Mwenye tatizo kuhusu magari

Hapa nina video tu nikiwa na hayo mavitu nmeshindwa kuizuia sura yangu isionekane so sijui nikusaidiaje ili tuende sambamba labda uniambie nikutumie ww private na sio kuianika hapa sura yangu
 
Hapa nina video tu nikiwa na hayo mavitu nmeshindwa kuizuia sura yangu isionekane so sijui nikusaidiaje ili tuende sambamba labda uniambie nikutumie ww private na sio kuianika hapa sura yangu
Sawa mkuu, nimekusoma. Ntakufata prvt baada ya kazi, au sio? Tuko Bien lkn?!?!
 
Habarini ndg, hivi tatizo la kugonganga sana chini baada ya ya kuweka spencer kwenye gari inasababishwa na nini?
 
Mwenye swali au maswali kuhusu Magari ,kuanzia mifumo yote SUSPENSION SYSTEM,COOLING SYSTEM,BRAKE SYSTEM,STEARING SYSTEM ,ENGINE

Uliza hapa ujibiwe


Kazi ya VARIABLE VALVE TIMING sensor ni kuimprove performance ya engine, fuel economy or emissions ya gari lako, ina msaada mkubwa, ila machache ni hayo


Na hili wengi mafund wa mtaani hawalijui, zaidi wanabuni au wanahisi tatizo ni VVTI, Ila tatizo la CHECK ENGINE kuwaka huwa ni gas cap kuwa loose hivo hufanya mafuta ku evaporate,

Hivo badilisha kama kimeharibika


Cv joint ni sababu mojawapo

Ila kuna hizi

Cheki nuts za hubcaps katika suspension system

Na drive belt or drive belt tensioner kuloose ambayo ina connect altenator, Air conditining na mfumo wa steering system had kwenye crankshaft , angalia hizi kama zime loose

Pia kama matairi yako yapo in irregullar , liangalie hilo ,huwa linasababisha makelele unapoendesha


Sababu kuu chache za awali ninazozijua zinazofanya car engine kumissfire ni

Uchafu kwenye fuel injector hii husababisha cylinder zisipokee mafuta(AIR-FUEL MIXTURE) ya kutosha, Chakufanya i chek na uirun injector cleaner, Pia sababu nyingine
Ni kufeli kwa spark plug, na hili ni tatizo gumu kulitambua kwa duagnosis hasa pale waya za kwenye spark plug zinapokuwa failed .
Hapa ushauri wa bure ni kubadili spark plug.

Kuhusu Fuel treatment ni elewavyo ni kuongeza NGUVU au power ya engine, pia kupunguza gas mbalimbali baada ya mafuta kuungua

Ni hayo tu mkuu

Habari mkuu,

Pse recommend nitumie shock-abs zipi kwa Nissan Navara D40? Hizi njia zetu za mashimo na mawe kila mtaa mpaka inakera.

Advice upatikanaji wake na bei (rough figures ikibidi)

 
Samahanini wakuu kwakutowajibu, naona huu uzi umevamiwa na matapeli wajuaji wanaotaka kupata kidogo yaani hela ,

Mimi nilijitolea kuelezea na kutatua matatizo ya watu bila kuhitaji hata mia,

Lakini naona wahuni wameuvamia na wanawavutia watu PM wawapige hela, hivo nimeamua kukaa pembeni.
Habari Mkuu, tatizo la taa ya ABS kuwaka in nini?
 
Na hili wengi mafund wa mtaani hawalijui, zaidi wanabuni au wanahisi tatizo ni VVTI, Ila tatizo la CHECK ENGINE kuwaka huwa ni gas cap kuwa loose hivo hufanya mafuta ku evaporate,

Hivo badilisha kama kimeharibika
Mbona kama wewe ndio fundi wa mtaani ivi. VVTi can cause check engine kuwaka, sensors zote za engine na transmission zinawasha check engine. Pengine amaefanyiwa diagnosis ndio akaambiwa VVTi, cha msingi kama amefanya diagnosis na ameambiwa hivo step ya kwanza ni kuifungua vvti na kucheki pengine ina clog au pengine sensor tu imekuwa muwa.

Sio kifuniko cha fuel tank bana. Dharau check engine uje ujutie baadae
 
Mkuu mimi nina Mitsubishi L 200....old model ila tatizo kuu gari kuvuta upande nilienda kunyoosha ghafla jamaa aka niambia bush moja imekufa maan gari upande moja imelala,ukipitisha vidole ukingo wa tair upande moja haupiti ila upande wa pili vina pita shida ni nin mkuu?
 
L 200 ya mwaka gani mkuu??? Ninayo old model sema ina vuta upande..bush majanga upande moja

Ya mwaka 2007
f8911040ae9b0ad59aa49a628670e8fe.jpg
 
MSAADA TAFADHARI Toyota ist NIKISHA TEMBEA UMBALI MREFU SPEED MITA INAKUWA INA GANDA HAISOMI UNAWEZA KUTA NIPO KWENYE VIBAO VYA KUTEMBEA SPEED 50 NIMEPUNGUZA MWENDO YENYEWE INASOMA SPEED 80 ILA GARI IKIPOA INAKUWA FRESH UKITEMBEA UMBALI MREFU TATIZO ILO ILO NIPO MWANZA
 
Mwenye swali au maswali kuhusu Magari ,kuanzia mifumo yote SUSPENSION SYSTEM,COOLING SYSTEM,BRAKE SYSTEM,STEARING SYSTEM ,ENGINE

Uliza hapa ujibiwe
Mkuu gar yangu ist inazima engine nikiwa kwenye mteremko mkal hasa nikiwa nimeweka neutral, pia leo wakat narudi reverse kwenye tope kdogo ikazima pia
Je shida n nn?

Mafuta yapo ya kutosha nusu tank
Siwek mafuta ya vdumu nawekaga mafuta shel Gpb
 
Back
Top Bottom