Mm nakumbuka tamthilia zao Ile ya wild heart na la patrona. Pia kipind sijui kile kinakufanya hbr ya mtandaoni yn wanazijadili mtangazaji alikua Mimi mars
Uzuri nilikua Sina hela kwenye simu, but line amby ilikua na pin sijui puk ilikua haipatikani, Ile Amby Haina puk ilkw ipo hewani. Na walianza kutumia watu ujumbe sijui tuma hela. Ila namshukuru tu kesho yake niliwahi kwenda kuzerenew.
Pia nilijifunza puk ktk cm inasaidia, mana line yng ilokua na puk walishindwa kunitumia sbb hawajui code, ila Ile isokua na puk we walishaanza kuichokonoa.
Asante kwa taarifa, ila unaweza piga cm mtandao husika na usipate msada. Niliibiwa cm na nikapiga mitandao husika na hamna msada nilopata ilinibid kesho yake asbh niende kublock makao makuu ya krb.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.