Toka Bongo mpaka Uk na kisha narudi Tena/ Nairobi na kampala nawakilisha kwa sana/ maneno bado ni Yes naona kama hakuna no!/ Sasa match ni International/ Sugu ni chama kubwa kama Arsenal/ Bado nipo dimbani na mic ipo mkononi/ labda huko niliko nifuateni/ maana inaonekana nitachelewa...
BRONX FAMILY - MAMBO YOTE.
"Huu ni mwanzo wa chimbuko wa Hip Hop ya Bongo walikuwepo Gwm, niggers 2 public na k wa kwanzania , Mic walishika wakiwa ma mc wenye vipaji ingawa kuna wengi walipinga na vikwazo kuviweka hawakusita kwa fikra zenye kugusa vichwa vya maadui toka 90s mawingu studio...
Nampenda men mwenye umbo zuri kama jd/awe ananyuka pamba kama vile Stev B /sio maarufu sana kama hammy b / awe anajua mapenzi sana kama vile jafarai/ili nikiwa nae najua nitafurahi/ awe anapenda debe na wala asiwe na gebe /awe anajua kuimba kama shabani dede/awe ananijali lijali kama t.i.d/...
AFANDE WA MOROGORO MFALME WA TANZANIA.
Toka mwaka 2002 mpaka sasa 2022 ni miaka 20 imepita toka album ya "mkuki moyoni" toka kwa Afande Sele izame sokoni. Mwaka 2004 hii album kwa uzito wa nyimo zake ilitosha kabisa kumtangaza mfalme wa rhymes ni Afande Sele.
Mkuki moyoni ni miongoni mwa...
Fortune tellers ( wapiga ramli)
" Fortune tellers kilikuwa ni kikundi cha watoto wawili wakike na wakiume " ambao walikuwa wanashirikiana na kundi la X plastaz kufanya Muziki Enzi hizo kutokea mkoani Arusha . Watoto hawa walifanya vyema sana hizo
Kwa kuing'arisha bendera ya Taifa hili la...
NGWEA - ZAWADI
___________________
JEAH!
MOJA KWA MOJA TOKA CHAMBER
NGWEA NA EAST ZOO YOU DOJO KAYA
FELOO
VERSE 1
__________
UZURU WAKO WA TABIA UMBO NA SURA NDO ULIONIFANYA SOMETIMES NISHINDWE HATA KULA /
NIMESHASUMBUKA SANA MPAKA KUKUPATA ULISHANITUKANA SANA LAKINI TAMAA...
BLACK WA USWAZI .
_____________________
Hatimaye leo tumefanikiwa kumpata mmoja Kati ya wachonga barabara kwenye Tasnia hii ya Muziki wa Bongo Fleva ambao juhudi zao ndio zimefanya Muziki Huu kuwa Hapa ulipo .
Kuna changamoto nyingi sana wamepitia wachonga barabara hawa Enzi Hizo ili kuumpa...
KWANZA UNIT CREW - MSAFIRI..
Ubeti1
Hii Ndo Picha Kabla Pazia la Udongo Ndani Futi sita/
Vita, Kila Watu 9 Kati ya 10 Dhidi ya Hali duni/
Naelekea Nchi ya Ughaibuni/
Nimezunguukwa na Dhoruba/
Nshapagawa Siioni Rasi Wala Ghuba/
Yah Allah! Jah, Jehovah Shuhudia Robo Zinavyoangamia/
Hali ya Hewa...
SUPPORT YA MSANII
SOGGY DOGGY ANTER KWA WASANII WA MUZIKI WA BONGO FLEVA MKOANI MWANZA..
____________________
✍🏾 Bila shaka jina la Msanii Anselm Tryphone Ngaiza a.k.a soggy doggy anter sio jina jipya masikioni mwa watu Hasa Kwa wadau na mashabiki wa Muziki wa Bongo fleva Nchini Tanzania...
PRODUCER ENRICO KUTOKA STUDIO ZA SOUND CRAFTERS.
_____________________
👉🏿Anaitwa Enrico figueiredo almaarufu enrico wa sound crafter's huyu ni mtayarishaji Muziki ( producer) mkongwe wa zamani, ameanza muziki tokea miaka ya 1990s..
Jamvi la ukwaju wa kitambo limebahatika kukutana nae na...
SOGGY DOGGY ANTER.
Jamvi la Ukwaju wa Kitambo lilibahatika kupiga stori na Msanii mkongwe katika Game ya Bongo fleva soggy doggy.
Tulibahatika kuzungumza mengi ila kwa faida ya wafuatiliaji wa page hii ya "ukwaju wa kitambo"
Mazungumzo hayo ni kama ifuatavyo:
Ukwaju wa Kitambo :-
brother...
HABARI ZA WAKATI HUU WAFUATILIAJI WA JAMVI HILI LA UKWAJU WA KITAMBO.
...................................
✍🏻kama ilivyo destru yetu wadau na wafuatiliaji wa jamvi la Ukwaju wa Kitambo, huwa tuna desturi yakufanya mahujiano na wasanii wakongwe katika Game hii ya bongo fleva..
✍🏻wiki hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.