Kiwanja Mbweni JKT na Malindi

Kiwanja Mbweni JKT na Malindi

Tofty

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2008
Posts
206
Reaction score
14
Habari wadau,
Naulizia bei za sasa hivi za viwanja Mbweni JKT na Mbweni Malindi. Natumani kwa sasa zitakuwa zimeshuka kutokana na hali ya sasa
 
Habari wadau,
Naulizia bei za sasa hivi za viwanja Mbweni JKT na Mbweni Malindi. Natumani kwa sasa zitakuwa zimeshuka kutokana na hali ya sasa


Mbweni jkt lazima uwe Na milioni 90 mkononi wanaanziaga 120 million Hiyo bei Ni Sqm 1000 kushuka chini
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Ninacho mil 40 mbweni ubungo square meter 601
 
kiasi gani?

mkuu una shilingi ngapi ?nikuachie hii mali.......... can be yours...!

img_20150724_182036-jpg.342251
 
Mimi natafuta kiwanja Kibada,ukubwa kuanzia sq metre 800,budget yangu ni mil 16.
 
Back
Top Bottom