lusaka city
Senior Member
- Mar 17, 2015
- 146
- 116
Sijui mbeya IPI hiyo.ujinga wa fb ,jf unakuja vp
Em niwacheni, wivu tuNaona wasukuma wamepumzika, wapi kui Heaven Sent
Haha!, tumepumzika kama kidogo atoto. Zamu ya kina HS sasa. Lakini wenzetu wana faidi zaidi, kila kitu cha kwanza kwao lazima kitangazwe, mara lift, mara kimondo, sisi ni ma pose tu ya picha. 😀
Tupeleke bwana na sisi tukapate eksipozha.Em niwacheni, wivu tu
Ntawapeleka mwakaniTupeleke bwana na sisi tukapate eksipozha.
Vaeni tu miwani msione gereHaha, tusione wivu mchezo.
Tupeleke bwana na sisi tukapate eksipozha.
Ntawapeleka mwakani

Likewise galpal, umetuandalia nini kitamu?Kweli kabsa.
Mwaka ndo huu umefika, tunaomba tarehe.
Happy New Year wapendwa!
Wishing you all the best, and none of the worst.![]()
Ntawapeleka mwakani