Recent content by Tujikomboe Finance

  1. Tujikomboe Finance

    Mwenye tatizo kuhusu magari

    Natafuta Fundi MZURI wa Kilikuu kichwa kikubwa ina shida ya starter na kujipiga resi ni shida
  2. Tujikomboe Finance

    Dawa ya Kwikwi ya Muda Mrefu

    Hospital hakuna tiba kuna dawa wanampa za kulegeza mishipa tu, humchosha sana
  3. Tujikomboe Finance

    Dawa ya Kwikwi ya Muda Mrefu

    Naomba kusaidiwa dawa ya kwikwi ambayo imedumu muda mrefu zaidi ya miaka mitano Iwe ni dawa ya hospital au tiba mbadala
  4. Tujikomboe Finance

    Natamani News presenters wa Kenya wangekuja Tanzania

    Nimekuwaza nikiwaza hivyo kila nikifungulia TV za Kenya. Ukweli tofauti ni kubwa mnoooooo
  5. Tujikomboe Finance

    Mahakama Urusi yapiga marufuku Mashahidi wa Yehova

    Mnara wa Mlinzi aka Watch Tower
  6. Tujikomboe Finance

    Swimming Pool ya kwanza kujengwa Mbeya.....

    Uti sikukime ugwe
  7. Tujikomboe Finance

    Nimemfumania mume wangu PR Hotel sikia haya

    The original comedy...aka Wakuvanga
  8. Tujikomboe Finance

    Fundi umeme magari mzuri

    Natafuta fundi mzuri hasa wa umeme wa magari ya kisasa yanayotumia control box gari ni make ya Toyota. Fundi awe DSM
  9. Tujikomboe Finance

    Namtafuta mmiliki wa Suzuki Escudo T920 AJS

    Ilikuwa na rangi ya bluu mpauko na ni ya milango mitano (5)
  10. Tujikomboe Finance

    Namtafuta mmiliki wa Suzuki Escudo T920 AJS

    Zamani za ujinga, niliuza gari hilo kupitia madalali, hivyo sikumbuki mnunuzi na dalali aliyeuza alishafariki. Nimeenda TRA nimekuta hiyo gari inasoma kwa kwa jina langu na inadaiwa road license hela nyingi tu. Wewe mwenye gari hilo, au kama unamfahamu mwenye gari hilo please tuwasiliane namna...
  11. Tujikomboe Finance

    Bomoa bomoa yafanyika Mbezi, wananchi walalamika kutopewa taarifa

    Mbezi kwa Mpipi,Mbezi njia panda Malamba mawili, Mbezi njia panda zone etc
  12. Tujikomboe Finance

    Muingiza data (data entry) kwa Finance Solution anatakiwa

    Vijana wenye kujua hayo mambo naona ni adimu sana
Back
Top Bottom