Kumekuwa na ongezeko la kukatika kwa umeme kujakotokea maramkwa maramkwenye maeneo menginya jiji la Dar huku Tanesco ikisema kwamba hakuna mgao wa umeme. Ningependa kujua ni nini hasa kinachosababisha hii na ni kwa nini Tanesco hawawi wakweli na kuwaeleza wananchi nini hasa kinaendelea...
Na mimi pia mtoto wangunwa mwaka mmoja na nusu ametoka majipu kuanzia wiki mbili zilizopita. Nafikiri hii inasababishwa na kipindi cha joto ambacho tunacho sasa hivi.
Wacha tuache doctors waje watupe medical explanation.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.