Recent content by Turutumbib

  1. T

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Jamani bandugu yamenipita mengi lakini naomba chonde nami mniunge na group la whatsapp namba yangu 0715430708
  2. T

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Dah hili jipya mh salute, binadamu wote tungekuwa hivi hasa vijana tunaoangaika mtaani naamini hata serikali ingetambua thamani na uwepo wa vijana ktk taifa hili. Asante sana mh. Ubarikiwe sana na hayo yote yatimie.
  3. T

    Kanisa Katoliki na siasa za kinafiki Tanzania

    Magu amesema yy ndiye rais wa tanz na ndiye anaeamua nn afanye nan akae WAP na kasema mwenye kulia alie mwenye kujinyonga ajinyonge, rais ni yy na wakati anaenda kuchukua fom hakuna aliyemshauri wa kumsindikiza so anafanya madudu yote haya eti kwa sababu yeye ndiye final say wa nchi hii. Magu...
  4. T

    Leo ndo mwisho wa Uhakiki

    Kiukweli awamu hii bora hata kuongozwa na ng'ombe
  5. T

    Kupokea simu ya Mpenzi/Mwenza pale inapokuwa karibu yako ni ruksa?

    Kama unajiamini kuwa haufanyi maovu kwann umkataze mpenzi wako kushika sm yako?
  6. T

    Nafasi za kazi ya UALIMU Sayansi na Hisabati

    Mtaule ajira zipi hizo zilizotayari
  7. T

    Nafasi za kazi ya UALIMU Sayansi na Hisabati

    Kiukweli sioni hata haja ya kupoteza muda wangu mwng takribani miaka 20 ya kusoma halaf serikali ndo hii kila siku kalenda na ahadi za kipumbavu kiasi kwamb hawakumbuki nao bila ajira hizo wengine wasingekuwa marais,mawaziri n.k. mi nina shahada ya elimu ( mathematics) natafuta shule ya private...
  8. T

    Naelekea kuamini sasa kuwa ajira hazipo kabisa

    Hydrazin unatakiwa kuwa mfano humu jf kwa kutoa ushauri weny busara hakika hekima yako nimeiona, heshima kwako ndugu!
  9. T

    Hivi vilaza tutasoma chuo kikuu kweli?

    Kweli huu usomi wetu watanzania sijui unatusaidiaje MTU umesoma umepata credit inayokufaa alafu unajiita kilaza manake hujiamini na elimu uliyonayo
  10. T

    Viongozi CWT acheni uoga.

    Wakuu huu uoga wa watanzania ndio unaotunyima hata haki zetu sio cwt tu tatizo jingine linakuja pale watu wanapopeana vyeo wengi wao wanashindwa kukoroma kwa Kuogopa waajiri wao.
Back
Top Bottom