Pamoja na yote, Magufuli aachwe amalize vipindi vyake viwili vya Urais

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,326
24,192
Wana JF naleta hoja hii na naomaba tuiunge mkono.
Sijaanza kampeni hapana.
Ila mwaka huu tunajua ni mwaka wa uchaguzi wa Rais na wabunge.
Wabunge twaweza kuwaondoa lakini kwa Rais chonde chonde tumwache aendelee.
Sababu zangu kimsingi ni miradi miwili mikubwa ambayo Mh Magufuli angeachwa aimalizie .
Wa kwanza muhimu sana ni ue wa Umeme wa Stiegler, na wa pili hi huu wa SGR.

Uchumi umeyumba siyo siri akini hata huko Ulaya na Marekani hali ni hiyo hiyo.

Tumwachie kipindi cha pili Mh Magufuli ili ingalau akamilishe hii miradi na tutamkumbuka maana hii miradi itpaisha uchumi.
 
Ndani ya ccm atapitishwa na huko ndiko anahitajika kumaliza vipindi vyake viwili
Huku watanzania ndio wataamua wampe nani mpaka 2020...Tanzania ni zaidi ya ccm
Ukisha pata umeme wa uhakika bei ya umeme itashuka na viwanda ni lazima vitaongezeka.
Hilo li la dhahiri.
Sasa thamani ya maisha utaikosaje?
 
Unaposema aachwe unamaanisha kuna watu hawataki awepo, ni wa Aina gani na ni wangapi ambao wanaweza kuwashinda wananchi waliowengi ambao watamchagua? Magufuli kuwepo pale Ikuru hahitaji hisani ya wapinzani uchwara wavunjaji wa haki za wabunge wenzao chamani

Anayebisha achukue fomu ya kushindana naye aone aibu atakayoiingia tangu azaliwe na Hadi atakapokufa
 
Wana JF naleta hoja hii na naomaba tuiunge mkono.
Sijaanza kampeni hapana.
Ila mwaka huu tunajua ni mwaka wa uchaguzi wa Rais na wabunge.
Wabunge twaweza kuwaondoa lakini kwa Rais chonde chonde tumwache aendelee.
Sababu zangu kimsingi ni miradi miwili mikubwa ambayo Mh Magufuli angeachwa aimalizie .
Wa kwanza muhimu sana ni ue wa Umeme wa Stiegler, na wa pili hi huu wa SGR.

Uchumi umeyumba siyo siri akini hata huko Ulaya na Marekani hali ni hiyo hiyo.

Tumwachie kipindi cha pili Mh Magufuli ili ingalau akamilishe hii miradi na tutamkumbuka maana hii miradi itpaisha uchumi.
Wakandarasi si tayari wako kazini na walishaini mikataba ? Kinachosubiria si ni completion tu ya hiyo miradi na commissioning au Kuna mienzi mwingine anahitajika ?
 
Kwanza kabisa kabla ya yote Mh. Membe tumrudishiee uanachama wake bila masharti yeyote then tuanze kujadili haya!!

Mh. Membe amekulia CCM, uzoefu wote huo wa kiuongozi na kiusalama kaupatia ndani ya CCM, CCM imewekeza kwa huyu bwana miaka nenda rudi sasa watu wachache tu wanaamua kumvua uanachama kisa Urais..hii si haki hata kidogo.
 
Kwanza kabisa kabla ya yote Mh. Membe tumrudishiee uanachama wake bila masharti yeyote then tuanze kijadili haya!!

Mh. Membe amekulia CCM, uzoefu wote huo wa kiuongozi na kiusalama kaupatia ndani ya CCM, CCM imewekeza kwa huyu bwana miaka nenda rudi sasa watu wachache tu wanaamua kumvua uanachama kisa Urais..hii si haki hata kidogo.
Membe atulie bado umri unamruhusu.
 
Wana JF naleta hoja hii na naomaba tuiunge mkono.
Sijaanza kampeni hapana.
Ila mwaka huu tunajua ni mwaka wa uchaguzi wa Rais na wabunge.
Wabunge twaweza kuwaondoa lakini kwa Rais chonde chonde tumwache aendelee.
Sababu zangu kimsingi ni miradi miwili mikubwa ambayo Mh Magufuli angeachwa aimalizie .
Wa kwanza muhimu sana ni ue wa Umeme wa Stiegler, na wa pili hi huu wa SGR.

Uchumi umeyumba siyo siri akini hata huko Ulaya na Marekani hali ni hiyo hiyo.

Tumwachie kipindi cha pili Mh Magufuli ili ingalau akamilishe hii miradi na tutamkumbuka maana hii miradi itpaisha uchumi.
Kwa hiyo ikitokea JPM kafa na miradi ya SGR na STIGLERS nayo itakufa?
Yaani sababu ulizoziona za msingi ni kumalizia tu miradi!!!ambayo imesainiwa na watu wapo kazini.

Watu wa nchi hii bana🤣
1999 nikiwa std 3 wakati sina akili ya kupambanua mambo kwa kina niliaminishwa kua kufa kwa the late JKN ndio mwisho wa Tz, mara vita itatokea mara hivi yaani it was like kuna chance ndogo sana ya kusurvive pasipo yeye. Niliishi kwa woga sana nyakati hizo.
Mtoa maada nikuhakikishie tu kwamba,
Shughuli iliyoanza itaendelea na mpya zitakuja zitaendelea pasipo yeye unaemtumaini kwa sababu ni binadamu kama wewe.
 
Kwa hiyo ikitokea JPM kafa na miradi ya SGR na STIGLERS nayo itakufa?
Yaani sababu ulizoziona za msingi ni kumalizia tu miradi!!!ambayo imesainiwa na watu wapo kazini.

Watu wa nchi hii bana🤣
1999 nikiwa std 3 wakati sina akili ya kupambanua mambo kwa kina niliaminishwa kua kufa kwa the late JKN ndio mwisho wa Tz, mara vita itatokea mara hivi yaani it was like kuna chance ndogo sana ya kusurvive pasipo yeye. Niliishi kwa woga sana nyakati hizo.
Mtoa maada nikuhakikishie tu kwamba,
Shughuli iliyoanza itaendelea na mpya zitakuja zitaendelea pasipo yeye unaemtumaini kwa sababu ni binadamu kama wewe.
Mkuu inawezekana unachosema ni kweli kwamba hata kama Maghufuli ataondoka madarakani miradi aliyoianzisha itaendelezwa na watakaomfuatia. Hilo linaweza likawa hivyo au lisiwe hivyo, yote mawili yanawezekana kabisa. Lakini point ya mleta mada ni jinsi Mhe. Magufuli anavyojitoa katika kuhakikisha kwamba hii miradi na mingine mingi inakamilika ikiwezekana ndani ya kipindi cha uongozi wake. Siyo kila rais atakaye ingia ikulu ya magogoni atakuwa committed kwelikweli kuleta maendeleo. Inawezekana atakayemfuata isionyeshe uthubutu na u-serious wa kufanya mambo makubwa katika hii nchi. Tusichukulie kwamba marais wote wanakuwa na commitment inayofanana kwenye kusimamia miradi ya maendeleo na mambo mengine yote ya nchi. HIVYO NI BORA TUKATHAMINI TULIYENAYE SASA AMBAYE TUNAONA UWAJIBIKAJI WAKE KATIKA KULETA MAENDELEO YA NCHI YETU KUL;IKO KUISHI KWA HISIA KWAMBA HATA KAMA ATAONDOKA WENGINE WATAFANYA.
 
Ee Mungu baba Tunaomba kikombe hiki kituepuke Oct 2020,, si kama tutakavyo sisi Bali mapenzi yako Yatimizwe,, Tuseme Ameenii..
 
Mtukufu Rais ameishinda korona, kawashinda mabeberu 🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐, kaokota vichwa vya matreni, kaleta nyungu, dawa mahiri ya Coronavirus, mpaka Wachina na Marekani wanaitamani.
Adumu milele, atawale milele kwenye Taifa hili
Ha ha ha we Buji squared acha hizo!
JPM ni lazima akamilishe kazi aliyoianza na alivyoahidi.
He can do it!
 
Mkuu umenena kweli kabisa, kwa hali ilivyo na hapa alipotufikisha tuseme basi inatosha!
inawezekana kwa maslahi yako binafsi amekuudhi lakini angalia na upande wa pili miradi ya kitaifa inayotekelezwa katka hii awamu ya 5 ambayo hata wewe na familia yako mtanufaika nayo. TANZANIA FIRST MENGINE KILA MTU APAMBANE NA HALI YAKE TU.
 
Wana JF naleta hoja hii na naomaba tuiunge mkono.
Sijaanza kampeni hapana.
Ila mwaka huu tunajua ni mwaka wa uchaguzi wa Rais na wabunge.
Wabunge twaweza kuwaondoa lakini kwa Rais chonde chonde tumwache aendelee.
Sababu zangu kimsingi ni miradi miwili mikubwa ambayo Mh Magufuli angeachwa aimalizie .
Wa kwanza muhimu sana ni ue wa Umeme wa Stiegler, na wa pili hi huu wa SGR.

Uchumi umeyumba siyo siri akini hata huko Ulaya na Marekani hali ni hiyo hiyo.

Tumwachie kipindi cha pili Mh Magufuli ili ingalau akamilishe hii miradi na tutamkumbuka maana hii miradi itpaisha uchumi.
Rais ni Taasisi
 
Back
Top Bottom