Asalaam aleikum ndugu zangu wa jukwaa hili mahususi, bila shaka mtakuwa mnaendelea vizuri na mapumziko ya mwisho wa wiki.
Basi ningependa ku-share nanyi biashara hii ambayo iko wazi na iliyonyooka kama rula. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Nyumba na kiwanja viko umbali wa mita 70 tu kutoka kituo cha bus cha Madale mwisho. Kwa wale wenyeji bila shaka mtakuwa mmeshaelewa nachozungumza.
Upande wa mbele una jumla ya miguu 29, wakati upande wa kulia miguu 25, kushoto 20 na nyuma 23...Huduma zote za msingi zipo kama vile maji, umeme, maduka ya vyakula na bidhaa sambamba na huduma za kipesa.
Kiwanja kina nyaraka zote kutoka serikali za mtaa na kinatambulika hata na majirani hakina mgogoro wowote ule. Barabara ya gari inafika mpaka kiwanjani. Nimeambatanisha na picha zake. Bei Ni 18 Milioni Mazungumzo yapo.
Contact : +255 742 15 61 17
Basi ningependa ku-share nanyi biashara hii ambayo iko wazi na iliyonyooka kama rula. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Nyumba na kiwanja viko umbali wa mita 70 tu kutoka kituo cha bus cha Madale mwisho. Kwa wale wenyeji bila shaka mtakuwa mmeshaelewa nachozungumza.
Upande wa mbele una jumla ya miguu 29, wakati upande wa kulia miguu 25, kushoto 20 na nyuma 23...Huduma zote za msingi zipo kama vile maji, umeme, maduka ya vyakula na bidhaa sambamba na huduma za kipesa.
Kiwanja kina nyaraka zote kutoka serikali za mtaa na kinatambulika hata na majirani hakina mgogoro wowote ule. Barabara ya gari inafika mpaka kiwanjani. Nimeambatanisha na picha zake. Bei Ni 18 Milioni Mazungumzo yapo.
Contact : +255 742 15 61 17