Recent content by Ugimbi

  1. U

    Habari kutoka kwa Dr. Kairuki hospital

    Mimi mke wangu alijifungua salama salmini hapo hapo Kairuki bila kisu wala nini nadhani we should not rely on doctor's but God other wise we will keep on running from one hospital to another. Every hospital has its positive and negative sides.
  2. U

    Mtoto akisali

    Ha ha haa haaaaaaaaaaaaaaaaaa! Sijui nani anamkamata uchawi mwenzake hapo
  3. U

    Mazishi ya Mh. Regia Mtema huko Ifakara (updates)

    Kwa kweli ni huzuni, ni majonzi.Mungu atutie nguvu sote katika kipindi hiki kigumu
  4. U

    Tujikumbushe enzi za madaladala maarufu

    Iringa mjini Mufindi kulikuwa na kitu Mkombozi, Iringa Dodoma King Kross (Usichezee shilingi chooni)
  5. U

    Kwanini uzinzi ni dhambi? Arggghh!

    <br><br>Dhambi si mtazamo wako tu, ni mtazamo na msimamo wa unachokiamini (imani yako), ukristo, uislam, upagani,uhindu nk.
  6. U

    Kwanini uzinzi ni dhambi? Arggghh!

    Dhambi si mtazamo wako tu, ni mtazamo na msimamo wa unachokiamini (imani yako), ukristo, uislam, upagani,uhindu nk.
  7. U

    BAVICHA Igunga: Hali iko vipi?

    Nadhani wewe ndiyo unahitaji kufanya research ya kutosha kuhusu haya uliyoyaandika. Je unajua kwamba Igunga Mjini inaongozwa na diwani wa Chadema? Kama hao wananchi wenye tabia hizo unazozisema waliweza kumchagua diwani wa Chadema wakati huyo Rostam waliyemlilia akiwepo, watashindwa nini...
  8. U

    Ungependa nani awe rais wako kati ya hawa?

    Dk. Amani Abeid Karume
  9. U

    Jakson Makweta...!

    Mdau, Jackson Makwetta siyo mbunge kwa sasa.Ombi lake la kumalizia kipindi cha JK lilikataliwa na wana magamba wakati wa kura za maoni. Mbunge wa sasa ni Deo Sanga a.k.a Jah People.
  10. U

    Labda ni wewe fungua uone!

    Nadhani siyo mimi, nilikuwa napita tu!
  11. U

    Nisaidieni namna ya kubadili PDF kuwa Word document

    Nawashukuruni sana wote kwa msaada wenu. God bless you abundantly. This solution has worked perfectly with me. fungua btjunkie - the largest bittorrent search engine utafanya free registration alafu search for adobe acrobat professional uishushe ni nzuri pia unaweza hata kufanya editing moja...
  12. U

    Nisaidieni namna ya kubadili PDF kuwa Word document

    Hallo wana JF, Naomba ikiwa kuna yeyote anayefahamu namna ya kuconvert PDF document au mwenye software hiyo anisaidie tafadhali. I have something in PDF that I have to convert to word doc and my friend google does not give me nice answers. Thanks in advance.
  13. U

    Edo Kumwembe na uchambuzi wake wa kinafiki

    Kweli Kibonde ni zoba kabisa anajifanya anajua kila kitu wakati hajui chochote!
  14. U

    Gazeti la Raia Mwema la leo mmmh..

    Ngoja nilicheck hapa!
Back
Top Bottom