Utakuta Mwanaume akioa mke basi kila kitu anataka afanyiwe: apikiwe, anyoshewe, achaguliwe nguo ya kuvaa, nguo za ndani afuliwe na pia aambiwe badilisha leo na vaa hizi hapa, maji ya kuoga awekewe tena ya moto sababu ameoa asipofanyiwa ataenda nyumba ndogo
hebu tujadiliane inawezekana kama mke...