Recent content by Tsakhodegha

  1. Tsakhodegha

    JamiiForums Tanzania NACTE NA NECTA nani mwenye mamlaka ya kucompute/ kupanga GPA ya Walimu wa Diploma ambao vyeti vyao havina GPA hasa 2015?

    Mke Wangu Amegraduate Chuo Cha Ualimu Tukuyu Diploma Yake Mwaka 2015 na Kupata GPA ya 3.0 kwa Mujibu wa Matokeo ya NECTA. Mwaka 2017 Akataka Kujiendeleza Kwa Kusoma Digrii Yake OPEN UNIVERSITY Akapewa Sharti Atafute Uthibitisho NACTE Kwa Sababu Cheti Chake Hakikuwa na GPA . Basi Tukalipia...
  2. Tsakhodegha

    JamiiForums Tanzania Makete kuangukia mikononi mwa CHADEMA

    Makete anayekubalika ni Jackson Mbogella Mpiganaji Aliyejitolea Maisha Yake Kuwatetea Wanyonge wa Makete kwa Kupambana na Ufisadi Uliokuwa Umetamalaki Wilayani hapa kwenye taasisi za kanisa KKKT na Halmashauri ambapo mapambano hayo yalipelekea watu kufukuzwa kazi. Jackson Mbogella ndiye...
  3. Tsakhodegha

    JamiiForums Tanzania Makete: Wilaya ya ajabu, nadhani ni ya kupiga pesa

    Makete imegeuzwa shamba la bibi hakuna anayejari maslahi ya wananchi zaidi ya matumbo yao nadhani sasa ni wakati mwafaka wa kubadilisha uongozi kuanzia mbunge mpaka madiwani wa ccm maana kazi imewashinda
  4. Tsakhodegha

    JamiiForums Tanzania Makete: Wilaya ya ajabu, nadhani ni ya kupiga pesa

    Acha kudanganya watu makete ipi ambayo watu wanaogopa kufanya maendeleo kisa uchawi? Huo UKIMWI kwenu haupo? Acha kuchafua wilaya yangu nakubaliana na huyo mwenye hoja ya ubadhirifu lkn sio wewe
  5. Tsakhodegha

    JamiiForums Tanzania Hivi inaruhusiwa kuanzisha tawi la chama cha siasa shuleni?

    Wadua naomba kujua kama sheria zinaruhusu vijana wetu wa sekondari kuanzisha matawi ya vyama vyao hasa chama tawala mashuleni maana nimeshangazwa kuona vijana wa chama cha mapinduzi wakiwa wameanzisha tawi la chama chao hapa shuleni.
  6. Tsakhodegha

    JamiiForums Tanzania Tafadhalini Wadau Nisaidieni

    Nashukuru wadau wangu kwa michango yenu embu nijaribu nitaleta mrejesho hapa hapa
  7. Tsakhodegha

    JamiiForums Tanzania Tafadhalini Wadau Nisaidieni

    Nina Simu Yangu ni Samsung GT S55701 Shida ni Kuwa Ina External Memory ya 8GB na Iko Tupu Wakati Internal Imejaa Sasa Ninapojaribu Kuhamishia Kwenye External App Zinagoma Nifanyeje?
  8. Tsakhodegha

    JamiiForums Tanzania NIC policy

    Wahuni hao hawana jipya mkuu!
  9. Tsakhodegha

    JamiiForums Tanzania Maprofesa wa vyuo vikuu TZ hutumia kiswahili kufundishia badala ya Kiingereza

    Nimesoma Udsm kampasi ya Mlimani sijawahi muona Mhadhiri anatumia kiswahili kufundishia.....nimefundishwa na Wahadhiri kama Prof. Baregu, Prof. Chaliga, Prof. Max muya, Prof. Benedeta Killian, Bashiru Ally, Dr. Rwaitama, Dr. Bruce, Dr. Kitila Mkumbo nk kuwa specific ni Maprofessa gani kwa majina...
  10. Tsakhodegha

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa ACT-Tanzania, jufunzeni kwa Julius Malema na chama chake

    Umewaelimisha mkuu nadhani sasa mtoa maada ameelewa kuwa Malema kapata mafanikio makubwa ambayo tulio wengi hatukutegemea kabisa pia siasa za SA tofauti na hapa kwetu kule wananchi wanakiamini chama na si vinginevo wakati hapa kwetu ni mara nyingi tunaangalia mtu na chama chake pia
  11. Tsakhodegha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usikubali akunyonye

    Du Kweli hii imezidi lol
  12. Tsakhodegha

    JamiiForums Tanzania Google is a ‘CIA project’ says President Putin

    Thats good move Putin
  13. Tsakhodegha

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Manispaa ya Sumbawanga Nije Mbeya Jiji........Ni PM IDARA YA SEKONDARI
  14. Tsakhodegha

    JamiiForums Tanzania CHADEMA hali yenu ni mbaya jitafakarini tena

    Nina Mashaka Sana na Viongozi Wa CHADEMA Kwani Pamoja na Hali Kuonyesha Wazi Kuwa Chama Chao Kinahali Mbaya Kwa Sasa Bado Wanaujasiri wa Kusimama na Kujisifia Mafanikio Mufilisi Kabisa Katika Chaguzi Ndogo Zinazoendelea Hapa Nchini, Binafsi Nadhani Umefika Muda wa Kujitadhimini Kama Chama na...
  15. Tsakhodegha

    JamiiForums Tanzania Makubaliano ya CWT na serikali

    Hahahahahaha..............Ili Iweje...
Back
Top Bottom