Dah hili jipya mh salute, binadamu wote tungekuwa hivi hasa vijana tunaoangaika mtaani naamini hata serikali ingetambua thamani na uwepo wa vijana ktk taifa hili. Asante sana mh. Ubarikiwe sana na hayo yote yatimie.
Magu amesema yy ndiye rais wa tanz na ndiye anaeamua nn afanye nan akae WAP na kasema mwenye kulia alie mwenye kujinyonga ajinyonge, rais ni yy na wakati anaenda kuchukua fom hakuna aliyemshauri wa kumsindikiza so anafanya madudu yote haya eti kwa sababu yeye ndiye final say wa nchi hii. Magu...
Kiukweli sioni hata haja ya kupoteza muda wangu mwng takribani miaka 20 ya kusoma halaf serikali ndo hii kila siku kalenda na ahadi za kipumbavu kiasi kwamb hawakumbuki nao bila ajira hizo wengine wasingekuwa marais,mawaziri n.k. mi nina shahada ya elimu ( mathematics) natafuta shule ya private...
Wakuu huu uoga wa watanzania ndio unaotunyima hata haki zetu sio cwt tu tatizo jingine linakuja pale watu wanapopeana vyeo wengi wao wanashindwa kukoroma kwa Kuogopa waajiri wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.