Tunkamanin
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 951
- 865
Ushauri: Online class masomo ya sayansi katika kipindi cha corona wapewe walimu wazoefu;- Muddy physics, Mgote, Mbuga, Mkandawire na makumaku
Kutokana na mchango mkubwa wa hawa manguli wa lecture za mitaani hasa maeneo ya mchikichini. Kwa wale waliosoma miaka hiyo, nadhani wanakumbuka mchango wa hawa Watanzania wenzetu katika kusambaza elimu na kurahisisha maisha ya elimu ya sayansi kwa vijana wa Kitanzania.
Katika kipindi hiki cha corona ambapo mikusanyiko isiyo ya lazima imezuiwa, natoa pendekezo kwa wizara ya elimu kuwapa mkataba hawa watu wazoefu na vigogo vya mafunzo ya elimu ya sekondari nchini kupitia e-class. waruke hewani kila siku, watoto wetu wapate kufaidika na hazina hizi ambazo zinapotea bure mtaani.
My take: Napenda kutoa heshima zangu kwa hawa watu: Mbuga, Mkandawile, Muddy, Osama na Hidden Agenda kwa kazi kubwa walioifanya mpaka nimefikia katika ngazi hii elimu inayonipa ugali wa kila siku mimi na familia yangu. Mwenyezi Mungu wabariki sana. wanafuaika wa moja kwa moja au hata ambao wameambulia nyaraka zao unaweza kuungana na uzi huu kwa kutoa ushauri wako.
Kutokana na mchango mkubwa wa hawa manguli wa lecture za mitaani hasa maeneo ya mchikichini. Kwa wale waliosoma miaka hiyo, nadhani wanakumbuka mchango wa hawa Watanzania wenzetu katika kusambaza elimu na kurahisisha maisha ya elimu ya sayansi kwa vijana wa Kitanzania.
Katika kipindi hiki cha corona ambapo mikusanyiko isiyo ya lazima imezuiwa, natoa pendekezo kwa wizara ya elimu kuwapa mkataba hawa watu wazoefu na vigogo vya mafunzo ya elimu ya sekondari nchini kupitia e-class. waruke hewani kila siku, watoto wetu wapate kufaidika na hazina hizi ambazo zinapotea bure mtaani.
My take: Napenda kutoa heshima zangu kwa hawa watu: Mbuga, Mkandawile, Muddy, Osama na Hidden Agenda kwa kazi kubwa walioifanya mpaka nimefikia katika ngazi hii elimu inayonipa ugali wa kila siku mimi na familia yangu. Mwenyezi Mungu wabariki sana. wanafuaika wa moja kwa moja au hata ambao wameambulia nyaraka zao unaweza kuungana na uzi huu kwa kutoa ushauri wako.