- Thread starter
- #21
sasa wanaofeli ni form 4, na cdm wanakwenda kwa watu wa chuo ambao wameshafauli na ndio maana wapo vyuo au ndio huko kufikiri kwa kutumia masaburi?
kwani vyuoni wanafauru wote so mzima mkuu.
sasa wanaofeli ni form 4, na cdm wanakwenda kwa watu wa chuo ambao wameshafauli na ndio maana wapo vyuo au ndio huko kufikiri kwa kutumia masaburi?
Something is very wrong somewhere!
Labda hajaongea haya. Para ya pili haiwezekani ikaongelewa na Mhe. Mbunge tena mwanaume. Tell me umeongeza chumvi.
Tunakosa wa kumbebesha lawama tunafikia kwenda this low? Siamini kayaongea hayo
Sasa hiyo ndio pointi gani, bora ashikilie tu usanii utadhani alikua anatunga wimbo.Akichangia bungeni mbunge wa Nyasa - Mbinga Capt Komba amesema CHADEMA ni chama kinachochangia kushuka kwa elimu kwa sababu kimekuwa kikienda vyuoni na kuhamasisha migomo na mandamano na kufanya wanafunzi washindwe kusoma kwa utulivu.
Ameenda mbali zaidi kwa kuwaita CHADEMA kuwa wana kisebusebu na kiroho pabo na ndiyo maana jimboni kwake Mbinga na Nyasa CHADEMA wamekataliwa.
Atueleze kwanza nani kamfelsha Lulu?
Huna tofauti na Komba anayedhani kuchangia hoja ni sawasawa na kuimba taarabu. Use your head and not your toes. Can you mention a single day ambayo shule zilifungwa halafu wakaenda kwenye maandamano? Watu kama nyie mngeanza kujihurumia kwa kuwa kufikiri kwenu kumefikishwa hapo na mfumo mbaya wa elimu. Badala ya kutambua hilo utafute shule uonge ujuzu unaleta utumbo. Pole.Chadema wanawatumia walimu kudhoofisha elimu nchini mwetu, walimu kila siku mgomo, wanafunzi watafaulu??
Ukweli unauma!!
Ndo tatizo la kufikiri kwa kutumia tumbo..matokeo ni tumbo kuwa kubwa kuliko kichwa kama unabisha weka picha yake hapaAkichangia bungeni mbunge wa Nyasa - Mbinga Capt Komba amesema CHADEMA ni chama kinachochangia kushuka kwa elimu kwa sababu kimekuwa kikienda vyuoni na kuhamasisha migomo na mandamano na kufanya wanafunzi washindwe kusoma kwa utulivu.
Ameenda mbali zaidi kwa kuwaita CHADEMA kuwa wana kisebusebu na kiroho pabo na ndiyo maana jimboni kwake Mbinga na Nyasa CHADEMA wamekataliwa.
hajaongeza neno hata moja na wala hajaongeza chumvi ndugu yangu!Something is very wrong somewhere!
Labda hajaongea haya. Para ya pili haiwezekani ikaongelewa na Mhe. Mbunge tena mwanaume. Tell me umeongeza chumvi.
Tunakosa wa kumbebesha lawama tunafikia kwenda this low? Siamini kayaongea hayo
Khaa!!Akichangia bungeni mbunge wa Nyasa - Mbinga Capt Komba amesema CHADEMA ni chama kinachochangia kushuka kwa elimu kwa sababu kimekuwa kikienda vyuoni na kuhamasisha migomo na mandamano na kufanya wanafunzi washindwe kusoma kwa utulivu.
Ameenda mbali zaidi kwa kuwaita CHADEMA kuwa wana kisebusebu na kiroho pabo na ndiyo maana jimboni kwake Mbinga na Nyasa CHADEMA wamekataliwa.
Something is very wrong somewhere!
Labda hajaongea haya. Para ya pili haiwezekani ikaongelewa na Mhe. Mbunge tena mwanaume. Tell me umeongeza chumvi.
Tunakosa wa kumbebesha lawama tunafikia kwenda this low? Siamini kayaongea hayo
Tumbotumbo amesahau kwamba yeye amechangia kwa kiasi kikubwa kuwaharibia elimu watoto kama akina Lulu NA wale wengine anaowagegedea pale Blue berry guest house, nyuma ya Cafe Latino, Sinza ambapo Ana chumba chake anachokilipia kodi ya mwaka? Au lile anaona ni darasa la tuition la kuwafunzia mabinti jinsi ya kutumia Kabang?
mkuu haya mambo jf hawataki mkuu siyo mazuri achana nayo.Tumbotumbo amesahau kwamba yeye amechangia kwa kiasi kikubwa kuwaharibia elimu watoto kama akina Lulu NA wale wengine anaowagegedea pale Blue berry guest house, nyuma ya Cafe Latino, Sinza ambapo Ana chumba chake anachokilipia kodi ya mwaka? Au lile anaona ni darasa la tuition la kuwafunzia mabinti jinsi ya kutumia Kabang?
Something is very wrong somewhere!
Labda hajaongea haya. Para ya pili haiwezekani ikaongelewa na Mhe. Mbunge tena mwanaume. Tell me umeongeza chumvi.
Tunakosa wa kumbebesha lawama tunafikia kwenda this low? Siamini kayaongea hayo
Atueleze kwanza nani kamfelsha Lulu?