Recent content by Torabola

  1. T

    JamiiForums Tanzania Nimefukuzwa kazi kisa kugoma kumfatia bosi vitumbua vya mia tisa

    Endelea kula jeuri yako sasa..
  2. T

    JamiiForums Tanzania TANZIA My dad is gone

    Pole sana , nilipoteza baba angu nikiwa na mwaka mmoja, nikajapoteza tena mama angu nikiwa na miaka sita, mpk Sasa bado nakula msoto wa maisha lkn naamini Mola hamtupi mja wake..
  3. T

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kutafsiri movie za Hollywood kwa sound dubbing kama wafanyavyo Azam two

    Sasa we unataka tukose zile ladha za Acheche production, wanakujaaaaaaa , hatari wanaumeeee
  4. T

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nataka kutumia mchango wa harusi kujenga nyumba

    Itakua poa
  5. T

    JamiiForums Tanzania Ifahamu fursa hii ya miamvuli ya ufukweni (beach umbrellas)

    Wazo zuri ila si kwa beach zetu za huku bongo, beach nyingi zina miti inayotoa kimvuli bure mfano Kawe beach kuna miarobaini ya kutosha.
  6. T

    JamiiForums Tanzania Kwanini makaburi huwa yanachimbwa futi 6?

    Amejibu vizuri isipokua sababu moja ambayo unaitaka wewe hakuitaja ya kwanini futi 6 tuu na si zaidi ya hapo.. Sasa ukiangalia ktk taratibu za mazishi ktk baadhi ya imani nikwamba lazima watu kadhaa waingiemo kweny kaburi ili kupokea mwili wa marehem na kuulaza ndani yake, hivyo futi 6 ndio kina...
  7. T

    JamiiForums Tanzania Serikali yazuia uuzaji na ununuaji wa Dawa za binadamu kwenye vyombo vya usafiri

    Naunga mkono hoja, ila najua watz wengi watapinga hili katazo ngoja tuone.
  8. T

    JamiiForums Tanzania Hizi shule za English Medium zimetugeuza Wazazi kuwa Walimu?

    1.sedentary farming 2. Nomadic farming
  9. T

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz: Ni ngumu kwa Mtanzania kuwekeza Kenya

    Kumchukia tajiri haikufanyi wewe uondokane na umaskini, yani watz tuna mengi ya kujifunz kutoka Kenya wenzetu wako mbali mno japo watz hatupendi kukubali ukwel huu. Tunahitaji mabadiliko ya kimfumo haraka iwezekanavyo kama taifa tupige hatua la sivyo tutakua tunapiga mark time kila term.
  10. T

    JamiiForums Tanzania Propaganda? Hao wasomi waliojaa pomoni wapo wapi? Mbona mimi siwaoni!!!

    WAPO WENGI, UKITAKA KUWAPATA TANGAZA NAFASI ZA AJIRA TUU, HAPO NDO UTAJUA VITA YA TATU DUNIA ILIKUAJE,
  11. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Mgogoro wa familia kuhusu huduma na malezi ya watoto

    Starehe mnazipenda ila mwisho mbaya, Wengi wamefilisika kwa kuendekeza umalaya,, Sasa alipokua anakula mbususu pekupeku alitegemea nini,,? Huko ndo ulijali apambane...
  12. T

    JamiiForums Tanzania Nani Mkubwa kati ya Mkuu wa Majeshi na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa?

    MWALIMU MKUU NA MWALIMU WA NIDHAMU NANI MKUBWA KWA MWENZAKE... NB:MMOJA ANASIMAMIA MAJESHI YOTE MWENGNE ANASIMAMIA IDARA
  13. T

    JamiiForums Tanzania Msaada namna ya kufikisha malalamiko JWTZ

    Pole sana, kabla ya kupeleka malalamiko yabidi uenee kila idara yaani leseni halal ya udereva, bima ya pikipiki pa1 nk. Nianze kujib swali lako,, kwa barabarani sehem husika ya kufikisha malalamiko kureport kwa askali wa usalama barabarani yeye ndio atakayehusika na kuchunguza ramani ya ajali na...
  14. T

    JamiiForums Tanzania Msaada ndugu zangu, nimekwama ktk Hili...

    Niko Dar es salaam
Back
Top Bottom