Nilikuwa na number tu ya nida, Wale maafisa wa utumishi wakasema wanahitaji ID na sio number, Wakanishauri niende kwenye ofisi za mwenyekiti wa mtaa kisha nikapatiwa barua iliyonitambulisha kufanya mtihani
Mkuu niliibiwa simu maeneo ya Green grounds-Oysterbay, nikareport police Oystertbay. Nikapewa maelekezo kuwa niwe na subra jambo langu linafanyiwa kazi, Juzi nikapigiwa simu na Askari niende nikachukue simu yangu kituoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.