungu juu ha hili TAIFA kwa dhati bila uchama?
- Wako wapi watakaoomboleza kweli kwa dhati mbele za Mungu?
- Kila mtu na dini yake kwa namna yake?

"AMELAANIWA AMTEGEMEAYE MWANADAMU"​
 
Umenena vyema, pasipo maombi ya dhati na kumaanisha kabisa itakuwa kama kutwanga maji kwenye kinu. Ile idea niliyoisikia jumapili kutoka kwa Baba Askofu Gwajima natamani ingefanyiwa kazi. Mungu
atusaidie
 
Ni kweli maana madhabahu nyingi zinazotumiwa na chama kubwa ni za shwetwani wakisaidiana na lile likoroboi,ambalo ukiuliza maana yake unaambiwa ni utamaduni wetu.Watu wanapiga Yeriko nchi nzima na kuingiza watu maagano mazito.Hapa tunatakiwa watu tutakaomuomba Mungu haswa tena toba ya maana.Maana siasa imekuwa usanii mbaya.
 
Ndugu zangu, mimi pamoja na kupinga mambo mengi ya CCM, lakini napenda kusema kwamba Rais hana kosa wala na nia mbaya na ACT, hata kidogo ..... Na pia, Mwenyekiti wa ACT alikuwa na uhuru wa kukataa, hakulazimishwa, ameipenda nafasi na anakwenda kutumikia wa Tanzania!

Hii maana yake nini? Wapinzani wote (Including chadema), kujidai wanajali maslahi ya Watanzania ni unafiki mkubwa, hakuna mtu anajali hayo, wanajali matumbo yao tu, then kuongelea maslahi yetu ni basi tu kuboresha yao kwanza!

HII NCHI HII NCHI, haitakombolewa na upinzani, itakombolewa na watu wanaomlilia Mungu tu... tusiweke imani yetu kwa binadamu.

Hivi umewahi kujiuliza kwamba viongozi wa chadema na washirikia wao wanatokea wapo?

- Kwenye jamii hii hii ambamo wa CCM wanatoka.
- Kwenye makanisa haya haya ya wana CCM.
- Kwenye vyuo hivi hivi ambapo pia wanatoka wa CCM ...
- So mwanachadema ni Mtanzania na Mwana CCM ni Mtanzania!!!!

Kwa nini tuamini kwamba akishakuwa mwana CHADEMA anabadilika anakuwa mtakatifu, hii ni fikra ya kijinga kabisa, hawa ni kwamba wanatafuta mbinu rahisi za kuuza ambazo ni kujidai kutetea wanyonge, ndio maana ACT wakaja na business strategy ya azimio bla bla bla na socialist, ALL THESE ARE BUSINESS PEOPLE;

SWALI ;

- Wako wapi wale watu watakaomlilia Mungu juu ha hili TAIFA kwa dhati bila uchama?
- Wako wapi watakaoomboleza kweli kwa dhati mbele za Mungu?
- Kila mtu na dini yake kwa namna yake?

"AMELAANIWA AMTEGEMEAYE MWANADAMU"​
Umejichanganya sana. Mtu akishajiunga na CHADEMA anakuwa kiumbe kipya. I.E sera za CHADEMA ndizo zitakazomtofautisha na mapaka shume ya Chama cha mapinduzi.
 
Rais wetu hana ubaguzi yeye anachotaka ni maendeleo tu si kitu kingine namkubali sana lais wetu
 
Back
Top Bottom