Kakobe muislam, mwamposa ni muislam, gwajima ni muislam, sumbawanga kule ni waislam tupu, iringa hapa kwa wakinga na mbeya waislam ni asilimia 99. Mavi yako
Nimeshafika mahakamani kuwashtaki ZOLA, Ni matapeli. Mimi nimewalipa pesa waje kufunga mtambo wao. Wakapiga hela na mtambo sijafungiwa. Miezi 6 sasa.
Mwenye mawasiliano yao ya makao makuu naomba. Namba za simu, email na anuani ya posta
Hapa nimemkumbuka JPM angeshapiga chini makinda. Waliweka nafasi za maudhui za Nini? Huu ni uchafu, kukosa utu na uungwana. Kiufupi wangetoa maelezo na kuomba samahani. Uungwana ni vitendo.
Binafsi nimesikitika sana. Maeneo nilipo majina ya walioomba usimamizi wa maudhui wote wameliwa vichwa. Walipoteza muda na fedha zao kuomba, wamelipotezea tangazo lao. Tz bado sana.
Kampuni hii ilijijengea jina na heshima kubwa sana kwa watanzania hususan vijijini kwa kusaidia kutoa suluhisho LA umeme mbadala. Kwa sasa hawa jamaa wanatumia jina lao kulaghai watu.
Ni warongo sana watu hawa kwa wateja wao.
Ukiwalipa pesa ili wakufungie mtambo, pasa wanakula na mtambo hipati...
Kuna mwaka walimvamia ustadh mmoja anatoka madrasa wakampiga na kumpora simu na kumuua papo kW papo. Jamaa zetu wa masjid Taqwa na Mtambani, vijana wa kazi walienda polisi mwananyamala. Wakawaambia polisi ndugu yetu ameuwawa sisi tutawasaidia kuwapata wauwaji na tutatoa funzo kwa panya road...
Hii ni moja ya nyuzi zangu, jicho langu la moyoni liliona mbali sana. Leo elimu ya Physics ya Muddy amezikwa nayo, sijui pale Azam walifanikiwa kupata record ngapi za huyu mwamba wa elimu naomba kama wanazo watuwekee youtube tumkumbuke mwalimu wetu. Allah amlaze mahali pema peponi Muddy...
Umeniongelea na mimi na wala siongezi neno. Mwenyezi Mungu muangalie kwa jicho la huruma kiumbe wako huyu. Amekuja kwako mnyonge na dhalili, basi msamehe alipoteleza, kwa rehma zako ya Allah
Kwa hisani yako naomba maelekezo ya mlipomlaza mwalimu wangu nataka nikirudi Tanzania niende kwwenye kaburi lake, niubusu mchanga wake na nimuombee dua, kipenzi cha wanaadamu, mwanachuoni wa zama zetu katika ilmu ya fisikia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.