Malezi yanahitaji baba na mama. Akikosekana mmoja urari (balance) unapotea katika mwenendo wa mtu. Hata hivyo nakubaliana na wale ambao wamesema si wote wako hivyo.
Tatizo haelewi maana ya rijali. Rijali ni mwanamme ambaye ana uwezo wa kufanya ngono (jogoo linawika). Kudai kwamba wasiopuyanga na machangu si marijali ni hoja isiyokuwa na mashiko, ya kuhalalisha tabia hiyo. Kwamba viongozi wa serikali, nk, wanazurura nje ya ndoa hakuhalalishi tabia hiyo...
Dodoma ni dili la watu kujilipa padiemu wakienda kule ....hali kadhalika, kwa wale ambao ofisi ziko kule, safari za Dar haziishi ili wapate kisingizio cha kujilipa padiemu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.