Two dimension array
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,593
- 2,380
Anaongea Bishop Mpemba.
Kodi nyingi tunazo kusanya zinaishia kuwalipa mishahara first class citizen!
Wabunge 400, DC 120, RC 30+ , Wakurugenzi na MaDAC . Tunaitaji kuwa na watu wachache kwenye uwalikishi wa mawazo ya wananchi na kuimarisha Jeshi la Polisi!
Kwa kweli ni hasara kwa Taifa hatuna haja ya kuwa na wabunge wengi wanalipwa mishahara mikubwa ajabu na hawazalishi.
Masikini na mnyonge ndo mnaangaika kuwakamua Kodi na tozo mbalimbali huku wafanyakazi wa umma wakiwaa na maisha magumu kwa miaka 7 bila kuongezewa mishahara
Kodi nyingi tunazo kusanya zinaishia kuwalipa mishahara first class citizen!
Wabunge 400, DC 120, RC 30+ , Wakurugenzi na MaDAC . Tunaitaji kuwa na watu wachache kwenye uwalikishi wa mawazo ya wananchi na kuimarisha Jeshi la Polisi!
Kwa kweli ni hasara kwa Taifa hatuna haja ya kuwa na wabunge wengi wanalipwa mishahara mikubwa ajabu na hawazalishi.
Masikini na mnyonge ndo mnaangaika kuwakamua Kodi na tozo mbalimbali huku wafanyakazi wa umma wakiwaa na maisha magumu kwa miaka 7 bila kuongezewa mishahara