Graduate Engineer
Member
- Jan 5, 2021
- 21
- 13
Wana great thinkers
Kuna ushauri tafadhali unahitajika.
Kwa ufupi kuna mzazi (mwalimu wa sekondari) mkristo alizaa na wanawake wa 2 tofauti Wa kwanza mke wa ndoa watoto wa3, Mwanamke Wa pili aliishi nae watoto wa 2.
Mke wa Kwanza aliendelea kuhudumia watoto wake bila msaada wowote kutoka kwa mzazi mwenza.
Tatizo liko hapa: Huyu mwanamke wa 2 walikaa pamoja then huyu mwanamke akakimblia dar kutafuta maisha huko aliacha watoto wadogo mmoja mwaka 2 mwingine miaka 5 .
Baada ya miaka miwili kupita maisha kutokuwa sawa kwa huyu dada akarudi kuomba samahani na kweli alisamehewa lakini haikuchukua muda mrefu ugomvi ukatokea akakusanya vitu vya ndani akaondoka navyo vyote, pia baada ya muda akaona bora sasa achukue mtoto mkubwa yule wa miaka 7 akae nae kwakuwa yule mdogo alikuwa anamkataa mama yake hivo kumchukua mtoto ili apate huduma za malezi na kweli analipwa kiasi kikubwa karibia nusu ya mshahara wa mwanaume.
Nimeandika kwa ufupi sana. naomba maoni yenu na ushauri SHIDA inakuja kwamba mzazi wa kiume anapata ugumu kuona Analazimishwa kulipa pesa yote hiyo kwa mzazi mwenza na kumfanya kitega uchumi huku ikiwa walipelekana ustawi wa jamii na akapatiwa watoto wote awahudumie sema huyu mdada akafanya kulazimisha mtoto mmoja akae naye yeye. Na sasa mwanamke ameamua kwenda mahakamani kuhusu hili sakata.
Kuna ushauri tafadhali unahitajika.
Kwa ufupi kuna mzazi (mwalimu wa sekondari) mkristo alizaa na wanawake wa 2 tofauti Wa kwanza mke wa ndoa watoto wa3, Mwanamke Wa pili aliishi nae watoto wa 2.
Mke wa Kwanza aliendelea kuhudumia watoto wake bila msaada wowote kutoka kwa mzazi mwenza.
Tatizo liko hapa: Huyu mwanamke wa 2 walikaa pamoja then huyu mwanamke akakimblia dar kutafuta maisha huko aliacha watoto wadogo mmoja mwaka 2 mwingine miaka 5 .
Baada ya miaka miwili kupita maisha kutokuwa sawa kwa huyu dada akarudi kuomba samahani na kweli alisamehewa lakini haikuchukua muda mrefu ugomvi ukatokea akakusanya vitu vya ndani akaondoka navyo vyote, pia baada ya muda akaona bora sasa achukue mtoto mkubwa yule wa miaka 7 akae nae kwakuwa yule mdogo alikuwa anamkataa mama yake hivo kumchukua mtoto ili apate huduma za malezi na kweli analipwa kiasi kikubwa karibia nusu ya mshahara wa mwanaume.
Nimeandika kwa ufupi sana. naomba maoni yenu na ushauri SHIDA inakuja kwamba mzazi wa kiume anapata ugumu kuona Analazimishwa kulipa pesa yote hiyo kwa mzazi mwenza na kumfanya kitega uchumi huku ikiwa walipelekana ustawi wa jamii na akapatiwa watoto wote awahudumie sema huyu mdada akafanya kulazimisha mtoto mmoja akae naye yeye. Na sasa mwanamke ameamua kwenda mahakamani kuhusu hili sakata.