Hili andiko ni sahihi kabisa, wanawake wengi ni wapumbavu.
Kuna mdada niliwahi mfanyia mfano huo huo ila tofauti yake mimi sikumpa mimba wa HIV ila alilegea as if tumeshaa ishi miaka 10 kwenye mahusiano.
Nikiwa na hasira huwa napunguza kwa,
1. Kuhamisha mawazo ya kile nimeuziwa na kugeukia mawazo chanya.
2. Kujisemea kimoyo moyo, "Mungu nitie nguvu/nisaidie au najisemea "Mungu nivushe katika hili" pia huwa nafikilia mistari ya biblia zaidi inayonitia nguvu.
Nawasalimu wote kupitia jina kuu lipitalo majina yote.
Sina namna ya kumfikia rais lakini naamini anaweza akapitia hapa akapata ushauri utakao msaidia au hata wasaidizi wake huenda mkaona na msisite kumpelekea ushauri huu kwake.
Ipo hivi,
-Katika ma rais waliofanya mambo mazuri ya kuwagusa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.