Recent content by Trinity

  1. Trinity

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Kwa maneno mengine mfumo unajikaanga
  2. Trinity

    JamiiForums Tanzania SINGLE LADY ULIEPO NJOMBE NJOO TUYAJENGE!

    Hili tangazo ungeliweka pale tiktok au fb wangemiminika ushindwe mahali pa kuwaweka.
  3. Trinity

    JamiiForums Tanzania Sipati haja kubwa

    Mm nilikua naenda wiki mara 1, kuna dawa nilinunua kwa masai nachanganya na maziwa jion kila siku, matokeo yake naenda toilet haja kubwa kila siku. Note, before ulaji wa matunda na mboga za majani nilikua natumia sana ila changamoto ilikua haiishi.
  4. Trinity

    JamiiForums Tanzania Leo kwa kipekee niwashukuru nyote mnaonisapoti. Kumtumia pesa mtu ambaye hujakutana naye nayo ni kipaji

    "Usiache kukemea ubaya hata kama unaufanya " Mentality kubw sana hii wachache wataelewa.
  5. Trinity

    JamiiForums Tanzania Kati ya Suzuki carry na Guta kipi bora?

    Bado nipo, hongera mpambanaji.!
  6. Trinity

    JamiiForums Tanzania Dada zangu omba yasikukute haya

    Hili andiko ni sahihi kabisa, wanawake wengi ni wapumbavu. Kuna mdada niliwahi mfanyia mfano huo huo ila tofauti yake mimi sikumpa mimba wa HIV ila alilegea as if tumeshaa ishi miaka 10 kwenye mahusiano.
  7. Trinity

    JamiiForums Tanzania Ajira zipo, Mrejesho wa jinsi nilivyopata ajira kupitia jukwaa hili

    Hongera sana kijana kwa kupata kazi lkn pia kutia moyo wenye mapito magumu. Yule manzi vipi ulimuacha au unsponda nae raha!??
  8. Trinity

    JamiiForums Tanzania Natafuta kijana wa shamba, mshahara laki

    Mchaga duh
  9. Trinity

    JamiiForums Tanzania Huwa unafanya nini kupunguza au kumaliza hasira?

    Nikiwa na hasira huwa napunguza kwa, 1. Kuhamisha mawazo ya kile nimeuziwa na kugeukia mawazo chanya. 2. Kujisemea kimoyo moyo, "Mungu nitie nguvu/nisaidie au najisemea "Mungu nivushe katika hili" pia huwa nafikilia mistari ya biblia zaidi inayonitia nguvu.
  10. Trinity

    JamiiForums Tanzania FT: RS Berkane 2-0 Simba SC | Fainali CAF Confederation Cup | 17 Mei, 2025

    Naomba kuuliza, ikitokea simba home kashinda 2 then mpinzani 1. Je anatoka? Au Simba 1-0 Berkane.
Back
Top Bottom