Hao watu kumbuka wanaleta madhara makubwa kwa kulaghai watoto na kuwaharibu, Bibie fatma vuta picha unasikia kuna Njemba inamfumua marinda mwanao wa umri wa kati kisa ni faragha yao utawaacha!? Tuache kushabikia ujinga saivi malezi kwa watoto wetu wa kiume ni Kazi sana mana watu hawaaminiki na...
Wakuu ivi kuna njia yoyote ya kuniwezesha kureceive Money from SA direct to my Mobile money account via mpesa? Nimejaribu through Swift code kw kutumia visa card ila sender anasema inamgomea is there any method out?
Makonda ana exposure kubwa sana na mambo ya leadership, Mkiambiwa kuongoza ni kipaji hamtaki kukubali, Wakowapi maprofesa Kijana mdogo tu anawazidi Hata experience na exposure, Mkuu amteue tu RC makonda kuwa Mbunge afu ampe wizara makini kati ya hzi Ulinzi, Maliasili Atatupeleka tunapo wish kufika
Umeme ni Umeme tu wakuu japo hizo zote ni Core course ila umeme unakula bila jasho sana kama mnyama mechanical kwanza ni tight msuli wa mecha pili inataka nguvu, Umeme na Civil good sana
Mkuu hii pesa ya fursa imekuwa ikiogopwa na Watz pengine sijui ni kutoilewa au kuto kuwa centralized but let tell them that anything that involves great risk pay well in short time
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.