Recent content by Tripple Jay

  1. Tripple Jay

    George Ambangile kabla ya Wasafi FM alikuwa wapi? Na elimu hii ya soka kaipata wapi?

    Dah Anna Peter umenikumbusha enzi zake na Mussa hussen nilikua napenda kisikiliza kipindi Chao pale east Africa redio.
  2. Tripple Jay

    Unakumbuka kitu gani kuhusu Channel ya TV1

    Ewaaa yn hbr zote zilizokua zinatrend mtandaoni alikua anazileta. Yn hta ukiwa huna bando hbr hazikupiti kbs
  3. Tripple Jay

    Unakumbuka kitu gani kuhusu Channel ya TV1

    Mm nakumbuka tamthilia zao Ile ya wild heart na la patrona. Pia kipind sijui kile kinakufanya hbr ya mtandaoni yn wanazijadili mtangazaji alikua Mimi mars
  4. Tripple Jay

    TANZIA GE2025 Job Ndugai, aliyewahi kuwa Spika wa Bunge afariki Dunia

    Yani nimeenda tena you tube kuichek clip yake mh trh alotaja ni mulemule.
  5. Tripple Jay

    JINSI PESA INAVYOIBWA KWENYE SIMU ILIYOPOTEA KUTOKA KWENYE MTANDAO AU BANK

    Uzuri nilikua Sina hela kwenye simu, but line amby ilikua na pin sijui puk ilikua haipatikani, Ile Amby Haina puk ilkw ipo hewani. Na walianza kutumia watu ujumbe sijui tuma hela. Ila namshukuru tu kesho yake niliwahi kwenda kuzerenew.
  6. Tripple Jay

    JINSI PESA INAVYOIBWA KWENYE SIMU ILIYOPOTEA KUTOKA KWENYE MTANDAO AU BANK

    Pia nilijifunza puk ktk cm inasaidia, mana line yng ilokua na puk walishindwa kunitumia sbb hawajui code, ila Ile isokua na puk we walishaanza kuichokonoa.
  7. Tripple Jay

    JINSI PESA INAVYOIBWA KWENYE SIMU ILIYOPOTEA KUTOKA KWENYE MTANDAO AU BANK

    Asante kwa taarifa, ila unaweza piga cm mtandao husika na usipate msada. Niliibiwa cm na nikapiga mitandao husika na hamna msada nilopata ilinibid kesho yake asbh niende kublock makao makuu ya krb.
Back
Top Bottom