1.chukua tambi nusu, au kulingana na idadi ya walaji
2. Chemsha maji kiasi tia chumvi
3.chukua tambi zako weka kwenye maji yachemkayo, subir kama dk 5-10 ziive
4.Zikiiva epua, zifanye maji yatoke
5. Chukua sufuria nyngne weka mafuta, kitunguu kiwe brown
6.weka hoho then nyanya
7.ukipata rojo...