Recent content by Tuta Absoluta

  1. Tuta Absoluta

    JamiiForums Tanzania Tanzania ilipofikia katika nyanja za uongozi

    😀😀😀inafurahisha na kusikitisha pia🥺🥺🥺
  2. Tuta Absoluta

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Barcelona, liverpool, madrid, arsenal chelsea sio wakuwaamini ss hivi..kila unapohisi game ijayo wataimalika ndio unazidi kuliwa😀😀 Hizi club kubwa mm nimeacha kuwabetia
  3. Tuta Absoluta

    JamiiForums Tanzania Dkt. Slaa: Bunge la Ulaya limetuhukumu Tanzania bila kusikilizwa (2019 Video)

    Hivi Mchina nae ni mshirika wa kujivunia. Mikopo yake migumu sana kulipika, anapata tender za miradi mikubwa lakini wafanyakazi wote wachina hadi store keeper. Lakini bado tunachokiona mtaani ni funded by EU, UKAID, USAID etc. Au kwa sababu Mchina anatuletea vitu vibovu kwa bei nafuu. Au niulize...
  4. Tuta Absoluta

    JamiiForums Tanzania Nini kilikusaidia kupata kazi?

    Nimemaliza degree baada ya miezi 3 nikapata kashavu ka data collection. Baada ya miezi 3 tena nikapata kazi yangu ya kwanza ( private company): hapa kulikua na some sort of connection ila niliperform interview hadi nikawaacha midomo wazi maboss( sababu ya kufany vzr ni FIELD PRACTICAL YA MWAKA...
  5. Tuta Absoluta

    JamiiForums Tanzania Imagine karne ya 21 kiongozi anatumia neno Mabeberu kama silaha. Anajua kweli ubeberu upo hata kwenye biashara ya mchicha hapa nchini?

    Hii nchi bwana CCM itatawala milele. Watawala mambo yakiwashinda wanasingizia kukwamishwa na Wazungu a.k.a Mabeberu, mambo yakienda vizuri ATUKUZWE M/KITI POMBE. Wananchi na sisi adui UJINGA ndio ametushikiria hatuwezi kureason tukiambiwa beberu tu chaliiiii. Kuna siku nimefanya analysis ya...
  6. Tuta Absoluta

    JamiiForums Tanzania Pamoja na yote, Magufuli aachwe amalize vipindi vyake viwili vya Urais

    Kwa hiyo ikitokea JPM kafa na miradi ya SGR na STIGLERS nayo itakufa? Yaani sababu ulizoziona za msingi ni kumalizia tu miradi!!!ambayo imesainiwa na watu wapo kazini. Watu wa nchi hii bana🤣 1999 nikiwa std 3 wakati sina akili ya kupambanua mambo kwa kina niliaminishwa kua kufa kwa the late...
  7. Tuta Absoluta

    JamiiForums Tanzania Uwezo wa kujenga hoja wa mashabiki wa Ali Kiba unasikitisha na kuhuzunisha

    Mziki ni feelings, kama msanii anaimba na anatouch feelings zako kwa nini usimpende. Suala la kumpenda mtu halipmwi na IQ. Kila msanii kwa level yake anamashabiki wake wanaumukubali regardless of their carrier success. Sio kila unachopenda wewe kinataste the same na kwa wengine.
  8. Tuta Absoluta

    JamiiForums Tanzania Uwezo wa kujenga hoja wa mashabiki wa Ali Kiba unasikitisha na kuhuzunisha

    Loud and clear. Mjuba hujionaga yeye ako na IQ kubwa sana, unaeza dhani yeye ni watu moja ya watu wakubwa waliofanikiwa duniani. Sema tu ni ID fake mwenzetu ingekua real ningejifunza kwake ni kwa kiasi gani ameweza kutransform IQ yake into money. Ila kwa bahati mbaya ukute ni mtu fulani kapanga...
  9. Tuta Absoluta

    JamiiForums Tanzania Si kweli Mzungu ana akili kuliko mtu Mweusi

    Sana tu mkuu. Assume unamuondoa mzungu na kila kitu chake leo hii what is going to happen. Yaani ondoa Madawa, vifaa vya hospitali, ndege, magari, simu, home applience, umeme, petrolium n.k Inaumiza sana kuona tooth pick ni imported product😭😭😭 alafu tuendelee kujidanganya kwamba hawajatuzidi akili.
  10. Tuta Absoluta

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamu bei ya vifaa hivi vya Muziki

    Nilibadili gia angani mkuu nikaamua kuachana nayo hii idea.
  11. Tuta Absoluta

    JamiiForums Tanzania Si kweli Mzungu ana akili kuliko mtu Mweusi

    Acha tujipe moyo ila ukweli upo wazi wametuzidi. Nikipata mtoto siitaji kumwambia mzungu katuzidi yeye mwenyewe tu ataona na atajua ukweli bila hata kuambiwa. At micro level (ukijifananisha na mtu momoja mmoja inawezekana ukukutana na mzungu uliemzidi) ila at macro level (kwa ujumla) hawa jamaa...
  12. Tuta Absoluta

    JamiiForums Tanzania Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

    Hapa umeyumba. Ni kazi sana kumtetea Iran kwa hili blander kwa kufananisha na la Marekani. Kosa la US halihalalishi kosa kwa Iran. Halafu unaposema 290 -176 na kumuona Iran sio fala unakosea. Vita AKILI sio siraha peke yake. Au hujui Iran kaua zaidi (82)raia wake😄😄😄😄 , kwa hili mimi naona Iran...
  13. Tuta Absoluta

    JamiiForums Tanzania Diamond Platnumz achaguliwa kutumbuiza katika Tuzo za CAF na Tuzo za Kituo cha Nigeria Sound City

    Poor perfomance. Anaimba playback na bado anapishana nayo. Huyu bwana ni mzuri kucheza tu. Karibuni kwa povu mtoa maada kaomba maoni yetu na mm yangu ndio hayo tu.
  14. Tuta Absoluta

    JamiiForums Tanzania Harmonize - Hainistui (Official Audio)

    Haya ni maoni ya Mange kimambi mbona hujampa credit/hujafanya citation.😄😄😄
  15. Tuta Absoluta

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Diamomd: Jitahidi uanzishe redio na Tv yako kabisa ili mzee huyo akikuchoka usipatwe na msongo wa mawazo

    This is Bongo. Wangapi mmekuja kukoment hapa mkiwa. 1. Mnajua sheria ya uendeshaji makampuni ya biashara ya mwaka 2002. 2. Wangapi mnajua mgawanyo wa hisa, umiliki wa kampuni na madaraka ya wana hisa katika kampuni ya ushirikiano. Jaribu to hata kupitia maana ya MOU na AOA na sheria ya...
Back
Top Bottom