Recent content by Under 18

  1. Under 18

    JamiiForums Tanzania Msaada anayejuwa unywaji wa mafuta alteza

    Ulaji wa mafuta ni ukubwa wa engine mkuu,sasa hiyo alteza ina ukubwa gan wa engine?
  2. Under 18

    JamiiForums Tanzania Tengeneza umeme wako mwenyewe wa uhakika nyumbani kwako

    Sasa kichwa cha habar unatuambia tutengeneze,kumbe ww mwenyewe unauliza,mkuu haijakaa poa hiyo. Fanya marekebisho kidogo,n way. Wataalam wanakuja
  3. Under 18

    JamiiForums Tanzania Msahada wakuu ndoto Tata

    Msahada- msaada?
  4. Under 18

    JamiiForums Tanzania Rasmi: Kardinali Pengo ang'atuka, Askofu mkuu Ruwa'ichi ashika usukani Jimbo Kuu la Dar es Salaam

    Kichwa cha habari kinachanganya mkuu,unaweza fikiri huyo kadrinali ndo kafunga ndoa. N way,nice scene
  5. Under 18

    JamiiForums Tanzania Itifaki kwenye hotuba za Ramaphosa na Magufuli Ikulu Tanzania

    Lakin kama hakuna umuhimu wa kuongea kiingereza kwanini afanye hivyo? Na kiswahili pia ni lugha jamani. Mi naona si mbaya,kama anaitangaza lugha fresh tu
  6. Under 18

    JamiiForums Tanzania Je, Kipi ni bora na Imara kujenga "Flat roof" au "normal Roof"

    Na mimi nitoe mchango wangu. Flat roof gharama yake ipo chini sababu ya materials. Lakin pia zipo za aina nyingi kulingana na muonekano ambapo unaweza jikuta unarud kwenye gharama zile zile au hata kuzidi. Mfano,wapo wanaozungushia kwa tofali na wengine kuacha wazi. Je wewe wapenda ipi?
  7. Under 18

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale KIWANJA CHENYE NYUMBA KINAUZWA MADALE BEI NAFUU

    Jibu vizuri wateja,unless huna shida na hela.
  8. Under 18

    JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba badae awe mme,na mungu akibariki tufunge ndoa kanisani

    Picha ni muhimu sana
  9. Under 18

    JamiiForums Tanzania Tule Bata leo hapa dodoma

    Duh,dunia inazid kuwa kitongoji
  10. Under 18

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Alshabaab wawadhalilisha tena KDF, washambulia katikati ya Kismayu

    Nashangaa bado mods mnauacha huu upuuzi wa huyu bwege hapa.
  11. Under 18

    JamiiForums Tanzania MAKE UP

    Hiv hawa wanawake huwa wanadhan wanatuvutia kufanya hvyo au? Mi naona hatuna mpango na hayo mambo. Kama huna tako tulia
  12. Under 18

    JamiiForums Tanzania Msanii na mbunge mh Jaguar kutoka Kenya aja nchini kutafuta mchumba, Clouds wawapendekeza Mabeto, Diva na Wema Sepetu

    Hiv huko alikotoka hakuna au ndo kunogesha kipindi tu.
  13. Under 18

    JamiiForums Tanzania "Asante kwa kunipenda" huwa inakera sana

    Weka kapicha bas mkuu
  14. Under 18

    JamiiForums Tanzania Ni yapi mazoezi ya kumuwezesha mwanamke kukatika kitandani?

    Ili iweje sasa mkuu?
  15. Under 18

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenzangu hii siri nyingine leo Nawapa!

    Poa mkuu,ila sasa ndo tunataka watuzalie watoto,hapo vip sasa?
Back
Top Bottom