Mlinzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

ADC wa prezidaa nijuavyo huwa anakuwa mmoja sema anakuwa na backup incase ya emergency. Uteuzi wake mara nyingi anafanyiwa vetting na inteligencia ya jeshi na inteligencia ya usalama wa taifa kwa kuangalia ubobezi wake katika masuala ya usalama. Hawi mpambe kama mpambe tu wakubeba speech za prezidaa au kusogeza kiti mkubwa akae. Mtu huyu ni well trained katika maswala yote ya ulinzi na inteligencia.

Jukumu kubwa la ulinzi wa prezidaa huwa halibebwi na ADC bali kikosi maalumu cha wanausalama ambao kazi yao ni kumlinda rais wa nchi. Hiki ni kikosi kidogo chenye mafunzo ya hali ya juu na wako wengi hivyo wanakuwa wanafanyiwa rotation kutokana na nature na mazingira rais alipo. Wapo tunaowaona mbele kabisa karibu na rais hata wakati akitembea kwa miguu ama kwenye gari na wapo ambao huwa wanakaa muda wote wamejichanganya na raia. Hawa nao rais hausiki katika uteuzi wao bali mamlaka ya usalama wa taifa.

Kwa uelewa wangu niishie hapa kama kuna mengineyo baadae
Asante mkuu, kidogo nmeanza kuelewa.
 
ADC ni aide-de-camp (Kifaransa) assistant in the field (Kiingereza), kwa kiswahili ni msaidizi. Mnaotilia mashaka ulinzi wa rais mtafakari mara mbili. Kabla hajafanya ziara kuna analysis ya kutosha. Ulinzi na usalama unazingatiwa kabla hajafika, akifika, na baada ya kuondoka. Lakini pia anapozunguka eneo la tukio kuwapa watu mikono kuna kikosi kinatangulia kabla kuhakiki usalama. Anayesema anaweza kutoa silaha aelekeze ulipo msafara atafakari upya, atapigwa kutokea kona tofauti kabla hajatimiza azma yake.
Kenedy alipigwa kutoka upande gani?
 
wapambe, walinzi migambo, wanini wote hawa kwa rais wa nchi maskini hivii!!!! mbona obama sijawahi kumuona akisimamiwa nyuma kila anapokanyaga.. hii ni ishara ya uoga tu hakuna cha ulinzi wala upambe.
mnamkumbuka mlinzi wa kabila? haya ndio matunda ya kujizungushia migambo kila unapokanyanga inawezekana hata akiingia chooni kuna mlinzi anamvua chupi na mwingine anamtawaza.
Mi sijawah kuskia wananchi wamesimamisha msafara wa Bush,Blair,Trump,Obama,Kenyatta,
 
wapambe, walinzi migambo, wanini wote hawa kwa rais wa nchi maskini hivii!!!! mbona obama sijawahi kumuona akisimamiwa nyuma kila anapokanyaga.. hii ni ishara ya uoga tu hakuna cha ulinzi wala upambe.
mnamkumbuka mlinzi wa kabila? haya ndio matunda ya kujizungushia migambo kila unapokanyanga inawezekana hata akiingia chooni kuna mlinzi anamvua chupi na mwingine anamtawaza.
Japo post yako ni ya 2015 ila nimevuta picha hii 2017
 
Nikupe siri kidogo.kila alipo rais robo ya wageni ni walinzi.wengine wananaweza kufika ata masaa 8 kabla delegate aijaingia.wengine wanaweza kuja wakati rais akiendelea na shughuli si rahisi kuwajua ila ukitaka jaribu uone.
Bila kusahau vichaa tunaoishi nao tukiwadharau kama taka.
 
Wanaweza wakawa hata milioni moja. Ila kazi zao ni hizo tu. Kusukumana na waandishi na raia wasio na madhara yeyote. Wastage of resources. Wangegaiwa mashamba wakalima, nchi walau ingepiga hatua.
Una yako. Ulinyimwa ajira nini mkuu?
 
mkuu post ya mwalla ina mantiki,hata mimi huwa najiuliza kuna haja gani ya maraisi wa nchi masikini kama tz kuwa na msururu wa walinzi wengi namna ile?.kwa tishio gani hasa?.mbaya zaidi wengi ukiwaangalia ni above 35-40 na wana vitambi.hapo ndipo naungana na mchangiaji mmoja alipo sema nafasi za kumlinda raisi ni presidential preferences ili kutengeneza mazingira ya ajira kwa watu wake wa karibu.
Kumbe hata yale magrill ya zio na nyumba zetu, tena na walinzi juu hakuna ulazima basi. Tuna nini cha thaman kukilinda?
 
Mi sijawah kuskia wananchi wamesimamisha msafara wa Bush,Blair,Trump,Obama,Kenyatta,
Usanii Unalipa Popote asafiripo Rais wa marekani walinzi maalum hutangulia na wao Ndo hupanga Yote. Ndege zinakuja a magari na vifaA kibao .mitandao ya simu huathiriwa au hubakwa. So unapotea pumba Uwe unajua kila mtu ana mazingira yake. Simu hizi zisiwafanye mjione mko wa marekani.
View attachment 231029

Mlinzi wa Rais wa Tanzania huwa anachaguliwa na rais mwenyewe au kuna utaratibu mwingine unatumika kumpata?

Je, Mlinzi huyu anakuwa na likizo? Kama hana likizo, Je, Anapataje muda wa kujamiiana (Socialize) na jamii inayomzunguka pamoja na masuala ya kifamilia?


 
Japo post yako ni ya 2015 ila nimevuta picha hii 2017
Marais wa nchi hizo wanawalinzi pia ingawa kuna wakati unaweza usiwaone kwa huo wingi hii ni kwa sababu ya ubora wa tekenolojia wanazotumia
Mfano ndani ya mita 50 rais anaweza kuwa peke yake na akawa salama kabisa
Yaani hakuna wa kumfanya chochote na hii ni kwa sababu ya ubora wa tekenolojia wanazotumia
Kwa hiyo ukimwona Trump yuko peke yake ujue na wenyewe wapo na wana monitor kwa karibu sana
 
Kenedy alipigwa kutoka upande gani?

Kila siku ooh Kenedy, hivi ya hayati Karume hamna maelezo yake ya ilivyo tokea. Je hawa walinzi ikatokea kapata wehu/akili kumruka kwa ghafla akiwa lindoni na huku kashikilia silaha kama wale wa wakati wa 77 itakuwaje? Maana kidole tayari kiko kwenye trigger.

Mchina wajF.
Na washawasha!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kila siku ooh Kenedy, hivi ya hayati Karume hamna maelezo yake ya ilivyo tokea. Je hawa walinzi ikatokea kapata wehu/akili kumruka wa ghafla akiwa lindoni na kashikilua silaha kama wale wa wakati wa 77 itakuwaje? Maana kidole tayari kiko kwenye trigger.

Mchina wajF.
Na washawasha!
Shukran kwa kutukumbusha ya karume,huwa nasahau ya zenji maana ni nchi jirani na si maarufu kama USA
 
Marais wa nchi hizo wanawalinzi pia ingawa kuna wakati unaweza usiwaone kwa huo wingi hii ni kwa sababu ya ubora wa tekenolojia wanazotumia
Mfano ndani ya mita 50 rais anaweza kuwa peke yake na akawa salama kabisa
Yaani hakuna wa kumfanya chochote na hii ni kwa sababu ya ubora wa tekenolojia wanazotumia
Kwa hiyo ukimwona Trump yuko peke yake ujue na wenyewe wapo na wana monitor kwa karibu sana
Tech gani hio mkuu ya kumuweka rais safe 50m kama hutojali share na sisi tujifunze mkuu
 
Kwa hiyo unataka kutuaminisha Mzee Kikwete alipodondoka pale jangwani ni kwa vile alikuwa bado mgombea urais mara ya kwanza? Ingekuwa kisha kuwa rais asinge dondoka na akudondoka walinzi wanavadilishwa/ kufutwa kazi wote? Msitolea mifano huko zimbambwe wakati tunao
mfano halisi hapa kwetu.


Mchina wajF.
Na washawasha!
Mi nilikuwepo jangwani siku ile raisi alianguka lakini hakufika chini yule mlinzi wake nyuma alimuwai kumdaka then watu wa usalama wakawai ku rescue nazani zile video zipo you tube unaweza kuangalia
 
Kujadili Protection details ya mkuu ni kama kuivua Nguo System hii, Tunaamini humu kuna Wajuvi na hata walio aminiwa kupewa vitengo ndani ya PSU tuwe makini na classified informations mana ni kwa manufaa yetu binafsi watanzania, Usalama wa Raisi ni lazima uwe juu at any costs mana Yeye ni mkuu wa Taifa na Serikali kwa Ujumla, So he is more than safe
 
Mmmaaa!!! Nimejifunza mengi leo daah hili jukwaa ni jukwaa bora kweli yaani tuition bila kulipia fees wakuu endeleeni kunijuza hakyamungu nimejifunza mengi
 
Back
Top Bottom