Milio ya "risasi" kinondoni - tujuzeni wadau

Milio ya "risasi" kinondoni - tujuzeni wadau

Kaka

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
745
Reaction score
373
Wana Jamii Forums,

Kuna milio (nafikiri) ya risasi inarindima sasa hivi maeneo ya Kinondoni. Tujuzeni mnaojua kinachoendelea tafadhali.
 
huku nilipo nasikia milio kama ya mabomu ya Gongolamboto na Mbagala. Mlio maeneo ya karibu tupasheni.
 
Niko hapa kijitonyama naisikia sana sijui ni nini
 
Kama fataki basi ni too much leo mpaka nimeogopa na hivi nipo alone
 
...wamekufa wangapi, r.i.p in advance...
 
Niko mitaa ya kijitonyama na naksikia "kama vile" inalilia makumbusho.
Mdau yeyote mwenye taarifa atujuze tafadhali.
 
Kuna watu wanasema ni fataki za Golden tulip hotel kuna sherehe lakin sina uhakika
 
Mimi pia naisikia,nipo kijitonyama,sijui ni nini
 
Nasikia pia kwa mbali kutokea Masaki...sijui ni kitu gani
 
Niko Baghdad naisikia mitaa ya sokoni, bongo nadhani itakuwa sherehe za wahindi tu ...
 
Jamani sio Mabomu tuko hapa USA Embassy tunaazimisha uhuru hizo ni Fataki
 
something must be happening in lugalo.. coz moto hewani na cheche kibao zimetawala angani
 
Wanajamvi
Kuna hali ya sintomfahamu hapa ubalozi mabaruti si mabomu.

Jamani kama ni wao kwa wao nani kawapa kibali.

Watanzania wenye pressure au mistuko afya zao hazina thamani watanzania wenzangu.

Kwa kinachoendelea si kuna siku historia itajirudia kama tunawarusu wafanye wanavyojisikia.

Kama sio wao ni wakina nani? Wanaleta sintofahamu ya watu kuhamaki.

Kazi tunayo kama nchi inaingiliwa

Washukuru enzi ya mwalimu aliyewapa kibali na anayefanya asingecheka na wanahatarisha afya za watanzania na kama ni maadui wangeona MAKACHERO wa Mwalimu wakiwadhibiti.

Hebu viongozi wetu na wanajamvi tuone kinachofanyika sio sifa tuwe na huruma na afya za wenzetu tuchukue hatua.
 
Back
Top Bottom