"Asante kwa kunipenda" huwa inakera sana

"Asante kwa kunipenda" huwa inakera sana

Kuna dada mmoja namfukuzia kishenzi lakini kila nikirusha kamba zangu naambiwa ASANTE kwa Kunipendaa...
Daaaaah huwa inakera kiasi kwamba hadi inaboa asa kwa hiyo Asante nimekupa nini?
Funguka kama ushawahi kuexperience hiloo na mbinu za kujikwamua juu ya hilo?
Sometimes inakuwa mwanamke hajamfeel mtongozaji kabisa ..... So ili usipate majibu yakukuudhi.... Huwa tunasema.... Asante kwa kunipenda baby....
 
Hahaaaa. Lol


Inategemea na aina ya kamba unazozirusha Mkuu huenda ikawa kamba zako zinaendana kabisa na hiyo ahsante.
Kamba inayoeleweka kwa sasa ni pesa, zingine tunaambulia kuambiwa asante kwa kunipenda..teh teh!!
 
Nikijibiwa hivo hua nauliza twikwilya panili ve munu veve
 
Ni kweli ila siyo kwa kamba zangu,ukiona mpaka nimekuja kuyatoa ya moyoni humu inabd uelewe kuwa Simba akikosaga nyama anakula majani.......
Huo msemo wanaume tunautumia kipindi umekosa wasichana wazuri matokeo yake unachagua yeyote kupooza joto la rungu!.
Nakuonea huruma kama unayemhangaikia ni kipoozeo cha rungu!. Yaelekea huna hela na huna maneno, veeery sad!.
 
Kuna dada mmoja namfukuzia kishenzi lakini kila nikirusha kamba zangu naambiwa ASANTE kwa Kunipendaa...
Daaaaah huwa inakera kiasi kwamba hadi inaboa asa kwa hiyo Asante nimekupa nini?
Funguka kama ushawahi kuexperience hiloo na mbinu za kujikwamua juu ya hilo?
 
 
Back
Top Bottom