Recent content by Trinity

  1. Trinity

    JamiiForums Tanzania Uzi huu nitakuwa nikikupa updates za Magari used yalipo sokoni

    Kiongoz, ukipata premio old model corolla nistue
  2. Trinity

    JamiiForums Tanzania Napambana na uraibu wa kutamani wanawake

    Ni rahisi sana kutoka kwenye utumwa huo, 1. Okoka mpokee Yesu awe msaada wako kwa unayoshindwa. 2. Oa mwanamke unayehisi anamaliza matamanio yako. 3. Ingiza dharau au negativity dhidi ya wanawake, mfano, ukiona mwanamke mzuri unayehisi unaelekea kumtamani, I gizani mawazo kwamba wanawake wote...
  3. Trinity

    JamiiForums Tanzania Wokovu wa zamani vs wasasa

    Very sad, nimeona kwa macho hayo yakitukia sio kuambiwa
  4. Trinity

    JamiiForums Tanzania Ushauri wako muhimu tafadhali ununuzi wa Incubator

    Okay noted,
  5. Trinity

    JamiiForums Tanzania Ushauri wako muhimu tafadhali ununuzi wa Incubator

    Sawa, Asante.
  6. Trinity

    JamiiForums Tanzania Ushauri wako muhimu tafadhali ununuzi wa Incubator

    Sawa, asant kwa kunitia moyo Mungu akubariki.
  7. Trinity

    JamiiForums Tanzania Ushauri wako muhimu tafadhali ununuzi wa Incubator

    Kichwa cha uzi cha husika, nipo njia panda kwa sababu sina uzoefu bali naamini humu JF (kichaka cha maarifa) nitapata ushauri bora. Natarajia kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji lkn ili ni speed up production na profit generation nimewaza nipate incubator ya angalau maya 200- Kuna mashine za...
  8. Trinity

    JamiiForums Tanzania Walimu acheni kuwafundisha watoto wetu mabongo fleva kwenye mahafali za shule

    Napigilia msumali wa inchi 5
  9. Trinity

    JamiiForums Tanzania PENDEKEZO LA UTAFITI: Je wake za watu wanakubali kuingia kwenye mahusiano nje ya Ndoa!??

    Kuna mambo najiuliza ila sipati majibu hususani hili janga la Ukimwi. Ni nani atakayepona kama kutoka nje ya ndoa ni rahisi hivyo??
  10. Trinity

    JamiiForums Tanzania PENDEKEZO LA UTAFITI: Je wake za watu wanakubali kuingia kwenye mahusiano nje ya Ndoa!??

    Hapana, sitawala kama nilivyoeleza hapo mwanzo. Issue ni kutest tu uwezekano.
  11. Trinity

    JamiiForums Tanzania PENDEKEZO LA UTAFITI: Je wake za watu wanakubali kuingia kwenye mahusiano nje ya Ndoa!??

    Nitakua very technical, siwezi dakwa kirahisi. Kwanza mawasiliano ya sms big no. Yeye akiwa free ndo anipigie tuongee tukimaliza yameisha mpaka aanze yeye ten
  12. Trinity

    JamiiForums Tanzania PENDEKEZO LA UTAFITI: Je wake za watu wanakubali kuingia kwenye mahusiano nje ya Ndoa!??

    Kichwa cha uzi chahusika, nipo kwenye sherehe ghafra wazo la ujinga limeniingia. Nasikia na kushuhudia watu kwenye mitandao wakilalamika kwamba mke aliyeolewa anaweza kukubali kuingia kwenye mahusiano ya siri na mwanaume mwingine. Rejea content za Ivan one seven, huyu jamaa amekua akiendesha...
  13. Trinity

    JamiiForums Tanzania Kwenye swala la ajira ukweli niseme ameupiga mwingi.

    Naunga mkoni, kuna washikaji walikata tamaa ya kuajiriwa ila sasa wapo kwenye ajira rasmi
  14. Trinity

    JamiiForums Tanzania Elimu ya magari

    Mi sina uzoefu lkn ninachofahamu gari ni sawa na mwanamke, unaye mpenda na kumuoa kuna mwingine hata ukimpa bure hamtaki. Mfano: Duals ya million 20 mi hata ukisema nilipie m 5 sitoi ila kuna watu huwaambii kitu kuhusu hiyo gari bila kusahau ist siikubali lkn cheki wengine ndo wanavimbia.
Back
Top Bottom