Aden rage asimamishwa na kamati ya utendaji ya simba

Aden rage asimamishwa na kamati ya utendaji ya simba

kwa uelewa wangu kamati ya utendaji ipo chini ya Rage! Mwenye mamlaka ya kuitisha kikao cha kamati tendaji ni Rage, sasa ya wao kumvua labda kuna kitu chini kapeti! Time wil tel
 
kwa uelewa wangu kamati ya utendaji ipo chini ya Rage! Mwenye mamlaka ya kuitisha kikao cha kamati tendaji ni Rage, sasa ya wao kumvua labda kuna kitu chini kapeti! Time wil tel
Hahahahaha.
Kumbe aa wewe hujui chochote,basi hii news itakua ni ya kizushi.
 
Hahahahaha.
Kumbe aa wewe hujui chochote,basi hii news itakua ni ya kizushi.

unajua mwenyekiti yupo nje ya nchi kwasasa, sasa hawa jamaa huwa wanavizia Rage aende nje ya nchi ndo wampindue hapo ndo huwa wanakosea! Wanapaswa kumvaa akiwepo
 
Mkuu Masuke ebu njoo ututhibitishie hii habari bhana.
Mkuu mimi nilikuwa mashambani ndo naingia mjini sasa hivi sijui hata kinachoendelea, ila kama ni kweli bora maana Rage maneno mengi na kejeli nyingi mno, inabidi abaki kuwa mwanachama wa kawaida ingawa sina hakika kama atakubali kirahisi maana ni mtata balaa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hebu funguka zaidi naona kama ulitaka kwenda mbele zaidi lakini naona umerudia maneno!!!

.. RAGE AWEKWA BENCHI: Kamati Tendaji ya Simba FC leo imemsimamisha kazi mwenyekiti wake, Ismail Aden Rage ikimshutumu kukosa uadilifu, kukiuka maadili ya klabu.
 
Rage alipaswa kuondolewa tangu mwaka 2012,angalia Simba ilivyochemka kufanya usajili kwa misimu 4 iliyopita nashangaa wanachama bado wanamwogopa bora kamati ya utendaji imeamua kumuondoa
 
[h=5]RAGE :: "Hiyo Kamati Tendaji inaongozwa na nani au ipo chini ya nani?
Sasa na mimi nawasimamisha uanachama wajumbe wote wa kamati iliyokaa jana kikao cha kitchen party"[/h]
 
Usingae akiwajibu kuwa kikao hicho ni cha harusi hivyo hayatambui maamuzi yake.

Ni kweli mkuu maana Rage naye huwa wakati mwingine majibu yake huwa hayaendani na nafasi yake ndani ya club kubwa na kongwe kama Simba!
 
Mkuu mimi nilikuwa mashambani ndo naingia mjini sasa hivi sijui hata kinachoendelea, ila kama ni kweli bora maana Rage maneno mengi na kejeli nyingi mno, inabidi abaki kuwa mwanachama wa kawaida ingawa sina hakika kama atakubali kirahisi maana ni mtata balaa.
Sasa mbona majembe yote ninayoyaamini hapa jf yenye vimelea vya mitaa ya msimbazi hayajui kinachoendelea ndani mwao?
Bado habari hii sijaiamini.
Katavi ebu njoo na wewe utusaidie.
 
Last edited by a moderator:
Sasa mbona majembe yote ninayoyaamini hapa jf yenye vimelea vya mitaa ya msimbazi hayajui kinachoendelea ndani mwao?
Bado habari hii sijaiamini.
Katavi ebu njoo na wewe utusaidie.

nimeiona hata mimi breaking news ITV Pia king na Julio wamepigwa chini
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom