Recent content by Trinity

  1. Trinity

    Dada zangu omba yasikukute haya

    Hili andiko ni sahihi kabisa, wanawake wengi ni wapumbavu. Kuna mdada niliwahi mfanyia mfano huo huo ila tofauti yake mimi sikumpa mimba wa HIV ila alilegea as if tumeshaa ishi miaka 10 kwenye mahusiano.
  2. Trinity

    Ajira zipo, Mrejesho wa jinsi nilivyopata ajira kupitia jukwaa hili

    Hongera sana kijana kwa kupata kazi lkn pia kutia moyo wenye mapito magumu. Yule manzi vipi ulimuacha au unsponda nae raha!??
  3. Trinity

    Huwa unafanya nini kupunguza au kumaliza hasira?

    Nikiwa na hasira huwa napunguza kwa, 1. Kuhamisha mawazo ya kile nimeuziwa na kugeukia mawazo chanya. 2. Kujisemea kimoyo moyo, "Mungu nitie nguvu/nisaidie au najisemea "Mungu nivushe katika hili" pia huwa nafikilia mistari ya biblia zaidi inayonitia nguvu.
  4. Trinity

    FT: RS Berkane 2-0 Simba SC | Fainali CAF Confederation Cup | 17 Mei, 2025

    Naomba kuuliza, ikitokea simba home kashinda 2 then mpinzani 1. Je anatoka? Au Simba 1-0 Berkane.
  5. Trinity

    Oral interview customs officer II nimekula za uso

    Sujasoma hizo issue lkn kwani remission umwshindwa kabisa kujaribu chief
  6. Trinity

    Oral interview customs officer II nimekula za uso

    Kama ulikaa kimya basi bye bye ila kama ulipapasa utaokota marks
  7. Trinity

    Uzi wa dondoo!.

    Dondoo: Yesu anakaribia kurudi mno.!
  8. Trinity

    PreGE2025 Zitto kugombea Ubunge: Rasmi ACT na CCM waungana kupinga mabadiliko No Reform No Election

    Japo mimi sio mwanasiasa ila Muwe hata na huruma kidogo.
  9. Trinity

    Natafuta nafasi ya kazi

    Dah, Kila la kheri.!
  10. Trinity

    Hatimae nimekuwa mwanaume kamili nimeachana na ushoga

    Hongera, Sasa umevuka. Yesu akutie nguvu
  11. Trinity

    Kwako rais Samia Suluhu Hassan

    Nawasalimu wote kupitia jina kuu lipitalo majina yote. Sina namna ya kumfikia rais lakini naamini anaweza akapitia hapa akapata ushauri utakao msaidia au hata wasaidizi wake huenda mkaona na msisite kumpelekea ushauri huu kwake. Ipo hivi, -Katika ma rais waliofanya mambo mazuri ya kuwagusa...
Back
Top Bottom