Huyu mwanamke inapoelekea nitampiga nifungwe bure

so sad umenkumbusha nilivyompambania demu wangu,licha ya mengi mazur niliomfanyia mwisho wa siku ubaya wake kwangu ulizid kiasi kwamba alishaenda hadi kunishtaki kituo cha police na lengo ni kunifunga kabisa gerezani, utajiuliza ni kosa gani nilifanya ila kwa hakika ukiwa na moyo mdogo unaweza ukapewa kesi ya kuua,

pole sana bro achana nae usije chimbia ndoto za maisha yako kwa mikono yako mwenyewe.


Kuhusu moyo wa kisasi mpaka mda huu ninao ila nashukuru mungu yapo mengi ya kunishughulisha na at least nimekua MTU wa mungu zaidi na mengine nimemuachia mungu na kusamehe......



Katika mafunzo ya kidini kupitia vitabu vitakatifu tumeambiwa HAWA alitoka katika ubavu wa ADAMU...... HIVYO BASI wanawake ni sawa na ubavu ulivyo kaa umepinda pinda, ukitaka unyooshe ubavu uwe kama rula unaweza ukafunja(kuua),hivyo mwanamke Siku zote ni MTU wa vitimbi ukitumia nguvu nyingi utaishia pabaya kwani ndo nature yao.

Hivyo tuchukue lile neno takatifu kutoka kwa muumba,wanawake tuishi nao kwa akili na sisi ndo viongozi wao,kiongozi bora ukitaka upime uwezo wako kafuge mbuzi(wafugaji watakua wamenielewa)..ukimuweza kumuongoza mbuzi bila kumdhuru kwa maudhi yake we utaweza kuishi na kiumbe yoyote hususani mwanamke, hasikiiii kama mbuzi vile alivyo na maudhiii yake hivyo hawaishi vitimbi..!!!!!!


Pole sana kaka mungu awe naww katika kipindi hichi kigumu na Huyo shetani wa kisasi mlaani usije maliza ndoto zako mwenyewe!!!!




F@nn¥
 
Hello,,,

Najua mko poa.

2015 nilimpata huyu dada,nilijenga nae mahusiano vizuri kabisa,nakumbuka kipindi hicho ndo nilikua mwaka wa kwanza chuo,kipindi hicho huyu demu alikua ananipenda kusema ukweli,hakunipendea kitu ila tu alinipenda yeye kama yeye na ndo mana sikumtongoza ila yeye ndo alianzisha mazoea ikabidi nianzishe mahusiano nae baada ya kuonyesha ishara za kunitaka,ni msichana mzuri sana,ana kila aina ya sifa ya kuitwa mrembo,na kwao wananijua hata kwetu pia wanamjua,

Huyu demu niliendelea nae kwenye mahusiano mpk nilivyo maliza chuo 2018,Nilivyo maliza chuo mapenzi yetu yalikua moto moto mpaka nikaacha michepuko yote ya chuo,nilianza kuchukua majukum ya kumhudumia mana nilikua nishamfanya kama mke wangu tayari japo nilikua siishi nae,Ninapo sema kumhudumia namaanisha yani ilifikia hatua mtu yeyote akiugua pale kwao jukum nachukua Mimi mana kipindi hicho nilikua naendesha Bajaj ya nyumban pia nilikua na piki piki yangu niliyo achiwa na marehem mzee wangu,hii piki piki nilimpa dogo flan ili awe ananipa kila Siku 7000,Kwa hyo hela kwangu haikua shida kabisa Kwa kipindi kile,yan dem hata akitaka hela ya kuhemea pale kwao Ilikua ananicheki Mim,Mimi sikua na hiyana ilibidi nichukue hayo majukumu,

Nakumbuka baada ya kufanya kaz ya Bajaj ndan ya miez 6 sikuweza kufanya chochote ila nikagundua pesa namalizia Kwa demu ikabidi nianze kutafuta kaz ili niachane na mambo ya Bajaj,kweli ndan ya mwez mmoja nikapata kaz kwenye kampuni flan ambayo ndo Ilikua imeanzishwa,wakanambia tutakua tunakulipa kadri kampuni inavyo endelea kukua,kweli ilibidi nikubaliane na mshahara wao wa 350K,kumbuka kipindi hicho Niko na demu na namhudumia kama kawaida,

Ile kampuni ndan ya miez 6 nilijikuta nalipwa kama 650K mana nilikua najituma sana,sitaki kueleza nilikuwa upande gan kwenye kampuni ile,Nakumbuka nilivyofikisha salary ya 650k kila mwez nilikua nampa 150k mana nilikua nampa ili anunue mahitaji ya nyumban kwao cz hawakua na baba,walikua wanaishi yeye,mama,na wadogo zake wawili,

Huyu Demu niliendelea nae kwenye mahusiano mpaka mwaka Jana mwezi 1 ambapo mama yangu mzazi aliugua,tulizunguka sana mahospital mpk Kwa waganga ila tatizo likaja kuonekana mhimbili kuwa anatatzo la figo,kumbuka toka mwezi huo Mimi ndo nilikua nazunguka na mama mana ndo nilikua kama mtoto wa mwisho so braza na sister zangu wao kaz yao Ilikua ni kutuma hela tu,

Huo mwez wa 3 mwaka Jana ndo tatizo lilikuja kuonekana,Baada ya tatizo kuonekana ikabidi matibabu yaanze,kama mjuavyo matatizo ya figo yalivyo ya gharama ikawa pesa yote tunayo pata ikawa inaishia hospital,Mara kipimo hiki Mara kwenda agha khan Mara mpewe barua kwenda Regency,ilifikia hatua mpaka tukawa tunashindwa kula mana hela ambazo ndugu zangu wote tulikua tukipata nilikua zinaishia Kwa mama,Lakin Kwa huyu dem nilikua najibana natuma hata 50k,

Baada ya kukaa miezi 4 siko kazin ilibidi niandikiwe barua ya kuachishwa kazi,kwamba hawawez kuendelea kunilipa wakati sipo kazin ila wakanambia wananiingizia 4.8m ili inisaidie,

Kweli baada ya Siku mbili niliingiziwa hyo pesa,Lakin cha ajabu hyo pesa ndani ya mwezi iliisha japo huyu demu nilimtumia laki 3,

Ilifikia hatua simu nikauza,na Dada yangu ambaye nilikua nasaidiana nae pale mhimbili kumwuguza mama nae simu akauza,(Usiombe umwuguze ndugu yako figo)

Nikiwa pale mhimbili naendelea kumwuguza mama,huyu demu alinipgia simu Kwa kisimu changu kidogo nilichobaki nacho akiniomba nimtumie Elfu hamsini,nikamjibu poa huku Kwa akili yangu nikitaka nimtafute mshikaji nijikope ili nimtumie hiyo pesa,ila nafsi ikakataa nikamjibu labda anisubiri mpaka mwisho wa mwezi,akajibu sawa,kesho yake tena akanipgia akaniuliza huna hata elfu kumi hapo nikamjibu sina Ila nikamwomba anivumilie,Nakumbuka zilipita kama Siku tano huku mabadiliko makubwa nikiwa nimesha yaona nikimtext sms anajibu P,k,Ok,pw,

Siku moja huyu demu aliniandikia sms ambayo mpaka Leo nikikumbuka huwa nawachukia wanawake wote ’JIMMY USIPONIHUDUMIA WEWE ATANIHUDUMIA NANI???' Akamalizia Kwa kusema "KAMA UMESHAPATA WANAWAKE WENGINE SEMA ILI NIACHE KUPOTEZA MUDA"

Nakumbuka Siku hyo Ilikua mida ya saa5 usiku nikiwa nimelala kwenye benchi pale mhimbili,hii ya kulala kwenye mabenchi najua wanaijua wale walio wahi kuuguza pale mhimbili,Nilimjibu "POA"

Toka Siku hiyo huyu demu hakuwahi kujibu text yangu na wala kupokea simu yangu,ikabidi nifute namba yake akili yote nikaelekeza Kwa mama mana ndugu wote tulikua tumesha changanyikiwa,

Mwezi wa 7 mwaka Jana kuna jamaa alinitext akaniuliza,,vp jay ushaachana na yule Demu? Nikamjibu hapana,akanambia niingie watsaap nikacheki,ikabidi niende Kwa jamaa flani alikua na duka pale mhimbili nikamuomba simu nikaweka namba ya demu nikakuta wako na jamaa flan,nikacheki status nyingi wakiwa wanapika pmj,pale pale nikasema kimoyo moyo "POA" nikamrudishia jamaa simu yake nikarudi pale kwenye benchi kumsubiri Dada mana daktari alikua ameuita kidogo,nikiwa nimekaa pale kama nusu saa sister akaja analia,nikamwuliza vipi?

Akanipa barua nikaona tume pewa rufaa ya mama kupelekwa India mana ilionekana figo zote zina elekea kufeli,tukakusanyika ndugu wote ikabidi tuuze nyumba ambayo tulijengewa watoto wa kiume na tukauza Bajaj na viwanja vitatu,Naelezea hivi ili mjue uchungu nilionao juu ya huyu demu,

Mwez wa 8 mwaka Jana mama tulimfikisha India nikiwa Mimi na Dada yangu,najua wengi watajiuliza Kwann ni Mimi tu na Dada yangu huyu tulikua tukimwuguza mama!!?? Huyu Dada ndo mkubwa kwetu na Mimi ndo mtoto wa kiume wa mwisho nikifuatiwa na mtoto wa kike,hawa wengine ndugu zangu walikua na wake zao na waume zao,na huyu sister alifiwa na mume wake so ikabidi me na yeye ndo tumwuguze mama japo ndugu wengine hawa Ilikua ni kutoa pesa na kuulizia hali inavyo enda.

Tulivyo mfikisha mama India hali ilizidi kuwa mbaya ndani ya wiki mbili akawa amefariki,
Ndugu walijichanga huku wakatuma pesa tukawa tumesafirisha mwili mpaka Dar then tukachukua gari mpaka mwanza,

Tarehe 4 mwez 9 tuliweza kumpumzisha mama,
Maisha mapya kwangu yakaanza,ikabidi jamaa flan anichukue nikafanye nae inshu za gereji mana muda wote nilikua nafikiria kumuua huyu demu kiasi kwamba kuna Siku nilinunua dumu la petrol ili nikachome nyumba ya jamaa yake usiku wakiwa ndani,usiku huo huo ndo huyu mshikaji akaja kunishauri nijiunge nae gereji mana nilikua sina mwelekeo,

Nikaanza kuwa fundi gereji na usiku nikawa napga bodaboda,nikawa nimemsahau huyu demu mana nikawa nikitaka demu naenda kununua Malaya napita zangu hivi,

Nimefanya kaz ya ufundi mpaka nikawa natumwa kuchukua magari Dar,angalau life langu likarudi fresh,Kwa wiki kufata magari mwili dar ni kawaida sana najikuta napata pesa ya mtu anae kaa ofisin mwez mzima,

Huyu Demu baada ya kuniona maisha yangu Kwa sasa kaanza usumbufu,kawafuata ndugu zangu wote kuwaomba wanikutanishe na yeye nimekataa,Mwez uliopita nilirudi usiku Saa 5 usiku nimetoka Dar nikamkuta kakaa na mdogo wangu,ile dogo Anakuja kunipokea na yeye akaja nikakimbilia ndani kuchukua panga ile narudi huku nalia dogo akanishika wapangaji wote wakatoka baada ya kumskia huyu demu akilia akiomba msaada,

Licha ya kumkanya ila kila Siku anasumbua tu mpaka Kwa ndugu zangu,mpaka kaenda Kwa mama flan ambaye alikua ni rafiki na mama,akaniita ila ajabu kila nikitaka kuwaeleza alichonambia huyu binti kipindi kile najikuta nalia nashindwa kuongea,

Huyu demu kafanya niwe mlevi wa kununua Malaya kiasi kwamba nikimwona demu wa uraiani hata awe mzuri vp hata hamu ya kumtongoza wala sipati.

Kila nikimfikiria huyu Demu Nataman kumfanyia kitu kibaya tu,yan kwenye kichwa changu nahisi Nina deni kubwa la kumfanyia unyama huyu demu.

Imebidi nije humu JF nahis naweza pata washauri wazuri namna ya kudeal na hii situation mana naona kabisa soon Ntakua magereza mana kila nikimfikiria huyu demu nahis kama maisha yangu ili yaende sawa ni mpaka nimfanyie kitu kibaya ambacho atakufa bila kusahau.

Ahsanteni.

Mshukuru Mungu tu. Imagine if you would had married to her, how ugly situation would be?

Afterall, sio mkeo, hukufanya commitment yoyote to officiate as your wife, so what are you troubled? Fedha uliyotumia kumhudumia? Kwamba she was gold to you? alikuandikia sms mbaya?

Upande wangu, you were frustrated and stressed by other problems, likely matatizo ya ugonjwa wa mama.


Mwanamke asie mkeo huna haja ta kuumiza kichwa, hata kuchukua malaya sio sustainable solution. You have to settle you mind, abort every idea toward this idiot woman. That was Gods plan to salvate you from there,

Uliamwamini bila kuweka akiba. Hukumjua, ulihudumia kama mkeo wakati sio. Specifically you might crated her in that way she acted on you


Mbona ni kama unatamani kufungwa? Wakristo husema " unabii huumbwa katika maneno ya mtu" nakusihi usijitabilie kifungo. Hata hivo, huna haja, yawezekana wewe ndie unayemtesa kuliko yeye anavokutesa kwa sasa.

Thank Jimmy
 
Hello,,,

Najua mko poa.

2015 nilimpata huyu dada,nilijenga nae mahusiano vizuri kabisa,nakumbuka kipindi hicho ndo nilikua mwaka wa kwanza chuo,kipindi hicho huyu demu alikua ananipenda kusema ukweli,hakunipendea kitu ila tu alinipenda yeye kama yeye na ndo mana sikumtongoza ila yeye ndo alianzisha mazoea ikabidi nianzishe mahusiano nae baada ya kuonyesha ishara za kunitaka,ni msichana mzuri sana,ana kila aina ya sifa ya kuitwa mrembo,na kwao wananijua hata kwetu pia wanamjua,

Huyu demu niliendelea nae kwenye mahusiano mpk nilivyo maliza chuo 2018,Nilivyo maliza chuo mapenzi yetu yalikua moto moto mpaka nikaacha michepuko yote ya chuo,nilianza kuchukua majukum ya kumhudumia mana nilikua nishamfanya kama mke wangu tayari japo nilikua siishi nae,Ninapo sema kumhudumia namaanisha yani ilifikia hatua mtu yeyote akiugua pale kwao jukum nachukua Mimi mana kipindi hicho nilikua naendesha Bajaj ya nyumban pia nilikua na piki piki yangu niliyo achiwa na marehem mzee wangu,hii piki piki nilimpa dogo flan ili awe ananipa kila Siku 7000,Kwa hyo hela kwangu haikua shida kabisa Kwa kipindi kile,yan dem hata akitaka hela ya kuhemea pale kwao Ilikua ananicheki Mim,Mimi sikua na hiyana ilibidi nichukue hayo majukumu,

Nakumbuka baada ya kufanya kaz ya Bajaj ndan ya miez 6 sikuweza kufanya chochote ila nikagundua pesa namalizia Kwa demu ikabidi nianze kutafuta kaz ili niachane na mambo ya Bajaj,kweli ndan ya mwez mmoja nikapata kaz kwenye kampuni flan ambayo ndo Ilikua imeanzishwa,wakanambia tutakua tunakulipa kadri kampuni inavyo endelea kukua,kweli ilibidi nikubaliane na mshahara wao wa 350K,kumbuka kipindi hicho Niko na demu na namhudumia kama kawaida,

Ile kampuni ndan ya miez 6 nilijikuta nalipwa kama 650K mana nilikua najituma sana,sitaki kueleza nilikuwa upande gan kwenye kampuni ile,Nakumbuka nilivyofikisha salary ya 650k kila mwez nilikua nampa 150k mana nilikua nampa ili anunue mahitaji ya nyumban kwao cz hawakua na baba,walikua wanaishi yeye,mama,na wadogo zake wawili,

Huyu Demu niliendelea nae kwenye mahusiano mpaka mwaka Jana mwezi 1 ambapo mama yangu mzazi aliugua,tulizunguka sana mahospital mpk Kwa waganga ila tatizo likaja kuonekana mhimbili kuwa anatatzo la figo,kumbuka toka mwezi huo Mimi ndo nilikua nazunguka na mama mana ndo nilikua kama mtoto wa mwisho so braza na sister zangu wao kaz yao Ilikua ni kutuma hela tu,

Huo mwez wa 3 mwaka Jana ndo tatizo lilikuja kuonekana,Baada ya tatizo kuonekana ikabidi matibabu yaanze,kama mjuavyo matatizo ya figo yalivyo ya gharama ikawa pesa yote tunayo pata ikawa inaishia hospital,Mara kipimo hiki Mara kwenda agha khan Mara mpewe barua kwenda Regency,ilifikia hatua mpaka tukawa tunashindwa kula mana hela ambazo ndugu zangu wote tulikua tukipata nilikua zinaishia Kwa mama,Lakin Kwa huyu dem nilikua najibana natuma hata 50k,

Baada ya kukaa miezi 4 siko kazin ilibidi niandikiwe barua ya kuachishwa kazi,kwamba hawawez kuendelea kunilipa wakati sipo kazin ila wakanambia wananiingizia 4.8m ili inisaidie,

Kweli baada ya Siku mbili niliingiziwa hyo pesa,Lakin cha ajabu hyo pesa ndani ya mwezi iliisha japo huyu demu nilimtumia laki 3,

Ilifikia hatua simu nikauza,na Dada yangu ambaye nilikua nasaidiana nae pale mhimbili kumwuguza mama nae simu akauza,(Usiombe umwuguze ndugu yako figo)

Nikiwa pale mhimbili naendelea kumwuguza mama,huyu demu alinipgia simu Kwa kisimu changu kidogo nilichobaki nacho akiniomba nimtumie Elfu hamsini,nikamjibu poa huku Kwa akili yangu nikitaka nimtafute mshikaji nijikope ili nimtumie hiyo pesa,ila nafsi ikakataa nikamjibu labda anisubiri mpaka mwisho wa mwezi,akajibu sawa,kesho yake tena akanipgia akaniuliza huna hata elfu kumi hapo nikamjibu sina Ila nikamwomba anivumilie,Nakumbuka zilipita kama Siku tano huku mabadiliko makubwa nikiwa nimesha yaona nikimtext sms anajibu P,k,Ok,pw,

Siku moja huyu demu aliniandikia sms ambayo mpaka Leo nikikumbuka huwa nawachukia wanawake wote ’JIMMY USIPONIHUDUMIA WEWE ATANIHUDUMIA NANI???' Akamalizia Kwa kusema "KAMA UMESHAPATA WANAWAKE WENGINE SEMA ILI NIACHE KUPOTEZA MUDA"

Nakumbuka Siku hyo Ilikua mida ya saa5 usiku nikiwa nimelala kwenye benchi pale mhimbili,hii ya kulala kwenye mabenchi najua wanaijua wale walio wahi kuuguza pale mhimbili,Nilimjibu "POA"

Toka Siku hiyo huyu demu hakuwahi kujibu text yangu na wala kupokea simu yangu,ikabidi nifute namba yake akili yote nikaelekeza Kwa mama mana ndugu wote tulikua tumesha changanyikiwa,

Mwezi wa 7 mwaka Jana kuna jamaa alinitext akaniuliza,,vp jay ushaachana na yule Demu? Nikamjibu hapana,akanambia niingie watsaap nikacheki,ikabidi niende Kwa jamaa flani alikua na duka pale mhimbili nikamuomba simu nikaweka namba ya demu nikakuta wako na jamaa flan,nikacheki status nyingi wakiwa wanapika pmj,pale pale nikasema kimoyo moyo "POA" nikamrudishia jamaa simu yake nikarudi pale kwenye benchi kumsubiri Dada mana daktari alikua ameuita kidogo,nikiwa nimekaa pale kama nusu saa sister akaja analia,nikamwuliza vipi?

Akanipa barua nikaona tume pewa rufaa ya mama kupelekwa India mana ilionekana figo zote zina elekea kufeli,tukakusanyika ndugu wote ikabidi tuuze nyumba ambayo tulijengewa watoto wa kiume na tukauza Bajaj na viwanja vitatu,Naelezea hivi ili mjue uchungu nilionao juu ya huyu demu,

Mwez wa 8 mwaka Jana mama tulimfikisha India nikiwa Mimi na Dada yangu,najua wengi watajiuliza Kwann ni Mimi tu na Dada yangu huyu tulikua tukimwuguza mama!!?? Huyu Dada ndo mkubwa kwetu na Mimi ndo mtoto wa kiume wa mwisho nikifuatiwa na mtoto wa kike,hawa wengine ndugu zangu walikua na wake zao na waume zao,na huyu sister alifiwa na mume wake so ikabidi me na yeye ndo tumwuguze mama japo ndugu wengine hawa Ilikua ni kutoa pesa na kuulizia hali inavyo enda.

Tulivyo mfikisha mama India hali ilizidi kuwa mbaya ndani ya wiki mbili akawa amefariki,
Ndugu walijichanga huku wakatuma pesa tukawa tumesafirisha mwili mpaka Dar then tukachukua gari mpaka mwanza,

Tarehe 4 mwez 9 tuliweza kumpumzisha mama,
Maisha mapya kwangu yakaanza,ikabidi jamaa flan anichukue nikafanye nae inshu za gereji mana muda wote nilikua nafikiria kumuua huyu demu kiasi kwamba kuna Siku nilinunua dumu la petrol ili nikachome nyumba ya jamaa yake usiku wakiwa ndani,usiku huo huo ndo huyu mshikaji akaja kunishauri nijiunge nae gereji mana nilikua sina mwelekeo,

Nikaanza kuwa fundi gereji na usiku nikawa napga bodaboda,nikawa nimemsahau huyu demu mana nikawa nikitaka demu naenda kununua Malaya napita zangu hivi,

Nimefanya kaz ya ufundi mpaka nikawa natumwa kuchukua magari Dar,angalau life langu likarudi fresh,Kwa wiki kufata magari mwili dar ni kawaida sana najikuta napata pesa ya mtu anae kaa ofisin mwez mzima,

Huyu Demu baada ya kuniona maisha yangu Kwa sasa kaanza usumbufu,kawafuata ndugu zangu wote kuwaomba wanikutanishe na yeye nimekataa,Mwez uliopita nilirudi usiku Saa 5 usiku nimetoka Dar nikamkuta kakaa na mdogo wangu,ile dogo Anakuja kunipokea na yeye akaja nikakimbilia ndani kuchukua panga ile narudi huku nalia dogo akanishika wapangaji wote wakatoka baada ya kumskia huyu demu akilia akiomba msaada,

Licha ya kumkanya ila kila Siku anasumbua tu mpaka Kwa ndugu zangu,mpaka kaenda Kwa mama flan ambaye alikua ni rafiki na mama,akaniita ila ajabu kila nikitaka kuwaeleza alichonambia huyu binti kipindi kile najikuta nalia nashindwa kuongea,

Huyu demu kafanya niwe mlevi wa kununua Malaya kiasi kwamba nikimwona demu wa uraiani hata awe mzuri vp hata hamu ya kumtongoza wala sipati.

Kila nikimfikiria huyu Demu Nataman kumfanyia kitu kibaya tu,yan kwenye kichwa changu nahisi Nina deni kubwa la kumfanyia unyama huyu demu.

Imebidi nije humu JF nahis naweza pata washauri wazuri namna ya kudeal na hii situation mana naona kabisa soon Ntakua magereza mana kila nikimfikiria huyu demu nahis kama maisha yangu ili yaende sawa ni mpaka nimfanyie kitu kibaya ambacho atakufa bila kusahau.

Ahsanteni.
[/QUOTE
Po
Hello,,,

Najua mko poa.

2015 nilimpata huyu dada,nilijenga nae mahusiano vizuri kabisa,nakumbuka kipindi hicho ndo nilikua mwaka wa kwanza chuo,kipindi hicho huyu demu alikua ananipenda kusema ukweli,hakunipendea kitu ila tu alinipenda yeye kama yeye na ndo mana sikumtongoza ila yeye ndo alianzisha mazoea ikabidi nianzishe mahusiano nae baada ya kuonyesha ishara za kunitaka,ni msichana mzuri sana,ana kila aina ya sifa ya kuitwa mrembo,na kwao wananijua hata kwetu pia wanamjua,

Huyu demu niliendelea nae kwenye mahusiano mpk nilivyo maliza chuo 2018,Nilivyo maliza chuo mapenzi yetu yalikua moto moto mpaka nikaacha michepuko yote ya chuo,nilianza kuchukua majukum ya kumhudumia mana nilikua nishamfanya kama mke wangu tayari japo nilikua siishi nae,Ninapo sema kumhudumia namaanisha yani ilifikia hatua mtu yeyote akiugua pale kwao jukum nachukua Mimi mana kipindi hicho nilikua naendesha Bajaj ya nyumban pia nilikua na piki piki yangu niliyo achiwa na marehem mzee wangu,hii piki piki nilimpa dogo flan ili awe ananipa kila Siku 7000,Kwa hyo hela kwangu haikua shida kabisa Kwa kipindi kile,yan dem hata akitaka hela ya kuhemea pale kwao Ilikua ananicheki Mim,Mimi sikua na hiyana ilibidi nichukue hayo majukumu,

Nakumbuka baada ya kufanya kaz ya Bajaj ndan ya miez 6 sikuweza kufanya chochote ila nikagundua pesa namalizia Kwa demu ikabidi nianze kutafuta kaz ili niachane na mambo ya Bajaj,kweli ndan ya mwez mmoja nikapata kaz kwenye kampuni flan ambayo ndo Ilikua imeanzishwa,wakanambia tutakua tunakulipa kadri kampuni inavyo endelea kukua,kweli ilibidi nikubaliane na mshahara wao wa 350K,kumbuka kipindi hicho Niko na demu na namhudumia kama kawaida,

Ile kampuni ndan ya miez 6 nilijikuta nalipwa kama 650K mana nilikua najituma sana,sitaki kueleza nilikuwa upande gan kwenye kampuni ile,Nakumbuka nilivyofikisha salary ya 650k kila mwez nilikua nampa 150k mana nilikua nampa ili anunue mahitaji ya nyumban kwao cz hawakua na baba,walikua wanaishi yeye,mama,na wadogo zake wawili,

Huyu Demu niliendelea nae kwenye mahusiano mpaka mwaka Jana mwezi 1 ambapo mama yangu mzazi aliugua,tulizunguka sana mahospital mpk Kwa waganga ila tatizo likaja kuonekana mhimbili kuwa anatatzo la figo,kumbuka toka mwezi huo Mimi ndo nilikua nazunguka na mama mana ndo nilikua kama mtoto wa mwisho so braza na sister zangu wao kaz yao Ilikua ni kutuma hela tu,

Huo mwez wa 3 mwaka Jana ndo tatizo lilikuja kuonekana,Baada ya tatizo kuonekana ikabidi matibabu yaanze,kama mjuavyo matatizo ya figo yalivyo ya gharama ikawa pesa yote tunayo pata ikawa inaishia hospital,Mara kipimo hiki Mara kwenda agha khan Mara mpewe barua kwenda Regency,ilifikia hatua mpaka tukawa tunashindwa kula mana hela ambazo ndugu zangu wote tulikua tukipata nilikua zinaishia Kwa mama,Lakin Kwa huyu dem nilikua najibana natuma hata 50k,

Baada ya kukaa miezi 4 siko kazin ilibidi niandikiwe barua ya kuachishwa kazi,kwamba hawawez kuendelea kunilipa wakati sipo kazin ila wakanambia wananiingizia 4.8m ili inisaidie,

Kweli baada ya Siku mbili niliingiziwa hyo pesa,Lakin cha ajabu hyo pesa ndani ya mwezi iliisha japo huyu demu nilimtumia laki 3,

Ilifikia hatua simu nikauza,na Dada yangu ambaye nilikua nasaidiana nae pale mhimbili kumwuguza mama nae simu akauza,(Usiombe umwuguze ndugu yako figo)

Nikiwa pale mhimbili naendelea kumwuguza mama,huyu demu alinipgia simu Kwa kisimu changu kidogo nilichobaki nacho akiniomba nimtumie Elfu hamsini,nikamjibu poa huku Kwa akili yangu nikitaka nimtafute mshikaji nijikope ili nimtumie hiyo pesa,ila nafsi ikakataa nikamjibu labda anisubiri mpaka mwisho wa mwezi,akajibu sawa,kesho yake tena akanipgia akaniuliza huna hata elfu kumi hapo nikamjibu sina Ila nikamwomba anivumilie,Nakumbuka zilipita kama Siku tano huku mabadiliko makubwa nikiwa nimesha yaona nikimtext sms anajibu P,k,Ok,pw,

Siku moja huyu demu aliniandikia sms ambayo mpaka Leo nikikumbuka huwa nawachukia wanawake wote ’JIMMY USIPONIHUDUMIA WEWE ATANIHUDUMIA NANI???' Akamalizia Kwa kusema "KAMA UMESHAPATA WANAWAKE WENGINE SEMA ILI NIACHE KUPOTEZA MUDA"

Nakumbuka Siku hyo Ilikua mida ya saa5 usiku nikiwa nimelala kwenye benchi pale mhimbili,hii ya kulala kwenye mabenchi najua wanaijua wale walio wahi kuuguza pale mhimbili,Nilimjibu "POA"

Toka Siku hiyo huyu demu hakuwahi kujibu text yangu na wala kupokea simu yangu,ikabidi nifute namba yake akili yote nikaelekeza Kwa mama mana ndugu wote tulikua tumesha changanyikiwa,

Mwezi wa 7 mwaka Jana kuna jamaa alinitext akaniuliza,,vp jay ushaachana na yule Demu? Nikamjibu hapana,akanambia niingie watsaap nikacheki,ikabidi niende Kwa jamaa flani alikua na duka pale mhimbili nikamuomba simu nikaweka namba ya demu nikakuta wako na jamaa flan,nikacheki status nyingi wakiwa wanapika pmj,pale pale nikasema kimoyo moyo "POA" nikamrudishia jamaa simu yake nikarudi pale kwenye benchi kumsubiri Dada mana daktari alikua ameuita kidogo,nikiwa nimekaa pale kama nusu saa sister akaja analia,nikamwuliza vipi?

Akanipa barua nikaona tume pewa rufaa ya mama kupelekwa India mana ilionekana figo zote zina elekea kufeli,tukakusanyika ndugu wote ikabidi tuuze nyumba ambayo tulijengewa watoto wa kiume na tukauza Bajaj na viwanja vitatu,Naelezea hivi ili mjue uchungu nilionao juu ya huyu demu,

Mwez wa 8 mwaka Jana mama tulimfikisha India nikiwa Mimi na Dada yangu,najua wengi watajiuliza Kwann ni Mimi tu na Dada yangu huyu tulikua tukimwuguza mama!!?? Huyu Dada ndo mkubwa kwetu na Mimi ndo mtoto wa kiume wa mwisho nikifuatiwa na mtoto wa kike,hawa wengine ndugu zangu walikua na wake zao na waume zao,na huyu sister alifiwa na mume wake so ikabidi me na yeye ndo tumwuguze mama japo ndugu wengine hawa Ilikua ni kutoa pesa na kuulizia hali inavyo enda.

Tulivyo mfikisha mama India hali ilizidi kuwa mbaya ndani ya wiki mbili akawa amefariki,
Ndugu walijichanga huku wakatuma pesa tukawa tumesafirisha mwili mpaka Dar then tukachukua gari mpaka mwanza,

Tarehe 4 mwez 9 tuliweza kumpumzisha mama,
Maisha mapya kwangu yakaanza,ikabidi jamaa flan anichukue nikafanye nae inshu za gereji mana muda wote nilikua nafikiria kumuua huyu demu kiasi kwamba kuna Siku nilinunua dumu la petrol ili nikachome nyumba ya jamaa yake usiku wakiwa ndani,usiku huo huo ndo huyu mshikaji akaja kunishauri nijiunge nae gereji mana nilikua sina mwelekeo,

Nikaanza kuwa fundi gereji na usiku nikawa napga bodaboda,nikawa nimemsahau huyu demu mana nikawa nikitaka demu naenda kununua Malaya napita zangu hivi,

Nimefanya kaz ya ufundi mpaka nikawa natumwa kuchukua magari Dar,angalau life langu likarudi fresh,Kwa wiki kufata magari mwili dar ni kawaida sana najikuta napata pesa ya mtu anae kaa ofisin mwez mzima,

Huyu Demu baada ya kuniona maisha yangu Kwa sasa kaanza usumbufu,kawafuata ndugu zangu wote kuwaomba wanikutanishe na yeye nimekataa,Mwez uliopita nilirudi usiku Saa 5 usiku nimetoka Dar nikamkuta kakaa na mdogo wangu,ile dogo Anakuja kunipokea na yeye akaja nikakimbilia ndani kuchukua panga ile narudi huku nalia dogo akanishika wapangaji wote wakatoka baada ya kumskia huyu demu akilia akiomba msaada,

Licha ya kumkanya ila kila Siku anasumbua tu mpaka Kwa ndugu zangu,mpaka kaenda Kwa mama flan ambaye alikua ni rafiki na mama,akaniita ila ajabu kila nikitaka kuwaeleza alichonambia huyu binti kipindi kile najikuta nalia nashindwa kuongea,

Huyu demu kafanya niwe mlevi wa kununua Malaya kiasi kwamba nikimwona demu wa uraiani hata awe mzuri vp hata hamu ya kumtongoza wala sipati.

Kila nikimfikiria huyu Demu Nataman kumfanyia kitu kibaya tu,yan kwenye kichwa changu nahisi Nina deni kubwa la kumfanyia unyama huyu demu.

Imebidi nije humu JF nahis naweza pata washauri wazuri namna ya kudeal na hii situation mana naona kabisa soon Ntakua magereza mana kila nikimfikiria huyu demu nahis kama maisha yangu ili yaende sawa ni mpaka nimfanyie kitu kibaya ambacho atakufa bila kusahau.

Ahsanteni.
Pole sn dogo...nakushauri Tafuta pesa achana nae Mungu atakusaidia
 
Pole sana, hayo ndiyo mapenzi, lakini usiwachukie wanawake wote ni huyo tu wakwako, huyo achana naye hana mapenzi ya kweli ni tapeli, halafu acha kununua wanaojiuza tafuta mwanamke anayejielewa uoe, usije jipatia maradhi bure.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello,,,

Najua mko poa.

2015 nilimpata huyu dada,nilijenga nae mahusiano vizuri kabisa,nakumbuka kipindi hicho ndo nilikua mwaka wa kwanza chuo,kipindi hicho huyu demu alikua ananipenda kusema ukweli,hakunipendea kitu ila tu alinipenda yeye kama yeye na ndo mana sikumtongoza ila yeye ndo alianzisha mazoea ikabidi nianzishe mahusiano nae baada ya kuonyesha ishara za kunitaka,ni msichana mzuri sana,ana kila aina ya sifa ya kuitwa mrembo,na kwao wananijua hata kwetu pia wanamjua,

Huyu demu niliendelea nae kwenye mahusiano mpk nilivyo maliza chuo 2018,Nilivyo maliza chuo mapenzi yetu yalikua moto moto mpaka nikaacha michepuko yote ya chuo,nilianza kuchukua majukum ya kumhudumia mana nilikua nishamfanya kama mke wangu tayari japo nilikua siishi nae,Ninapo sema kumhudumia namaanisha yani ilifikia hatua mtu yeyote akiugua pale kwao jukum nachukua Mimi mana kipindi hicho nilikua naendesha Bajaj ya nyumban pia nilikua na piki piki yangu niliyo achiwa na marehem mzee wangu,hii piki piki nilimpa dogo flan ili awe ananipa kila Siku 7000,Kwa hyo hela kwangu haikua shida kabisa Kwa kipindi kile,yan dem hata akitaka hela ya kuhemea pale kwao Ilikua ananicheki Mim,Mimi sikua na hiyana ilibidi nichukue hayo majukumu,

Nakumbuka baada ya kufanya kaz ya Bajaj ndan ya miez 6 sikuweza kufanya chochote ila nikagundua pesa namalizia Kwa demu ikabidi nianze kutafuta kaz ili niachane na mambo ya Bajaj,kweli ndan ya mwez mmoja nikapata kaz kwenye kampuni flan ambayo ndo Ilikua imeanzishwa,wakanambia tutakua tunakulipa kadri kampuni inavyo endelea kukua,kweli ilibidi nikubaliane na mshahara wao wa 350K,kumbuka kipindi hicho Niko na demu na namhudumia kama kawaida,

Ile kampuni ndan ya miez 6 nilijikuta nalipwa kama 650K mana nilikua najituma sana,sitaki kueleza nilikuwa upande gan kwenye kampuni ile,Nakumbuka nilivyofikisha salary ya 650k kila mwez nilikua nampa 150k mana nilikua nampa ili anunue mahitaji ya nyumban kwao cz hawakua na baba,walikua wanaishi yeye,mama,na wadogo zake wawili,

Huyu Demu niliendelea nae kwenye mahusiano mpaka mwaka Jana mwezi 1 ambapo mama yangu mzazi aliugua,tulizunguka sana mahospital mpk Kwa waganga ila tatizo likaja kuonekana mhimbili kuwa anatatzo la figo,kumbuka toka mwezi huo Mimi ndo nilikua nazunguka na mama mana ndo nilikua kama mtoto wa mwisho so braza na sister zangu wao kaz yao Ilikua ni kutuma hela tu,

Huo mwez wa 3 mwaka Jana ndo tatizo lilikuja kuonekana,Baada ya tatizo kuonekana ikabidi matibabu yaanze,kama mjuavyo matatizo ya figo yalivyo ya gharama ikawa pesa yote tunayo pata ikawa inaishia hospital,Mara kipimo hiki Mara kwenda agha khan Mara mpewe barua kwenda Regency,ilifikia hatua mpaka tukawa tunashindwa kula mana hela ambazo ndugu zangu wote tulikua tukipata nilikua zinaishia Kwa mama,Lakin Kwa huyu dem nilikua najibana natuma hata 50k,

Baada ya kukaa miezi 4 siko kazin ilibidi niandikiwe barua ya kuachishwa kazi,kwamba hawawez kuendelea kunilipa wakati sipo kazin ila wakanambia wananiingizia 4.8m ili inisaidie,

Kweli baada ya Siku mbili niliingiziwa hyo pesa,Lakin cha ajabu hyo pesa ndani ya mwezi iliisha japo huyu demu nilimtumia laki 3,

Ilifikia hatua simu nikauza,na Dada yangu ambaye nilikua nasaidiana nae pale mhimbili kumwuguza mama nae simu akauza,(Usiombe umwuguze ndugu yako figo)

Nikiwa pale mhimbili naendelea kumwuguza mama,huyu demu alinipgia simu Kwa kisimu changu kidogo nilichobaki nacho akiniomba nimtumie Elfu hamsini,nikamjibu poa huku Kwa akili yangu nikitaka nimtafute mshikaji nijikope ili nimtumie hiyo pesa,ila nafsi ikakataa nikamjibu labda anisubiri mpaka mwisho wa mwezi,akajibu sawa,kesho yake tena akanipgia akaniuliza huna hata elfu kumi hapo nikamjibu sina Ila nikamwomba anivumilie,Nakumbuka zilipita kama Siku tano huku mabadiliko makubwa nikiwa nimesha yaona nikimtext sms anajibu P,k,Ok,pw,

Siku moja huyu demu aliniandikia sms ambayo mpaka Leo nikikumbuka huwa nawachukia wanawake wote ’JIMMY USIPONIHUDUMIA WEWE ATANIHUDUMIA NANI???' Akamalizia Kwa kusema "KAMA UMESHAPATA WANAWAKE WENGINE SEMA ILI NIACHE KUPOTEZA MUDA"

Nakumbuka Siku hyo Ilikua mida ya saa5 usiku nikiwa nimelala kwenye benchi pale mhimbili,hii ya kulala kwenye mabenchi najua wanaijua wale walio wahi kuuguza pale mhimbili,Nilimjibu "POA"

Toka Siku hiyo huyu demu hakuwahi kujibu text yangu na wala kupokea simu yangu,ikabidi nifute namba yake akili yote nikaelekeza Kwa mama mana ndugu wote tulikua tumesha changanyikiwa,

Mwezi wa 7 mwaka Jana kuna jamaa alinitext akaniuliza,,vp jay ushaachana na yule Demu? Nikamjibu hapana,akanambia niingie watsaap nikacheki,ikabidi niende Kwa jamaa flani alikua na duka pale mhimbili nikamuomba simu nikaweka namba ya demu nikakuta wako na jamaa flan,nikacheki status nyingi wakiwa wanapika pmj,pale pale nikasema kimoyo moyo "POA" nikamrudishia jamaa simu yake nikarudi pale kwenye benchi kumsubiri Dada mana daktari alikua ameuita kidogo,nikiwa nimekaa pale kama nusu saa sister akaja analia,nikamwuliza vipi?

Akanipa barua nikaona tume pewa rufaa ya mama kupelekwa India mana ilionekana figo zote zina elekea kufeli,tukakusanyika ndugu wote ikabidi tuuze nyumba ambayo tulijengewa watoto wa kiume na tukauza Bajaj na viwanja vitatu,Naelezea hivi ili mjue uchungu nilionao juu ya huyu demu,

Mwez wa 8 mwaka Jana mama tulimfikisha India nikiwa Mimi na Dada yangu,najua wengi watajiuliza Kwann ni Mimi tu na Dada yangu huyu tulikua tukimwuguza mama!!?? Huyu Dada ndo mkubwa kwetu na Mimi ndo mtoto wa kiume wa mwisho nikifuatiwa na mtoto wa kike,hawa wengine ndugu zangu walikua na wake zao na waume zao,na huyu sister alifiwa na mume wake so ikabidi me na yeye ndo tumwuguze mama japo ndugu wengine hawa Ilikua ni kutoa pesa na kuulizia hali inavyo enda.

Tulivyo mfikisha mama India hali ilizidi kuwa mbaya ndani ya wiki mbili akawa amefariki,
Ndugu walijichanga huku wakatuma pesa tukawa tumesafirisha mwili mpaka Dar then tukachukua gari mpaka mwanza,

Tarehe 4 mwez 9 tuliweza kumpumzisha mama,
Maisha mapya kwangu yakaanza,ikabidi jamaa flan anichukue nikafanye nae inshu za gereji mana muda wote nilikua nafikiria kumuua huyu demu kiasi kwamba kuna Siku nilinunua dumu la petrol ili nikachome nyumba ya jamaa yake usiku wakiwa ndani,usiku huo huo ndo huyu mshikaji akaja kunishauri nijiunge nae gereji mana nilikua sina mwelekeo,

Nikaanza kuwa fundi gereji na usiku nikawa napga bodaboda,nikawa nimemsahau huyu demu mana nikawa nikitaka demu naenda kununua Malaya napita zangu hivi,

Nimefanya kaz ya ufundi mpaka nikawa natumwa kuchukua magari Dar,angalau life langu likarudi fresh,Kwa wiki kufata magari mwili dar ni kawaida sana najikuta napata pesa ya mtu anae kaa ofisin mwez mzima,

Huyu Demu baada ya kuniona maisha yangu Kwa sasa kaanza usumbufu,kawafuata ndugu zangu wote kuwaomba wanikutanishe na yeye nimekataa,Mwez uliopita nilirudi usiku Saa 5 usiku nimetoka Dar nikamkuta kakaa na mdogo wangu,ile dogo Anakuja kunipokea na yeye akaja nikakimbilia ndani kuchukua panga ile narudi huku nalia dogo akanishika wapangaji wote wakatoka baada ya kumskia huyu demu akilia akiomba msaada,

Licha ya kumkanya ila kila Siku anasumbua tu mpaka Kwa ndugu zangu,mpaka kaenda Kwa mama flan ambaye alikua ni rafiki na mama,akaniita ila ajabu kila nikitaka kuwaeleza alichonambia huyu binti kipindi kile najikuta nalia nashindwa kuongea,

Huyu demu kafanya niwe mlevi wa kununua Malaya kiasi kwamba nikimwona demu wa uraiani hata awe mzuri vp hata hamu ya kumtongoza wala sipati.

Kila nikimfikiria huyu Demu Nataman kumfanyia kitu kibaya tu,yan kwenye kichwa changu nahisi Nina deni kubwa la kumfanyia unyama huyu demu.

Imebidi nije humu JF nahis naweza pata washauri wazuri namna ya kudeal na hii situation mana naona kabisa soon Ntakua magereza mana kila nikimfikiria huyu demu nahis kama maisha yangu ili yaende sawa ni mpaka nimfanyie kitu kibaya ambacho atakufa bila kusahau.

Ahsanteni.
Ndugu yangu pole Kwa yaliyo kusibu.

Amekupenda Wakati wa Raha wakati wa shida amekuacha ila kosa ulilofanya kumhudumia binti ambaye hujamweka ndani mkuu ulikuwa Baba Mlezi wa Familia ya binti?
Haya makosa Kila Siku huwa wanaongea humu Jamii Forum usimhudumie binti ambaye hujamuoa hamtaki ndo hayo yamekutokea gharama ulizotumia ndo zinakuumiza wala sio kwamba unampenda.

Wapendwa mjifunze kutokana na Makosa

Wellcom pujo
 
Nitofautiane na mtazamo wa wengi.

Mbona naona umasikini ndio adui yako!!
Tuambie ulitaka nani akutunzie mbunye wewe uwe unapunguzia mawazo kwa kuifiligisa?

Mbona binti kakwambia wazi hitaji la MATUNZO!! Unakwama wapi kuelewa?

Hajasema hakupendi! Kwa kudhihirisha hilo anaomba na mpaka kulazimisha vikao vya maridhiano.

Wewe ndio una akili mzigo.
 
Haya mambo yasikiage tu,nilifanywa vibaya na demu fulani ambaye nilijitolea sana kwake.nikasafiri kurudi ghafla nakuta hm mpk pana buibui kibao,nampigia yaani ni km niko dar,mpaka anakuja ukinikuta pale kachoka fix zote alipopigwa kumbe na mtoto kanipeleka moshi anaishi kwa jamaa.
Ile banana maswali katoka nje kidogo karudi na manjagu.
Nikalala post.
Mzee nilikua na kakisu fulani unaongea button tu,kenyewe wanapiga kazi.
Siku nimepanga nikamalize mzigo na nishamwambie tukutane kwa suluhu mahali fulani kakubali.
Siku hiyo nikala ndumu kwanza,kisha nikapita kwa macheni nipige nyagi kidogo stimu nikamalize kazi aaah vibaya wakafanya yao wakapiga ndole silaha yangu sioni kichaa kinampanda kikashuka,
Ikabidi niwe mpole ila nashukuru wale vibaya wamefanya nipo mtaani mpk leo.
Alafu demu kafuliaaa kila siku kunililia shida.
Nafikiria "Ww bahati yako"
 
Hello,,,

Najua mko poa.

2015 nilimpata huyu dada,nilijenga nae mahusiano vizuri kabisa,nakumbuka kipindi hicho ndo nilikua mwaka wa kwanza chuo,kipindi hicho huyu demu alikua ananipenda kusema ukweli,hakunipendea kitu ila tu alinipenda yeye kama yeye na ndo mana sikumtongoza ila yeye ndo alianzisha mazoea ikabidi nianzishe mahusiano nae baada ya kuonyesha ishara za kunitaka,ni msichana mzuri sana,ana kila aina ya sifa ya kuitwa mrembo,na kwao wananijua hata kwetu pia wanamjua,

Huyu demu niliendelea nae kwenye mahusiano mpk nilivyo maliza chuo 2018,Nilivyo maliza chuo mapenzi yetu yalikua moto moto mpaka nikaacha michepuko yote ya chuo,nilianza kuchukua majukum ya kumhudumia mana nilikua nishamfanya kama mke wangu tayari japo nilikua siishi nae,Ninapo sema kumhudumia namaanisha yani ilifikia hatua mtu yeyote akiugua pale kwao jukum nachukua Mimi mana kipindi hicho nilikua naendesha Bajaj ya nyumban pia nilikua na piki piki yangu niliyo achiwa na marehem mzee wangu,hii piki piki nilimpa dogo flan ili awe ananipa kila Siku 7000,Kwa hyo hela kwangu haikua shida kabisa Kwa kipindi kile,yan dem hata akitaka hela ya kuhemea pale kwao Ilikua ananicheki Mim,Mimi sikua na hiyana ilibidi nichukue hayo majukumu,

Nakumbuka baada ya kufanya kaz ya Bajaj ndan ya miez 6 sikuweza kufanya chochote ila nikagundua pesa namalizia Kwa demu ikabidi nianze kutafuta kaz ili niachane na mambo ya Bajaj,kweli ndan ya mwez mmoja nikapata kaz kwenye kampuni flan ambayo ndo Ilikua imeanzishwa,wakanambia tutakua tunakulipa kadri kampuni inavyo endelea kukua,kweli ilibidi nikubaliane na mshahara wao wa 350K,kumbuka kipindi hicho Niko na demu na namhudumia kama kawaida,

Ile kampuni ndan ya miez 6 nilijikuta nalipwa kama 650K mana nilikua najituma sana,sitaki kueleza nilikuwa upande gan kwenye kampuni ile,Nakumbuka nilivyofikisha salary ya 650k kila mwez nilikua nampa 150k mana nilikua nampa ili anunue mahitaji ya nyumban kwao cz hawakua na baba,walikua wanaishi yeye,mama,na wadogo zake wawili,

Huyu Demu niliendelea nae kwenye mahusiano mpaka mwaka Jana mwezi 1 ambapo mama yangu mzazi aliugua,tulizunguka sana mahospital mpk Kwa waganga ila tatizo likaja kuonekana mhimbili kuwa anatatzo la figo,kumbuka toka mwezi huo Mimi ndo nilikua nazunguka na mama mana ndo nilikua kama mtoto wa mwisho so braza na sister zangu wao kaz yao Ilikua ni kutuma hela tu,

Huo mwez wa 3 mwaka Jana ndo tatizo lilikuja kuonekana,Baada ya tatizo kuonekana ikabidi matibabu yaanze,kama mjuavyo matatizo ya figo yalivyo ya gharama ikawa pesa yote tunayo pata ikawa inaishia hospital,Mara kipimo hiki Mara kwenda agha khan Mara mpewe barua kwenda Regency,ilifikia hatua mpaka tukawa tunashindwa kula mana hela ambazo ndugu zangu wote tulikua tukipata nilikua zinaishia Kwa mama,Lakin Kwa huyu dem nilikua najibana natuma hata 50k,

Baada ya kukaa miezi 4 siko kazin ilibidi niandikiwe barua ya kuachishwa kazi,kwamba hawawez kuendelea kunilipa wakati sipo kazin ila wakanambia wananiingizia 4.8m ili inisaidie,

Kweli baada ya Siku mbili niliingiziwa hyo pesa,Lakin cha ajabu hyo pesa ndani ya mwezi iliisha japo huyu demu nilimtumia laki 3,

Ilifikia hatua simu nikauza,na Dada yangu ambaye nilikua nasaidiana nae pale mhimbili kumwuguza mama nae simu akauza,(Usiombe umwuguze ndugu yako figo)

Nikiwa pale mhimbili naendelea kumwuguza mama,huyu demu alinipgia simu Kwa kisimu changu kidogo nilichobaki nacho akiniomba nimtumie Elfu hamsini,nikamjibu poa huku Kwa akili yangu nikitaka nimtafute mshikaji nijikope ili nimtumie hiyo pesa,ila nafsi ikakataa nikamjibu labda anisubiri mpaka mwisho wa mwezi,akajibu sawa,kesho yake tena akanipgia akaniuliza huna hata elfu kumi hapo nikamjibu sina Ila nikamwomba anivumilie,Nakumbuka zilipita kama Siku tano huku mabadiliko makubwa nikiwa nimesha yaona nikimtext sms anajibu P,k,Ok,pw,

Siku moja huyu demu aliniandikia sms ambayo mpaka Leo nikikumbuka huwa nawachukia wanawake wote ’JIMMY USIPONIHUDUMIA WEWE ATANIHUDUMIA NANI???' Akamalizia Kwa kusema "KAMA UMESHAPATA WANAWAKE WENGINE SEMA ILI NIACHE KUPOTEZA MUDA"

Nakumbuka Siku hyo Ilikua mida ya saa5 usiku nikiwa nimelala kwenye benchi pale mhimbili,hii ya kulala kwenye mabenchi najua wanaijua wale walio wahi kuuguza pale mhimbili,Nilimjibu "POA"

Toka Siku hiyo huyu demu hakuwahi kujibu text yangu na wala kupokea simu yangu,ikabidi nifute namba yake akili yote nikaelekeza Kwa mama mana ndugu wote tulikua tumesha changanyikiwa,

Mwezi wa 7 mwaka Jana kuna jamaa alinitext akaniuliza,,vp jay ushaachana na yule Demu? Nikamjibu hapana,akanambia niingie watsaap nikacheki,ikabidi niende Kwa jamaa flani alikua na duka pale mhimbili nikamuomba simu nikaweka namba ya demu nikakuta wako na jamaa flan,nikacheki status nyingi wakiwa wanapika pmj,pale pale nikasema kimoyo moyo "POA" nikamrudishia jamaa simu yake nikarudi pale kwenye benchi kumsubiri Dada mana daktari alikua ameuita kidogo,nikiwa nimekaa pale kama nusu saa sister akaja analia,nikamwuliza vipi?

Akanipa barua nikaona tume pewa rufaa ya mama kupelekwa India mana ilionekana figo zote zina elekea kufeli,tukakusanyika ndugu wote ikabidi tuuze nyumba ambayo tulijengewa watoto wa kiume na tukauza Bajaj na viwanja vitatu,Naelezea hivi ili mjue uchungu nilionao juu ya huyu demu,

Mwez wa 8 mwaka Jana mama tulimfikisha India nikiwa Mimi na Dada yangu,najua wengi watajiuliza Kwann ni Mimi tu na Dada yangu huyu tulikua tukimwuguza mama!!?? Huyu Dada ndo mkubwa kwetu na Mimi ndo mtoto wa kiume wa mwisho nikifuatiwa na mtoto wa kike,hawa wengine ndugu zangu walikua na wake zao na waume zao,na huyu sister alifiwa na mume wake so ikabidi me na yeye ndo tumwuguze mama japo ndugu wengine hawa Ilikua ni kutoa pesa na kuulizia hali inavyo enda.

Tulivyo mfikisha mama India hali ilizidi kuwa mbaya ndani ya wiki mbili akawa amefariki,
Ndugu walijichanga huku wakatuma pesa tukawa tumesafirisha mwili mpaka Dar then tukachukua gari mpaka mwanza,

Tarehe 4 mwez 9 tuliweza kumpumzisha mama,
Maisha mapya kwangu yakaanza,ikabidi jamaa flan anichukue nikafanye nae inshu za gereji mana muda wote nilikua nafikiria kumuua huyu demu kiasi kwamba kuna Siku nilinunua dumu la petrol ili nikachome nyumba ya jamaa yake usiku wakiwa ndani,usiku huo huo ndo huyu mshikaji akaja kunishauri nijiunge nae gereji mana nilikua sina mwelekeo,

Nikaanza kuwa fundi gereji na usiku nikawa napga bodaboda,nikawa nimemsahau huyu demu mana nikawa nikitaka demu naenda kununua Malaya napita zangu hivi,

Nimefanya kaz ya ufundi mpaka nikawa natumwa kuchukua magari Dar,angalau life langu likarudi fresh,Kwa wiki kufata magari mwili dar ni kawaida sana najikuta napata pesa ya mtu anae kaa ofisin mwez mzima,

Huyu Demu baada ya kuniona maisha yangu Kwa sasa kaanza usumbufu,kawafuata ndugu zangu wote kuwaomba wanikutanishe na yeye nimekataa,Mwez uliopita nilirudi usiku Saa 5 usiku nimetoka Dar nikamkuta kakaa na mdogo wangu,ile dogo Anakuja kunipokea na yeye akaja nikakimbilia ndani kuchukua panga ile narudi huku nalia dogo akanishika wapangaji wote wakatoka baada ya kumskia huyu demu akilia akiomba msaada,

Licha ya kumkanya ila kila Siku anasumbua tu mpaka Kwa ndugu zangu,mpaka kaenda Kwa mama flan ambaye alikua ni rafiki na mama,akaniita ila ajabu kila nikitaka kuwaeleza alichonambia huyu binti kipindi kile najikuta nalia nashindwa kuongea,

Huyu demu kafanya niwe mlevi wa kununua Malaya kiasi kwamba nikimwona demu wa uraiani hata awe mzuri vp hata hamu ya kumtongoza wala sipati.

Kila nikimfikiria huyu Demu Nataman kumfanyia kitu kibaya tu,yan kwenye kichwa changu nahisi Nina deni kubwa la kumfanyia unyama huyu demu.

Imebidi nije humu JF nahis naweza pata washauri wazuri namna ya kudeal na hii situation mana naona kabisa soon Ntakua magereza mana kila nikimfikiria huyu demu nahis kama maisha yangu ili yaende sawa ni mpaka nimfanyie kitu kibaya ambacho atakufa bila kusahau.

Ahsanteni.
Huyo demu ni chuma uletee aisee hakufai maishani tena mshukuru mungu kukuepusha na ilo janga

Usha pata kazi endeleaa na maisha yako mkuu huyo anakuoenda wakati wa raha tu. Mpe onyoo kali !! Mwishowe atachoka na atakupotezea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaonyesha ni binti wa mitaa ya kwenu, hama tu huo mtaa, hamia kwingine msionane, akiendelea kukufuata huko ulikohamia ifahamishe serikali ya mtaa wako kuwa hutaki huyo mwanamke akanyage nyumbani kwako.
Akikaidi anaweza akashitakiwa na jamhuri kwa kosa la kujihatarishia maisha yake. Simple like that.
Wanaatarifiwa polisi anadakwa. No ngumi wala tusi mzee. Jela sio poa.
 
Nimesoma stori pamoja na ushauri aliopewa jimmy,ningekuwa ndio mm naona ni simpo tu namgeuza kama malaya pia natomba nasepa bila kutoa kitu yeye mwenyewe akili itamkaa sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom