NIC policy

NIC policy

karatu78

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2014
Posts
233
Reaction score
42
Habari wanajamvi,

Naomba mnijuze anayefahamu hii shirika la bima ya maisha maana wamekuja kazini kutushawishi tujiunge nao.
 
Habari wanajamvi.naomba mnijuze anayefahamu hi shirika la bima ya maisha.mana wamekuja kazini kutushawishi tujiunge nao

Kuingia sawa lakn..
Kujtoa ni shda
Malimbkzo yako yanapoiva(kufka mda wake) wanazngua sana kulpa!!!!!!!!!!
Mwenyew sana kulpa!!
 
Wameniambia siku hizi wamerahisisha huduma yao ukitakakutoka unaandika barua yakusitisha kwakupitia mwajiri wako.
 
Back
Top Bottom