Asante Shunie Kazi Nzuri.
SEHEMU YA 43
Haraka sana nikafungua laptop na kumwambia kuna kazi ya mahesabu nilitaka kuifanya, hakunishangaa kwani ilikuwa kawaida sana hasa kwa mfanyabiashara kama mimi.
Kweli nikaingia na kuanza kufanya kazi hiyo lakini upande mwingine nikafungua WhatsApp Web na...
Habari Za Muda huu Wa jamii, Sisi watanzania Kwa hamu kubwa Siku Ya kesho Muda Wa Saa Mbili Usiku tutakuwa tukitupa kalata Yetu ya Kwanza Katika Mashindano ya Africa cup of Nations dhidi ya Senegal Ni Matumaini Yangu kesho tunashida Kwani Nia Na Uwezo tunao japo kwenye mpira Wa Miguu Kuna...
Kweli Kaka Vijana Wanalalamika Sana!!! Kwa Mfano Sisi tunakoishi Mahitaji yetu makubwa Ni hospitali Na Shule sijui Hawa graduates Na wasomi Wetu watatusaidiaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.