Anaongea Bishop Mpemba.
Kodi nyingi tunazo kusanya zinaishia kuwalipa mishahara first class citizen!
Wabunge 400, DC 120, RC 30+ , Wakurugenzi na MaDAC . Tunaitaji kuwa na watu wachache kwenye uwalikishi wa mawazo ya wananchi na kuimarisha Jeshi la Polisi!
Kwa kweli ni hasara kwa Taifa...
Wanapima COVID 19![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125] Huyu jamaa fala kweli! Temperature test ndo kupimwa corona
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.