Sawa mkuu, nimekusoma. Ntakufata prvt baada ya kazi, au sio? Tuko Bien lkn?!?!Hapa nina video tu nikiwa na hayo mavitu nmeshindwa kuizuia sura yangu isionekane so sijui nikusaidiaje ili tuende sambamba labda uniambie nikutumie ww private na sio kuianika hapa sura yangu
Mwenye swali au maswali kuhusu Magari ,kuanzia mifumo yote SUSPENSION SYSTEM,COOLING SYSTEM,BRAKE SYSTEM,STEARING SYSTEM ,ENGINE
Uliza hapa ujibiwe
Kazi ya VARIABLE VALVE TIMING sensor ni kuimprove performance ya engine, fuel economy or emissions ya gari lako, ina msaada mkubwa, ila machache ni hayo
Na hili wengi mafund wa mtaani hawalijui, zaidi wanabuni au wanahisi tatizo ni VVTI, Ila tatizo la CHECK ENGINE kuwaka huwa ni gas cap kuwa loose hivo hufanya mafuta ku evaporate,
Hivo badilisha kama kimeharibika
Cv joint ni sababu mojawapo
Ila kuna hizi
Cheki nuts za hubcaps katika suspension system
Na drive belt or drive belt tensioner kuloose ambayo ina connect altenator, Air conditining na mfumo wa steering system had kwenye crankshaft , angalia hizi kama zime loose
Pia kama matairi yako yapo in irregullar , liangalie hilo ,huwa linasababisha makelele unapoendesha
Sababu kuu chache za awali ninazozijua zinazofanya car engine kumissfire ni
Uchafu kwenye fuel injector hii husababisha cylinder zisipokee mafuta(AIR-FUEL MIXTURE) ya kutosha, Chakufanya i chek na uirun injector cleaner, Pia sababu nyingine
Ni kufeli kwa spark plug, na hili ni tatizo gumu kulitambua kwa duagnosis hasa pale waya za kwenye spark plug zinapokuwa failed .
Hapa ushauri wa bure ni kubadili spark plug.
Kuhusu Fuel treatment ni elewavyo ni kuongeza NGUVU au power ya engine, pia kupunguza gas mbalimbali baada ya mafuta kuungua
Ni hayo tu mkuu
Habari Mkuu, tatizo la taa ya ABS kuwaka in nini?Samahanini wakuu kwakutowajibu, naona huu uzi umevamiwa na matapeli wajuaji wanaotaka kupata kidogo yaani hela ,
Mimi nilijitolea kuelezea na kutatua matatizo ya watu bila kuhitaji hata mia,
Lakini naona wahuni wameuvamia na wanawavutia watu PM wawapige hela, hivo nimeamua kukaa pembeni.
Mbona kama wewe ndio fundi wa mtaani ivi. VVTi can cause check engine kuwaka, sensors zote za engine na transmission zinawasha check engine. Pengine amaefanyiwa diagnosis ndio akaambiwa VVTi, cha msingi kama amefanya diagnosis na ameambiwa hivo step ya kwanza ni kuifungua vvti na kucheki pengine ina clog au pengine sensor tu imekuwa muwa.Na hili wengi mafund wa mtaani hawalijui, zaidi wanabuni au wanahisi tatizo ni VVTI, Ila tatizo la CHECK ENGINE kuwaka huwa ni gas cap kuwa loose hivo hufanya mafuta ku evaporate,
Hivo badilisha kama kimeharibika
L 200 ya mwaka gani mkuu??? Ninayo old model sema ina vuta upande..bush majanga upande mojaMimi engine ya gari langu turbo haifungui ninini shida na itatatuliwaje ni mitsubish L 200
L 200 ya mwaka gani mkuu??? Ninayo old model sema ina vuta upande..bush majanga upande moja
Mkuu unamtesa mleta uzi. Kwa kifupi hueleweki.Natafuta Fundi MZURI wa Kilikuu kichwa kikubwa ina shida ya starter na kujipiga resi ni shida
Mkuu gar yangu ist inazima engine nikiwa kwenye mteremko mkal hasa nikiwa nimeweka neutral, pia leo wakat narudi reverse kwenye tope kdogo ikazima piaMwenye swali au maswali kuhusu Magari ,kuanzia mifumo yote SUSPENSION SYSTEM,COOLING SYSTEM,BRAKE SYSTEM,STEARING SYSTEM ,ENGINE
Uliza hapa ujibiwe