Usiku mwema kijana mwenzangu. Hakikisha unakuwa na pesa za kutosha kwa njia yoyote ile

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,705
36,153
Hakikisha pesa hazikauki kwenye account zako za benki, kwenye line za simu na chumbani kwako.
Hautaumwa hovyo, hutaitwa wee bali watakuita kwa majina yako. Utaushi kwa furaha.

Hakikisha katika ukusanyaji wako wa pesa usiue wala kumuumiza mtu.
Asante
 
Hakikisha pesa hazikauki kwenye account zako za benki, kwenye line za simu na chumbani kwako.
Hautaumwa hovyo, hutaitwa wee bali watakuita kwa majina yako. Utaushi kwa furaha.
Hakikisha katika ukusanyaji wako wa pesa usiue wala kumuumiza mtu.
Asante
Umenena vyema mkuu
 
Hakikisha pesa hazikauki kwenye account zako za benki, kwenye line za simu na chumbani kwako.
Hautaumwa hovyo, hutaitwa wee bali watakuita kwa majina yako. Utaushi kwa furaha.

Hakikisha katika ukusanyaji wako wa pesa usiue wala kumuumiza mtu.
Asante
Sawa mkuu ushauri mzuri Mtumishi wa Mungu
 
Back
Top Bottom