BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,732
- 5,011
NDUO WANATYNZA NDOA ZA WAZAZI WENU KAENI.KIMYA MTALAANIKA.WALLAHI WAKIKASIRIKAHali hii itaendelea mpaka lini? Mnajirahisisha mpaka huku maeneo ya SOCCER CITY mpaka meeda tena mnapigia debe eti kavu Tshs. 2,000/= tutapona kweli?, ni maisha yamebana ama? yaani mnauza UKIMWI kwa bei chini ya kilo moja ya UNGA wa ugali? Badilikeni.