Msaada ndugu zangu, nimekwama ktk Hili...

Torabola

Member
Dec 8, 2020
51
69
Wakuu nawasalimu kwa heshima zote..
Mimi ni muhangaikaji mwezenu, niko katika harakati za kutafuta riziki ili mkono uende kinywani...
Kama tujuavyo vijana wengi tupo ktk zahama kubwa ya ukosefu wa ajira hapa nchini haswahaswa graduate wa kada mbalimbali, hivyo basi inabid kama kijana ili maisha yaendelee haina haja ya kuchagua kazi kwan mambo yamekua tight mno..
Kufupisha story nikwamba nimeamua kuingia ktk kampuni ya ulinz inayoitwa GARDAworld zamani ikijulikna km kk security..
Nimefuzu kwa hatua ya awali ambapo vipimo pamoja na ukaguzi wa vyeti vyote hkn shida, ila tatzo nimekosa wazamini wawili ambao wanatakiwa wawe watumish wa serikali, au wa kampuni binafsi lkn wawe na vitambulisho vya kazi.Kusema ukweli sina ndugu ambae amekidhi hivyo vigezo na ukizingatia mimi ndo nilibahatika angalau kufuta ujinga ktk familia hivyo nimeshindwa kuwapata.Mwisho wa kupeleka wazamini ni jumanne, chondechonde ndugu zangu naombeni msaada wenu hakika hali ni mbaya mtaani, inafikia hatua unaomba kibarua cha kufanya usafi unaambiwa nafas hakna .
Ombi langu kwenu, kwa yoyote anayeweza kunisaidia juu ya Hilo naomba anisaidie jmn mana nimetingwa. Tusaidiane angali tupo hai,
Natanguliza shukrani,
Namba zangu +255673438548.
adamngalawa84@gmail.com.
 
Wakuu nawasalimu kwa heshima zote..
Mimi ni muhangaikaji mwezenu, niko katika harakati za kutafuta riziki ili mkono uende kinywani...
Kama tujuavyo vijana wengi tupo ktk zahama kubwa ya ukosefu wa ajira hapa nchini haswahaswa graduate wa kada mbalimbali, hivyo basi inabid kama kijana ili maisha yaendelee haina haja ya kuchagua kazi kwan mambo yamekua tight mno..
Kufupisha story nikwamba nimeamua kuingia ktk kampuni ya ulinz inayoitwa GARDAworld zamani ikijulikna km kk security..
Nimefuzu kwa hatua ya awali ambapo vipimo pamoja na ukaguzi wa vyeti vyote hkn shida, ila tatzo nimekosa wazamini wawili ambao wanatakiwa wawe watumish wa serikali, au wa kampuni binafsi lkn wawe na vitambulisho vya kazi.Kusema ukweli sina ndugu ambae amekidhi hivyo vigezo na ukizingatia mimi ndo nilibahatika angalau kufuta ujinga ktk familia hivyo nimeshindwa kuwapata.Mwisho wa kupeleka wazamini ni jumanne, chondechonde ndugu zangu naombeni msaada wenu hakika hali ni mbaya mtaani, inafikia hatua unaomba kibarua cha kufanya usafi unaambiwa nafas hakna .
Ombi langu kwenu, kwa yoyote anayeweza kunisaidia juu ya Hilo naomba anisaidie jmn mana nimetingwa. Tusaidiane angali tupo hai,
Natanguliza shukrani,
Namba zangu +255673438548.
adamngalawa84@gmail.com.
Uko mkoa gani
 
Back
Top Bottom