Tujikumbushe enzi za madaladala maarufu

Tujikumbushe enzi za madaladala maarufu

mbeya kulikua na mwailubi,urassa,sokolo,mbembela,double coaster ya kwanza mbeya nzima el_kibo,karanja ilikua inapiga tripu tukuyu-mbeya mjini,wengine wataongezea.
Nakumbuka moja ya Mbeya "Lea watoto"
 
Kuna coaster mbili maarufu zilikua kwny njia ya mwenge posta-'mwendo wa lubeya' na 'babu ally' enz zilikua znapiga mziki 2kitoka shule 2 lazma 2zisubir
 
Leo nimekumbuka sana zile enzi za madalada zenye majina maarufu ....wakati tukiwa madenti yaani ujanja ni kuwa 'staff' kwenye daladala maana yake haulipi nauli sababu makonda au dereva ni washkaji..ilikuwa raha kwelikweli.....kama konda hakujui akikuomba nauli unamwambia mi staff...muulize dereva..dah ...
Temeke Posta - Dunia Hadaa( hizi zilikuwa za mwanzo kabisa-Temeke/Tandika Posta),Riziki kwa mungu ,Golo, Kainkwa,Kita Ngoma nk.....Kwa upande wa Ubungo posta kulikuwa na yakle marefu makubwa ..nakumbuka Matema Beach....tukumbushane wadau......

big up mkuu, umenikumbusha mbali! Enzi hizo tukipanda magari ya UDA, nikitoka M/Chai kwenda Azania sec. tukitelemkia pale fire.
Nilitamani sana kupanda yale mabasi marefu-ekarusi 'kumbakumba'. Nawashangaa wale wa waliopanda mabasi ya 'embakkasi' kule Songea; Bijampola (bukoba). Issue hapa ni 'daladala'.
 
Nilikuwa nikishuka situpi ticket nakariri gari naitumia tena ninapokwenda safari nyingine, ulikuwa ukinisachi unanikuta na ticket za mabasi tofauti, Usisahau MSHUA - Ubungo - Posta.

inapendeza sana mkuu kama siku zingerudishwa nyuma... Oh scaba scuba!
 
Iringa-Tanangozi.....Embakassy na Kombora
Songea...Sijui ilikuwa inaelekea wapi kutoka town kupita Bombambili--CHONAPI (hiace hiyo)

Hapo kwenye red umenikumbusha basi hilo likitoka pale stand linakuwa limepakia baiskeli nying sana za wauza ulazi wakirudi Tanangozi. Da kweli long time.
 
Kuna Scania moja ilikuwa ni ya Madawa(kampuni) likipeleka staff asubuh likimaliza linapiga safar za abiria posta-vingunguti yan lilikuwa linakimbia ajabu afu konda wake alikuwa na bonge la rungu sasa ikifika tazara barabara imenyooka wanakimbizana sasa bas wakat wanaovatekiana yule konda ananinginia na rungu huku akipiga miruzi yan nlikuwa sipand gar nyingine
 
Jite wute kulikuwa na bombastic sound yan scania mzik wakufa m2 ki2 cha posta-mbagala watoto wa jite na st.antony ful kujazana yan nakumbuka 2likuaga 2naenda kulisubir pale uhasibu mana lilikuwa linajaza sana afu ikajaga costa flan ilikuwa inaitwa computer luv nayo sound yakufa m2
 
mbeya kulikua na mwailubi,urassa,sokolo,mbembela,double coaster ya kwanza mbeya nzima el_kibo,karanja ilikua inapiga tripu tukuyu-mbeya mjini,wengine wataongezea.

Umeisahau "Mafegi" iliyokuja kuwika sana baadae,kabla enzi za kina mwailubi ya kina Danny Mwailubi,ikipiga sokomatola -mbalizi pia kulikua na LinoLino,Bora Imani ya kina Rashidi mkakile,Riziki,Fitina Jirani,kaskazini Tours(iliua watu baada ya kukatika break na kuteremka tanu street mpaka mwisho kule kwa mateo ikaivaa miti),subira ..ya kina azizi mehrab,okoa,Nyilaka nyilaka Nkwenzulu,mbibimbibi n.k.
 
Ubungo -- Posta Don´t forget Chunga sana, Kun aDCM Moja limeandikwa Kizai zai sijui lilikuwa linapiga routi gani?
Dar Msata-- Ingende Ibwele .Dar kilombero Moro Best, DAR -iFAKARA MAHENGE --Ulanga Express
 
songea-dar kulikuwa na kiswele --hakuna basi lingine lililotia mguu njia ile miak nenda miaka rudi

Kama unakumbuka Kiswele magari yake yote Namba Pleti lazima iwe na tarakimu nne na namba mbili za
mwisho ni 89 yaani mfano TZ 2589. TZA 1389. Duh !! Sijui alikua anatumia majini?
 
Leo nimekumbuka sana zile enzi za madalada zenye majina maarufu ....wakati tukiwa madenti yaani ujanja ni kuwa 'staff' kwenye daladala maana yake haulipi nauli sababu makonda au dereva ni washkaji..ilikuwa raha kwelikweli.....kama konda hakujui akikuomba nauli unamwambia mi staff...muulize dereva..dah ...
Temeke Posta - Dunia Hadaa( hizi zilikuwa za mwanzo kabisa-Temeke/Tandika Posta),Riziki kwa mungu ,Golo, Kainkwa,Kita Ngoma nk.....Kwa upande wa Ubungo posta kulikuwa na yakle marefu makubwa ..nakumbuka Matema Beach....tukumbushane wadau......

MUSTAJABA.ilikuwa na route ya Kisarawe-Kariakoo! Wa Minaki mtakuwa mliipanda sana🙂
 
Kama unakumbuka Kiswele magari yake yote Namba Pleti lazima iwe na tarakimu nne na namba mbili za
mwisho ni 89 yaani mfano TZ 2589. TZA 1389. Duh !! Sijui alikua anatumia majini?

Duh! Watu wana kumbukumbu sana... hadi namba!
 
Songea-dar kulikuwa na kiswele --hakuna basi lingine lililotia mguu njia ile miak nenda miaka rudi


Dar - Mbinga lilikuwepo "Supu ya Mawe- Iga Ufe" walipeleka ushindani sana kwa zile injini nyuma za kiswele!
Masaa 11 toka Dar hadi Songea.. with devera mashuhuri alikuwa anaitwa "Fikiri"...

Pia walikuwa wanashindana na Bin Kleb... with dereva wake mashuhuri alikuwa anaitwa "Kingo" ile milima ya kule nyanda za juu ilikuwa kama tambarare na baadhi ya watu waliamini hawa madereva walikuwa wana nguvu za giza..
 
Bila kusahau Arusha-Moshi wakati huo kulikuwa na KIJIJI KWA SADALA(ISUZU KICHWA CHA NG'OMBE), KINDOVENUS NA FIKIRIA KWANZA.

Arusha Mbuguni/Mererani kulikuwa na MASSANGA
 
Bembeleza Mwana na Kwacha...Iringa Mtera,mnapanda na ulanzi,tenga za samaki yani kila takataka..na konda wa kushkilia gear!hapo naenda Tabora shuleni,ili kufika Dom kupanda treni lazma nipite Mtera...
 
Iringa mjini Mufindi kulikuwa na kitu Mkombozi, Iringa Dodoma King Kross (Usichezee shilingi chooni)
 
Mme usahau usafiri maarufu sana wa TZ 11, nadhani huu ndo ulikuwa maarufu sana enzi hizo
 
Akachube!
Yes ngoma nzito!
Skolastika!
Ecarus ( uda)!
 
Back
Top Bottom