Wadada mmeacha Kuvaa magagulo

Wadada mmeacha Kuvaa magagulo

kama kuvaa chupi kwenyewe shida,ndio watavaa na hizo gagulo.? siku hizi kuna haya magauni(sijui ndio yanavyoitwa ) yanayoishia kwenye mapaja, basi hiyohiyo blazia,chupi,gagulo na sk taut,!!
 
mavazi kwa wanawake yana wwelekeowa kati au Centre approach yaani wanaanzia uwazi juu kuekekea kati; chini kuelekea kati; mwisho pote patabaki wazi. tena wanabana vigagulo kuelekea kati na kuvaa transparent kuweka wazi kati hata wakicheza shughuli kubwa iko kati. Sasa madume tukipataka hapo kosa limeanzia wapi. Baadhi ya wavulana wameanza mtindo wao wanavua kuanzia kati kuelekea chini hayo ni majibu kwa centre approach au na wao wanataka kaitangaza kati?
 
Mbona andasketi zipo nyingi tu,pita Tandika mpaka unapagawa, mana ndo kijiwe changu, unapata za kila rangi, kila size na urefu unaoutaka, me ndio vazi langu kubwa, skintait zinaniwasha.
 
Chupi zile zenye kujaza umbo lake lote ni kama nazo zinapitwa na wakati. Wameamia kwenye mabikini. Wanaficha mashavu tu Ooh Mungu wangu tunapoelekea
utandawazi huo wa Bikini unapanua Ta.k.o kuona bikini sio zamani unafunua chupi kuona T.ako!
 
Mbona andasketi zipo nyingi tu,pita Tandika mpaka unapagawa, mana ndo kijiwe changu, unapata za kila rangi, kila size na urefu unaoutaka, me ndio vazi langu kubwa, skintait zinaniwasha.
skintait zikiwasha ndo lengo lake so vikunio vipo na haviuzwi u just sema utaletewa popote ulipo kiingilio bureee!
 
Juzi juzi niliona cabin crews wa ndege fulani hivi wamevaa tule tu sox tea kuanzia kiunoni na tugauni Tulane halafu tunafikia katikati ya mapaja. Yaani walikuwa wakinyanyua mikono shughuli yote inabaki kweupe. Yunifomu eti mweh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom