Hongera kijana, umeanza kupambana mapema.! Mi boda mkongwe, n kweli vijiweni wanafitina sana, watakuambia kiingilio ambacho huwezi kukifikia.
Tafuta eneo tu we paki, utakuta wengine wanakufuata kijiwe kinakua hai na pesa unapiga
Nawasalimu kupitia jina lipitalo majina yote chini ya jua.
Aisee nina bro tunafanya kazi wote, kazi zetu ni field asilimia 95, hivyo tunaishi as kampani.
Huyu bro age yake 41 yrs amenipokea na kunielekeza kazi Kwa uzuri kabisa.
Sasa huyu bro ana mke wa ndoa ambaye anaishi wilaya jirani, mara...
Ukitaka kujua ukweli, tishia kama unataka umchukue mtoto akalelewe na bibi yake yaani mama yako uone, akiruhusu huyo mtoto n wako, akigoma basi jua siku ulipompitia wewe next day akaenda kudaka Kwa mwingine
Nimecheka sana hii comment, hapo umemkatisha matumaini muhusika moja Kwa moja.!
Nasikia ukienda kupima DNA lazima waseme mtoto ni wako ili kuweka mambo sawa.
Nafikiri alee tu so longer anafanana na hesabu zimethibitisha n wake haina shida.
Achana na watu hasi, watumishi wa Mungu tushaa kuelewa.!
Kuna kipindi mtu unasikiliza song la gospel mpaka unatamani wawepo wengine wabarikiwe nazo.!
Nani kawaambia kipaumbele cha waimbaji ni pesa??
Aisee, whatsap unatuma!? Nataka nikupe list ya nyimbo ninazotaka.
Issue ya pili naomba downloader nzuri maana hii ninayotumia inagoma inasema YouTube hairuhusu.
Nipo tayari kuchangia kama utanitumia pia app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.